Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamfahamu Samia Suluhu ?Huyo Salum Mwalimu ndiyo awe Makamu wa Rais? Ila wapinzani sijui lini watakuwa serious.
HapanaUnamfahamu Samia Suluhu ?
tutaisoma number kama inasomeka, tatizi ni nyie ambao hamuoni na hamtaki kutumia miwani, hata kabla uchaguzi haujafanyika mshaanza kulalamika. Lakini hata kwa chupa mataona safari hii, na kilimilimi chenu kitazimwa for ever.Mtaisoma namba
Nakushauri unyamaze utamponza mama wa watuHapana
Kama ndio mna Imani hizo Basi mlishafilisika,sio tuu kisiasa Bali hata kifikra .Kwa nanna hiyo mkipata nafasi mtakuwa mkitarajia nguvu za Giza zilete maendeleo , badala ya kuacha ubaguzi na kufanya maendeleo shirikishi.Wanabodi, mambo sio mambo huko kusini naona sasa Salum Mwalimu ameanza kutumia Ngekewa kama ya Lissu huko Nachingwea kwa kuanza kujaza wafuasi barabarani na viwanjani.
Siku saba za Lissu likizo ni dhahiri kamzizi au dawa ya mvuto amemkabidhi Salum Mwalim, Salum Mwalim anaitumia ngekewa vizuri huko mikoa ya Kusini.
Ule umati huko Nachingwea nina hakika ni dawa au mizizi ya Tundu Lissu ya mvuto.
Kama sio ngekewa au uchawi basi CCM tuna kazi ndefu sana ya kufanya tukichaguliwa na kupewa nafasi na wananchi.
All in all tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa.
Combination ya Uhuru,haki na maendeleo ya kweli.Asiyekubali asubiri muda utaamua.Tundu Lissu and Salum Mwalimu is the best combination in this election.
Hivi tangu miaka hiyo mnasema Chadema imekufa kumbe haijafa bado?Ukweli huo huo..Mie ni Moja ya nao usikiliza.
CHADEMA mnaenda kuanguka kabisa baada ya uchaguzi huu.Have my words.
Mtajua hamjui mwaka huuWanabodi, mambo sio mambo huko kusini naona sasa Salum Mwalimu ameanza kutumia Ngekewa kama ya Lissu huko Nachingwea kwa kuanza kujaza wafuasi barabarani na viwanjani.
Siku saba za Lissu likizo ni dhahiri kamzizi au dawa ya mvuto amemkabidhi Salum Mwalim, Salum Mwalim anaitumia ngekewa vizuri huko mikoa ya Kusini.
Ule umati huko Nachingwea nina hakika ni dawa au mizizi ya Tundu Lissu ya mvuto.
Kama sio ngekewa au uchawi basi CCM tuna kazi ndefu sana ya kufanya tukichaguliwa na kupewa nafasi na wananchi.
All in all tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa.
Jiandaeni tu Chama ata wala Tanzania 2020-2025 ni ChademaMsidanganyane. Chadema huu uchaguzi imeshashindwa. Ijipange upya kwa ajili ya uchaguzi w 2025.
Subiri mpigwe mpapaso kwanza mkae sawaMsidanganyane. Chadema huu uchaguzi imeshashindwa. Ijipange upya kwa ajili ya uchaguzi w 2025.
Sure. Dogo anakimbiza balaaSalum Mwalimu yeye mwenyewe binafsi ana kipaji kikubwa sana cha kuzungumza, ana energy ile ya ujana basi anaconnect kirahisi na watu wa rika la ujana.
samia suluu akienda mahali unaweza sema ni mgombea udiwani
korosho mzeeMikoa ya kusini ni miongoni mwa ngome za CCM,lakini naskia mara hii huko watu wamefanya mabadiliko.
kipindi kile cha koroshow.....nilipita Newala nikakuta makada wa CCM wamechoka kabisa .....nikajua wanajambo lao 28/10Imeshashindwa vipi wakati sie wapiga kura tunasema itashinda?
Au wapiga kura in Rais wa Malawi na wa Burundi? Maana hata wanaccm wenyewe wanasema kura kwa Lissu
View attachment 1593556
Imeshindwa kabla ya kupiga kura? Acheni ujinga wenu wa kitotoMsidanganyane. Chadema huu uchaguzi imeshashindwa. Ijipange upya kwa ajili ya uchaguzi w 2025.
Nashukuru kukubali kuwa CCM itashinda kwa kutumia mbinu za kisiasa zisizo halali. Aksante.Wanabodi, mambo sio mambo huko kusini naona sasa Salum Mwalimu ameanza kutumia Ngekewa kama ya Lissu huko Nachingwea kwa kuanza kujaza wafuasi barabarani na viwanjani.
Siku saba za Lissu likizo ni dhahiri kamzizi au dawa ya mvuto amemkabidhi Salum Mwalim, Salum Mwalim anaitumia ngekewa vizuri huko mikoa ya Kusini.
Ule umati huko Nachingwea nina hakika ni dawa au mizizi ya Tundu Lissu ya mvuto.
Kama sio ngekewa au uchawi basi CCM tuna kazi ndefu sana ya kufanya tukichaguliwa na kupewa nafasi na wananchi.
All in all tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa.
Wana ntwara Sasa malizeni kazi kabisa.muwathibitishie kuwa roho zao ni za korosho.Wakisimama nchale, akitembea nchale,wakikimbia nchale.Hakikisheni wachimumunye Wala wachiteme.Kazi malizeni October 28.kipindi kile cha koroshow.....nilipita Newala nikakuta makada wa CCM wamechoka kabisa .....nikajua wanajambo lao 28/10