unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wameenda kusaini vitabu jana....[emoji144][emoji144][emoji144]hivi barua za kujiondoa dimbani zimeshajibiwa ama kutolewa ufafanuzi?
Jr[emoji769]
Na wewe mbumbumbu wa nini?Yes Mbumbumbu wa international Law specifically international criminal Law! Ndo maana amethubutu kuandika hiki alichokiandika!
Mtoa mada ulipaswa utuwekee ushahidi wa wowote hapa wa Roma kupewa hadhi ya ukimbizi nchini Marekani otherwise wakosoaji wako wataendelea kukuandama kwa sifa yako ya ujuaji. Ila pia wanaokuandama kuhusu mambo ya ICC bila wao kutuelimisha na wameishia kujisifia elimu zao as if kuna anae jua elimu ya mtu hapa ni ujuaji tu wa kishamba ambao haumsaidii yeyote
huyu naye.....hata hajui "Kiingreza" kinavyo "operate"..... hiyo ICC inavyo "operate" atajuaje sasa??!!'and how it operates '
Mbona Young Dee Alikaa karibu Miezi 6 na hamkuoji.Lakini tujiulize huko marekani anadhaminiwa na nani,miezi yote kweli hela hizo anazo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...Ukute hata hiyo ICC haijui!
Hata wewe grammatical errors zako tu zaonesha you know nothing about ICC.Mshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
Hivi ndo ujuwaji unapimwa..!!!Ujuaji wako ni kubeba kitu kama kilivyo na kukileta bila kufanyia mnyumbuliko. Ungefanya utafiti ujue ROMA yupo USA kwa document zipi, sio unasema ulisoma humu na hakuna aliyepinga wala kukataa haimanishi ndio kibali cha wewe kuja kufungua uzi.
Haya sasa link umekosa unaona sasa?? Ulivo mjuaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
😆😆😆😆😆Hivi ndo ujuwaji unapimwa..!!!