Uchaguzi 2020 Je, Salum Mwalimu ameanza kutumia ngekewa kuiangamiza CCM mikoa ya Kusini?

Watanzania wa leo sio wajana wanajua kuchambua pumba na mchele miaka 60 unaimba wimbo uleule ushachuja wanataka wabadilishe wimbo mpya kwani kuna mtu anakerekwa

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wa CHADEMA wahamasishe vijana kujitokeza kwa wingi kupiga kura
 
Chadema imeshinda mioyo ya watu tunapaswa sasa kulinda sanduku la kura.
 
Chadema endeleeni kujaza watu kwenye mikutano. CCM itajaza kura kwenye masanduku ya kura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…