Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

.
Una ugonvi Na Mshana? Mbona miaka wa watu hana hiana Na MTU.Tumuheshimu kama anavyotuheshimu naona Sasa mnamshika masharubu.Umeandika alichoweza kama mnajua zaidi Basi mke Na fact

Sent using Jamii Forums mobile app
1_K-5v5X7a_67fSOv8F7WMCQ.jpeg


Jr[emoji769]
 
Lengo la JF ni kupeana Elimu etc.

Pia jifunze kujenga hoja na siyo personal attack.

Acha lugha za kejeli na dharau.

Ukifanya hivyo itakusaidia sana mdogo wangu.

Zamani nilikuwa natumia lugha mbaya ila siku hizi huwa najikita katika kujenga hoja nzuri.

Karibu sana.
Ha ha ha ha ha, bwana mkubwa JF ni jukwa la great thinkers watu wanategemea unapoleta kitu hasa Cha ki uweledi basi ulete fully package na uwe well informed. Mfano mleta maada angeleta hiyo thread na akaomba kupata uelewa wa jambo hilo. Sasa yeye kancoclude kabisa as if anajua hizi mambo. Kwahiyo ni mhimu watu kuandika vitu ambavyo wanauelewa navyo!
 
Kwa haya maovu anayoyafanya Magufuli na Makonda hayayezi kupita hivi hivi hata kidogo. Kuna miisho mibaya kwa watu hawa ambayo mifano ipo.

1. Wanaweza wakakimbia nchi kama.akina Yahya Jammeh wa Gambia au Blaise Compaore wa BurkinaFaso. Hawa wawili waliua, waliiba na walijisahau kwenye madaraka kama anavyofanya Magufuli.

2. Tunaweza kuwapeleka ICC kwenye Mahakama ya uovu dhidi ya binadamu kama alivyopelkwa Laurent Bagbo wa Ivory Coast. Vitendo anavyofanya Magufuli na Makonda vya mauaji ya Ben Saanane, Azory Gwanda, mauaji ya MKIRU na mashambulizi kwa Tundu Lissu vinatosha kumfikisha ICC kwa kuwa ushahidi uko wazi kabisa. Clips zipo na waliopiga risasi akina Herry Kisanduku na Bwire wapo.

3. Aweza kutolewa kwa nguvu ya umma kama Omar Bashir wa Sudan na akapelekwa Segerea kama yeye anavyowapeleka kina Eric Kabendera. Wapambe wa Magufuri wanajidanganya sana, eti wanamuona Magufuri kama Rais mwenye nguvu wakati nguvu zenyewe ni za TISS, Police na TPDF na NEC. Ukifika wakati vyombo vyote vinakuchoka na wanakuacha ujitetee mwenyewe kama alivyoachwa Omar Bashir.

Ni suala la muda hao niliowataja hapo walikuwa na maguvu ya kutisha kuliko Magufuli lakini wakati ulipofika walidhalilishwa.

Tundu Lissu hata kama hawezi kuwa Mbunge wa Singida tena au Rais wa Tanzania lakini Mungu amemuepusha na kifo dhidi ya zile risasi 28 ili aje amshuhudie Magufuli na Makonda wakiwa WAMEDHALILISHWA
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nje ya mada Alvin.... Project yetu ile naona inaendelea vizuri lakini mbona final destination imerudishwa nyuma kwa kama km 2

Jr[emoji769]
Haijarudi nyuma bali ndivyo plan ilivyokua toka awali, kulikua na mambo kadhaa ambayo walikua hawajakubaliana,
Kwa sasa mambo yamekubalika ndio maana unaona vile mkuu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe muha! Ni watu wanaokuwa na misimamo mikali mno ya msingi. Lakini muha akiamua kuwa mjinga hakika mtachoka, anakuwa mjinga kupitiliza. Mifano ni msingi mno.
Hahahaaaaa naona amechagua kuwa upande wa pili. Anyways tuache ukabila lakini anatia aibu.
 
Back
Top Bottom