Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Salum na Mama wakutanishwe kwenye mdahalo tuone nani bingwa.Kwakweli nimeshangaa sana kwa nilichokiona Leo Nachingwea!! Mama Samia hajapita huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salum na Mama wakutanishwe kwenye mdahalo tuone nani bingwa.Kwakweli nimeshangaa sana kwa nilichokiona Leo Nachingwea!! Mama Samia hajapita huko?
Watu wanataka mali mpya. Hawataki mitumba tena.Mikoa ya kusini ni miongoni mwa ngome za CCM,lakini naskia mara hii huko watu wamefanya mabadiliko.
Kwani Samia haongozani na fiesta?.Hehehehe hadi kashakata tamaa
Watanzania wa leo sio wajana wanajua kuchambua pumba na mchele miaka 60 unaimba wimbo uleule ushachuja wanataka wabadilishe wimbo mpya kwani kuna mtu anakerekwaWanabodi, mambo sio mambo huko kusini naona sasa Salum Mwalimu ameanza kutumia Ngekewa kama ya Lissu huko Nachingwea kwa kuanza kujaza wafuasi barabarani na viwanjani.
Siku saba za Lissu likizo ni dhahiri kamzizi au dawa ya mvuto amemkabidhi Salum Mwalim, Salum Mwalim anaitumia ngekewa vizuri huko mikoa ya Kusini.
Ule umati huko Nachingwea nina hakika ni dawa au mizizi ya Tundu Lissu ya mvuto.
Kama sio ngekewa au uchawi basi CCM tuna kazi ndefu sana ya kufanya tukichaguliwa na kupewa nafasi na wananchi.
All in all tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa.
Kati yako na sisi nani anajidanganyaMsidanganyane. Chadema huu uchaguzi imeshashindwa. Ijipange upya kwa ajili ya uchaguzi w 2025.
SEMA tutaisoma nambaMtaisoma namba
Unataka babako ndie makamu?Huyo Salum Mwalimu ndiyo awe Makamu wa Rais? Ila wapinzani sijui lini watakuwa serious.
Wa kata ya buza [emoji23][emoji23][emoji38]
How, clarifyMsidanganyane. Chadema huu uchaguzi imeshashindwa. Ijipange upya kwa ajili ya uchaguzi w 2025.
Viongozi wa CHADEMA wahamasishe vijana kujitokeza kwa wingi kupiga kuraChadema katika kumaliza ngwe hii iwashawishi vijana kwenda kupiga kura.
Vjjana wamelishwa kasumba kwamba kamwe ccm haiwezi kushindwa reference ikiwa uchaguzi wa 2015.
Kwa hiyo wamekata tamaa ya kupiga kura bure. ..
Wale wa ccm wao wataenda kupiga kura.
Mengi watu washayajua, kubwa liwe kupiga kura na kulinda. Kuhakikisha uchaguzi huru, wa haki na amani.
Waambiwe kutokupiga kura ni usaliti wa nafsi zao na uhuru wao.
Vijana kapigeni kura. Ndipo ushindi ulipo. Kukata tamaa ni dhambi. Msimsikilize shetani anayewashawishi kutokupiga kura.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Buza kwa bi.Hamida au???
Chadema imeshinda mioyo ya watu tunapaswa sasa kulinda sanduku la kura.Wanabodi, mambo sio mambo huko kusini naona sasa Salum Mwalimu ameanza kutumia Ngekewa kama ya Lissu huko Nachingwea kwa kuanza kujaza wafuasi barabarani na viwanjani.
Siku saba za Lissu likizo ni dhahiri kamzizi au dawa ya mvuto amemkabidhi Salum Mwalim, Salum Mwalim anaitumia ngekewa vizuri huko mikoa ya Kusini.
Ule umati huko Nachingwea nina hakika ni dawa au mizizi ya Tundu Lissu ya mvuto.
Kama sio ngekewa au uchawi basi CCM tuna kazi ndefu sana ya kufanya tukichaguliwa na kupewa nafasi na wananchi.
All in all tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa.
Anayo kubwa tuKwani Samia haongozani na fiesta?.
Chadema endeleeni kujaza watu kwenye mikutano. CCM itajaza kura kwenye masanduku ya kura!Wanabodi, mambo sio mambo huko kusini naona sasa Salum Mwalimu ameanza kutumia Ngekewa kama ya Lissu huko Nachingwea kwa kuanza kujaza wafuasi barabarani na viwanjani.
Siku saba za Lissu likizo ni dhahiri kamzizi au dawa ya mvuto amemkabidhi Salum Mwalim, Salum Mwalim anaitumia ngekewa vizuri huko mikoa ya Kusini.
Ule umati huko Nachingwea nina hakika ni dawa au mizizi ya Tundu Lissu ya mvuto.
Kama sio ngekewa au uchawi basi CCM tuna kazi ndefu sana ya kufanya tukichaguliwa na kupewa nafasi na wananchi.
All in all tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa.
Kura za maruhaniChadema endeleeni kujaza watu kwenye mikutano. CCM itajaza kura kwenye masanduku ya kura!