Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

Una ugonvi Na Mshana? Mbona miaka wa watu hana hiana Na MTU.Tumuheshimu kama anavyotuheshimu naona Sasa mnamshika masharubu.Umeandika alichoweza kama mnajua zaidi Basi mke Na fact

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana ni zwazwa copycat hii kauli haibadiliki hadi aache kurupuka na ujuaji.
Afu jifunze kuandika ukiwa una mtetea popoma mwenzako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
1_E6nTun4GHPByHhphdlEDMA.jpeg


Jr[emoji769]
 
Mshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
And yet hujaweka chochote kinachoonyesha wewe unajua zaidi kuhusu hilo unalopinga!!!!
 
Ha ha ha ha ha, bwana mkubwa JF ni jukwa la great thinkers watu wanategemea unapoleta kitu hasa Cha ki uweledi basi ulete fully package na uwe well informed. Mfano mleta maada angeleta hiyo thread na akaomba kupata uelewa wa jambo hilo. Sasa yeye kancoclude kabisa as if anajua hizi mambo. Kwahiyo ni mhimu watu kuandika vitu ambavyo wanauelewa navyo!
Yaani hadi sasa bado wajiita great thinker[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Mzee hii ni habari baya saana.

Technologia ya wamarekani ni kubwa mno...kubwa mno....matukio tote ya utekaji wana ushahidi nayo....watu hawajui kwamba Dunia inapigwa picha 24 hrs!! Tukio la Lissu wanalo lote....wana satellites za ajabu inatoa images kama picha. Zile risasi walizotoa mwili kwake zimetoka full info zote za Bunduki ile kwamba ni AK47 ilitengenezwa wapi, ikauzwa wapi na inamilikiwa na nani kwa sasa....

Hili taifa la Marekani ni hatari sana kwa siri za mataifa mengine...wanajua kila siri za mataifa mengine.
Kesi ICC inanukia...Makonda anatangulia wengine wanafuata.
 
Kwa sababu ameandika upupu humu ndani na amei offend hii noble profession, nimeshasema kama yupo tayari aseme asaidiwe. Lakini akome kudandia mambo makubwa na magumu ambayo hana uwezo nayo. abaki huko huko kwenye vizizi na matunguli!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Rocket Propelled Grenade
 
Roma alienda katika tamasha la kiswahili .,alafu ICC hata sio ishu..RUTO NA KENYATA walifika huko
 
A risk of playing a double agent game in political parties in the same country is lower than that of playing the double agent game in security apparatuses of different countries.
 
Slaa alienda Mapumziko.. Halafu baadae ikawaje? Na case ya Wakenya unataka kuifananisha na Tz kweli?
Je kama alienda kwenye Tamasha la kiswahili imekuwaje akazamia? Afrika unaweza ku temper na visa sio Marekani
Roma alienda katika tamasha la kiswahili .,alafu ICC hata sio ishu..RUTO NA KENYATA walifika huko

Jr[emoji769]
 
Kwa haya maovu anayoyafanya Magufuli na Makonda hayayezi kupita hivi hivi hata kidogo. Kuna miisho mibaya kwa watu hawa ambayo mifano ipo.

1. Wanaweza wakakimbia nchi kama.akina Yahya Jammeh wa Gambia au Blaise Compaore wa BurkinaFaso. Hawa wawili waliua, waliiba na walijisahau kwenye madaraka kama anavyofanya Magufuli.

2. Tunaweza kuwapeleka ICC kwenye Mahakama ya uovu dhidi ya binadamu kama alivyopelkwa Laurent Bagbo wa Ivory Coast. Vitendo anavyofanya Magufuli na Makonda vya mauaji ya Ben Saanane, Azory Gwanda, mauaji ya MKIRU na mashambulizi kwa Tundu Lissu vinatosha kumfikisha ICC kwa kuwa ushahidi uko wazi kabisa. Clips zipo na waliopiga risasi akina Herry Kisanduku na Bwire wapo.

3. Aweza kutolewa kwa nguvu ya umma kama Omar Bashir wa Sudan na akapelekwa Segerea kama yeye anavyowapeleka kina Eric Kabendera. Wapambe wa Magufuri wanajidanganya sana, eti wanamuona Magufuri kama Rais mwenye nguvu wakati nguvu zenyewe ni za TISS, Police na TPDF na NEC. Ukifika wakati vyombo vyote vinakuchoka na wanakuacha ujitetee mwenyewe kama alivyoachwa Omar Bashir.

Ni suala la muda hao niliowataja hapo walikuwa na maguvu ya kutisha kuliko Magufuli lakini wakati ulipofika walidhalilishwa.

Tundu Lissu hata kama hawezi kuwa Mbunge wa Singida tena au Rais wa Tanzania lakini Mungu amemuepusha na kifo dhidi ya zile risasi 28 ili aje amshuhudie Magufuli na Makonda wakiwa WAMEDHALILISHWA
Nashukuru Umetema nyongo, isipokuwa hujui tofauti ya siasa za hapa bongo na hayo mataifa mengine. Hakuna mtu atamshitaki JPM!
 
Mshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
We unayejua umeishia kututukana ili tuendelee kuusambaza umbumbumbu wetu kwa wengine!! Huoni ni hatari zaidi kututukana kuliko ungetuelimisha
 
U.S. imposes visa bans on International Criminal Court investigators - Pompeo


Sijui tatizo ni lugha siielewi au ni sheria? Hii habari naona kama inawahusu marekani na ICC na siyo Tanzania na ICC.
 
Back
Top Bottom