Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hahaaaa
Rungu lilikuwepo jipya linaloitwa 'NEC'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rungu lilikuwepo jipya linaloitwa 'NEC'
mambo mengine yapo kimila mle. Huenda rungu ni jini yule lazma asujudiwe kabla ya biashara zingine kuendelea.
Nilicheka sana halima wa kuhangaika na kubebelea vipaza sauti kweli alikuwa kama mjinga flani hiviMzee Halima ndiyo alikuwa akishughulika na vipaza sauti
Naam Ni kama fascio kwa Rumi na chama cha MussoliniKwahio rungu lina thaman kuliko Ndugai
Bunge sio gereji.Tusaidie mkuu Bunge ni nini?
Kifungu gani kinasema Mamlaka ya Spika yanategemea uwepo wa Rungu?Ibara ya 68 ya katiba inasema hivi;
Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa...
Inshort pale gereji walipoapishwa hao waasi hapakua na sifa yoyote ya kuitwa bunge.
Bila kuwepo SIWA,maana yake bunge halijakamilika,
Kwa hiyo kina Mdee waliapishwa na nwenyekiti wa kamati ya bunge na siyo sipika.
Wameshakuambia wenzake siwa ndiyo bunge.
Kama haikuwepo hakukuwa na bunge.
Mamlaka ya bunge yanabebwa na Siwa.Kama siwa haipo hilo siyo bunge ni kamati.Kuna tofauti ya Bunge na ukumbi wa Bunge
Mbunge sharti aaapishiwe bungeni sio ukumbi wa Bunge
Hata angeapishwa kwny canteen ile ya Bunge bado 'inaswihi tu'
Mamlaka ya bunge yanabebwa na Siwa.Kama siwa haipo hilo siyo bunge ni kamati.
Nazungumzia execution of the powers of the Speaker of the National Assembly. Hili hufanyika mahali maalum (Bungeni); mbele ya wajumbe wenye sifa maalum (wabunge); na kwa utaratibu maalum (Siwa, kanuni, etc.).Mbona akiwa anapita mitaani anatambulika ni Spika mkuu? Kwa taarifa yako Spika akishachaguliwa na wabunge anakuwa Spika haijarishi iwepo SIWA ama la. Ila kama ungeniambia Mkutano wa Bunge lazima iwepo hiyo SIWA at least ningekuamini kwa mbaliii nikibukua sheria hapa ili kujua maana ya Bunge kisheria ni nini? Lakini naamini wanasheria walioko Ofisi ya Bunge watakuwa wanajua zaidi yetu ndiyo maana waliamua hivyo.
No! Kingekuwa kituko kingine! Siwa pahala pake ni Bungeni mbele ya wabunge. Nje ya Bunge, Siwa ni dhahabu ing'aayo tu, nothing else.Kwa hiyo kama spika angekumbuka kuleta siwa pale nje ingekuwa halali?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pale gereji palikuwa na crankshaft ya 504...ilitosha kuwakilisha mamlaka ya bunge
Boss kanuni ilibadilishwa na bunge la 11 now inasomeka mbunge anatakiwa kuapa mbele ya Spika sio mbele ya bunge mbona ishu ni simple tu?Ibara ya 68 ya katiba inasema hivi;
Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa...
BheleeeezeeeeeNo! Kingekuwa kituko kingine! Siwa pahala pake ni Bungeni mbele ya wabunge. Nje ya Bunge, Siwa ni dhahabu ing'aayo tu, nothing else.
Walichanganyikuwa Hadi wakasahau kuweka SIWA,
Kumbuka SIWA ndiyo bunge,Kama hakuna SIWA hakuna bunge,
Leo baada ya kujua walisahau kuweka siwa ,wanajuta.
Pale gereji palikuwa na crankshaft ya 504...ilitosha kuwakilisha mamlaka ya bunge