- Thread starter
- #61
Lete hoja[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete hoja[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Gesti?🤣🤣🤣🤣Kina halima wameapishwa gesti, rungu lilikuwepo ila sio mace
Achana na waabudu sanamu, wao wanajua sanamu ni zaidi ya binadamu.Kwahio rungu lina thaman kuliko Ndugai
Ki-ccm ccm watakujibu kwamba waliapishwa ndani ya viunga vya bunge na rungu lilikuwepo ndani hivyo hakuna kosa hapo. Tunawajua vizuri ccm hawakosi hoja bila kujali hoja hiyo ina maana ama haina maana.Ibara ya 68 ya katiba inasema hivi;
Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa.
Mamlaka ya Spika ni lile rungu. Bila rungu maana yake bunge halipo.
Akina Halima Mdee na wenzake wameapa majuzi.
Je, lile rungu lilikuwepo?
Bunge ni watu hiyo siwa ni sanamu. Kwani ni mthamini sanamu kuliko mtu? Kwahiyo siwa ikiwepo bila watu ndo linakuwepo bunge?Wameshakuambia wenzake siwa ndiyo bunge.
Kama haikuwepo hakukuwa na bunge.
Soma katiba niliyoi quote.Mbunge anaapishwa na Spika sio na Bunge.....uwepo Wa Siwa/mace maana bunge linaendelea.
Hapakuwa na bunge pale.
Kanuni ya bunge inasema....sio lazima mbunge aapishiwe bungeni ila ni lazima aapishwe na Spika.
Bunge linaongozwa na kanuni.Soma katiba niliyoi quote.
Katiba ni kubwa kuliko hata sheria, achilia mbali kanuni.
Na upunguze ukilaza
Mbumbumbu mkubwaBunge linaongozwa na kanuni.
Kama kuna issue ya kisheria basi AG atatoa tafsiri.
Acha ujinga
[emoji35]Haya.
Kuna tofauti ya Bunge na ukumbi wa Bunge
Mbunge sharti aaapishiwe bungeni sio ukumbi wa Bunge
Hata angeapishwa kwny canteen ile ya Bunge bado 'inaswihi tu'
Katika sheria Kama tafsiri italeta utata Kati ya laugha ya kiswahili au kiingereza basi ya kiingereza itafuatwa. Unaelewa maana ya National Assembly we mswahili?
Nini maana ya National Assembly we mswahili?Sheria huwa inafasiriwa kwa liberal sio literal meaning
Jamhuri ya fojariHii ngoma ni droo Aliye uza dhahabu feki na kupewa noti bandia
Mdee kapeleka hati feki
Ndugai kaapisha kifeki
Vigezo na masharti vizingatiwe
Dunia ina Wazoom
Ule ni sawa na ramli kwa waganga wa kienyeji waliapishwa kihuni huni tu kama wabunge mamlukiIbara ya 68 ya katiba inasema hivi;
Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa.
Mamlaka ya Spika ni lile rungu. Bila rungu maana yake bunge halipo.
Akina Halima Mdee na wenzake wameapa majuzi.
Je, lile rungu lilikuwepo?