Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

Sisi tumemuelewa.....Tunashangaa wewe Kisebengo kujifanya wajua kumbe hujui
Ha ha ha ha ha ha. Kama aliyeandika hata hajui ameandika nini, Sasa wewe unayesema umemuelewa sijui nikuite Nani ha ha ha ha!
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Huyu bwana mdogo alikuja kasi sana kwa kumshambulia MSHANA JR kuwa ni mbumbumbu bila kutambua kwamba palipo na wengi kuna mengi na hakiharibiki kitu.

Jr[emoji769]
 
We dogo leo umeaibika!

Huyo magufuli mwenyewe hakujui unamtetea huku huna hata mia mfukoni! Duuhh!

ICC ina mamlaka ya kushughulikia uhalifu dhidi ya binadamu ; uhalifu ambao mara nyingi unafanywa na wanasiasa kwa kutumia state apparatus.

Pamoja na makosa mengine mengi yanayoangukia katika uhalifu dhidi ya binadamu, mauaji ya kisiasa nayo yanaingia humo!

The ICC will immediately invoke its jurisdiction when the state is reckless to take actions against such heinous atrocities.

Na hapo ndipo akina magufuli na genge lake huwa wanakuwa surprised kama yule gaidi la Congo na kundi lake la kivita.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu namtetea hapa bwana mdogo. Ninachopinga ni watu kutoka ndotoni na kuja kutuandikia vitu ambavyo hata hawajui vinatoka wapi vinaenda wapi. Hicho tu, andikeni upupu wenu huko lakini mkifika kwenye vitu vikubwa Kama hivo vinavyowazidi uwezo basi mpitege tu kha!
 
Nimejaribu kuchimba zaidi Mmarekani sio mwanachama lakini anafanya kazi kwa Karibu na ICC hasa linapokuja swala la ushahidi... Anachokataa Mmarekani ni raia wake kushitakiwa kwenye hii mahakama... Na mara nyingi Democratics ndio wanaisupport wakati republican wanaipinga... Hivyo basi kupitia nchi washirika Marekani anaweza kutoa msaada mkubwa

Jr[emoji769]
Huyo mpumbavu anayekukosoa hajui kuwa Security council ya UN ambayo USA ni mwanachama wa kudumu inaweza kukupeleka huko ICC...

Hivyo hata kama USA sio member wa mkataba wa roma ila kuna avenue ya wao kukupeleka ICC kama kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha ha, hakuna sehemu nimesema mimi nashabikia CCM, japo pia sizuiwi maana ndo democrasia na uhuru mnaojinasibu nao nyie Wanaserengeti. Lakini katika thread hii nilikuwa najaribu kumpa tahadhali mzee wa tunguli aache kudandia dandia kila jambo hasa yale ambayo yapo juu ya upeo wake.
Ukipasuliwa fuvu ubongo wako haujai kisoda
 
Ninachopinga ni watu kutoka ndotoni na kuja kutuandikia vitu ambavyo hata hawajui vinatoka wapi vinaenda wapi. Hicho tu, andikeni upupu wenu huko lakini mkifika kwenye vitu vikubwa Kama hivo vinavyowazidi uwezo basi mpitege tu kha!
Well, inawezekana mshana amekosea usahihi wa baadhi ya vipengele: lakini kukosea inaeleweka na inakubalika maana sio mwanasheria yeye.

Wewe umekuja hapa kuonyesha umwamba wako na unguli wako wa kitaaluma. It's fine, i have no problem with that.

Kiburi cha kitaaluma ni sawa tu. Unaruhusiwa kuwa na kiburi kwa kiasi ukitakacho.

Lakini kuwatetea wahalifu na kupotosha ukweli kuhusu mamlaka ya ICC, haikubaliki.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu namtetea hapa bwana mdogo. Ninachopinga ni watu kutoka ndotoni na kuja kutuandikia vitu ambavyo hata hawajui vinatoka wapi vinaenda wapi. Hicho tu, andikeni upupu wenu huko lakini mkifika kwenye vitu vikubwa Kama hivo vinavyowazidi uwezo basi mpitege tu kha!
Lengo la JF ni kupeana Elimu etc.

Pia jifunze kujenga hoja na siyo personal attack.

Acha lugha za kejeli na dharau.

Ukifanya hivyo itakusaidia sana mdogo wangu.

Zamani nilikuwa natumia lugha mbaya ila siku hizi huwa najikita katika kujenga hoja nzuri.

Karibu sana.
 
.
Umetumwa na mabeberu @mcshane jr?
Inchi ina amani na uchumi unakua kwa kasi ya rocket......

Sent using Jamii Forums mobile app
tapatalk_1581175818028.jpeg


Jr[emoji769]
 
Kwa haya maovu anayoyafanya Magufuli na Makonda hayayezi kupita hivi hivi hata kidogo. Kuna miisho mibaya kwa watu hawa ambayo mifano ipo.

1. Wanaweza wakakimbia nchi kama.akina Yahya Jammeh wa Gambia au Blaise Compaore wa BurkinaFaso. Hawa wawili waliua, waliiba na walijisahau kwenye madaraka kama anavyofanya Magufuli.

2. Tunaweza kuwapeleka ICC kwenye Mahakama ya uovu dhidi ya binadamu kama alivyopelkwa Laurent Bagbo wa Ivory Coast. Vitendo anavyofanya Magufuli na Makonda vya mauaji ya Ben Saanane, Azory Gwanda, mauaji ya MKIRU na mashambulizi kwa Tundu Lissu vinatosha kumfikisha ICC kwa kuwa ushahidi uko wazi kabisa. Clips zipo na waliopiga risasi akina Herry Kisanduku na Bwire wapo.

3. Aweza kutolewa kwa nguvu ya umma kama Omar Bashir wa Sudan na akapelekwa Segerea kama yeye anavyowapeleka kina Eric Kabendera. Wapambe wa Magufuri wanajidanganya sana, eti wanamuona Magufuri kama Rais mwenye nguvu wakati nguvu zenyewe ni za TISS, Police na TPDF na NEC. Ukifika wakati vyombo vyote vinakuchoka na wanakuacha ujitetee mwenyewe kama alivyoachwa Omar Bashir.

Ni suala la muda hao niliowataja hapo walikuwa na maguvu ya kutisha kuliko Magufuli lakini wakati ulipofika walidhalilishwa.

Tundu Lissu hata kama hawezi kuwa Mbunge wa Singida tena au Rais wa Tanzania lakini Mungu amemuepusha na kifo dhidi ya zile risasi 28 ili aje amshuhudie Magufuli na Makonda wakiwa WAMEDHALILISHWA
Kabla hujani-quote ulisoma vizuri swali langu!!
 
Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.

Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.

Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk

Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.

Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.

Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?

Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.

Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?

Jr[emoji3481]
Na very soon Mdude naye atakuwa huko kukamilisha mahitaji muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom