Uchaguzi 2020 Je, Salum Mwalimu ameanza kutumia ngekewa kuiangamiza CCM mikoa ya Kusini?

Uchaguzi 2020 Je, Salum Mwalimu ameanza kutumia ngekewa kuiangamiza CCM mikoa ya Kusini?

Msidanganyane. Chadema huu uchaguzi imeshashindwa. Ijipange upya kwa ajili ya uchaguzi w 2025.
Imeshashindwa vipi wakati sie wapiga kura tunasema itashinda?
Au wapiga kura in Rais wa Malawi na wa Burundi? Maana hata wanaccm wenyewe wanasema kura kwa Lissu
 
Mutaiba Kura kwa nguvu
Na safari hii ndio kifo chao. CCM kuiba kura 2020 ni sawa na kibaka kukwapua pochi Kariakoo SAA 7 mchana.
Atakayokutana nayo Kibaka ndiyo itakavyo kutana navyo CCM.
 
Ccm kusini ni sawa na ebola haitakiwi inahujumu maendeleo ya kusini.
 
Kosa la ccm Ni kuwekeza kwenye dola badala ya nguvu ya umma
 
Mtaisoma namba
Chadema katika kumaliza ngwe hii iwashawishi vijana kwenda kupiga kura.
Vjjana wamelishwa kasumba kwamba kamwe ccm haiwezi kushindwa reference ikiwa uchaguzi wa 2015.
Kwa hiyo wamekata tamaa ya kupiga kura bure. ..


Wale wa ccm wao wataenda kupiga kura.
Mengi watu washayajua, kubwa liwe kupiga kura na kulinda. Kuhakikisha uchaguzi huru, wa haki na amani.
Waambiwe kutokupiga kura ni usaliti wa nafsi zao na uhuru wao.

Vijana kapigeni kura. Ndipo ushindi ulipo. Kukata tamaa ni dhambi. Msimsikilize shetani anayewashawishi kutokupiga kura.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli huo huo..Mie ni Moja ya nao usikiliza.

CHADEMA mnaenda kuanguka kabisa baada ya uchaguzi huu.Have my words.
Huu utabiri usio na base, mlisema hivyo sana, kuwa upinzani umekufa.Lakini kinachoonekana field baada ya miaka minne na ushee ni tofauti.
Mlisema ACT itakuwa chama kikuu cha upinzani lakini huku bara haionekani kuwa hivyo.
Tunaona tu polisi wakilazimika kutumia nguvu, vyombo vya habari vikiwa na hofu...haijawahi kuwa hivi baada ya kuanza kwa vyama vingi.
Acha mapenzi, tumia logic and fact.
NB: Kama janja janja za kipuuzi zitatumika, nchi inaingizwa pagumu ,huyu Lissu sio Mrema,Lowasa,Mbowe wala Dr Slaa. Ni mtu ambae anajisimamia bila hofu,kabla,wakati na baada ya uchaguzi.
Cha msingi jitahidi kuwa na akiba ya kifedha, na passport karibu.
 
Salum Mwalimu yeye mwenyewe binafsi ana kipaji kikubwa sana cha kuzungumza, ana energy ile ya ujana basi anaconnect kirahisi na watu wa rika la ujana.
Kule kusini chama tawala wanajua kabisa shughuli ni pevu, Jana Mwalimu kachakaza sana Nanyumbu na Tunduru.
 
Huu utabiri usio na base, mlisema hivyo sana, kuwa upinzani umekufa.Lakini kinachoonekana field baada ya miaka minne na ushee ni tofauti.
Mlisema ACT itakuwa chama kikuu cha upinzani lakini huku bara haionekani kuwa hivyo.
Tunaona tu polisi wakilazimika kutumia nguvu, vyombo vya habari vikiwa na hofu...haijawahi kuwa hivi baada ya kuanza kwa vyama vingi.
Acha mapenzi, tumia logic and fact.
NB: Kama janja janja za kipuuzi zitatumika, nchi inaingizwa pagumu ,huyu Lissu sio Mrema,Lowasa,Mbowe wala Dr Slaa. Ni mtu ambae anajisimamia bila hofu,kabla,wakati na baada ya uchaguzi.
Cha msingi jitahidi kuwa na akiba ya kifedha, na passport karibu.
Na kubali Lissu sio hao uliowataja.

Ila CHADEMA haijawahi pata Mtu Smart kama Dkt. Slaa.
 
Wanabodi, mambo sio mambo huko kusini naona sasa Salum Mwalimu ameanza kutumia Ngekewa kama ya Lissu huko Nachingwea kwa kuanza kujaza wafuasi barabarani na viwanjani.

Siku saba za Lissu likizo ni dhahiri kamzizi au dawa ya mvuto amemkabidhi Salum Mwalim, Salum Mwalim anaitumia ngekewa vizuri huko mikoa ya Kusini.

Ule umati huko Nachingwea nina hakika ni dawa au mizizi ya Tundu Lissu ya mvuto.

Kama sio ngekewa au uchawi basi CCM tuna kazi ndefu sana ya kufanya tukichaguliwa na kupewa nafasi na wananchi.

All in all tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa.
Zingatia makafara Mawili
1. Kafara la damu ya Lissu
2. Kafara la kutokimbiza moto
 
Back
Top Bottom