Ibara ya 68 ya katiba inasema hivi;
Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa.
Mamlaka ya Spika ni lile rungu. Bila rungu maana yake bunge halipo.
Akina Halima Mdee na wenzake wameapa majuzi.
Je, lile rungu lilikuwepo?
Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa.
Mamlaka ya Spika ni lile rungu. Bila rungu maana yake bunge halipo.
Akina Halima Mdee na wenzake wameapa majuzi.
Je, lile rungu lilikuwepo?