Je Samia ametumia Fedha za umma kufadhili Tamasha la kizimkazi au Fedha binafsi?

Je Samia ametumia Fedha za umma kufadhili Tamasha la kizimkazi au Fedha binafsi?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Hii HOJA inanitatiza sana, nilisikia Kauli kuwa Tamasha la Mama Kizimkazi limedhaminiwa na Rais Samia, ila nimejaribu kudadavua sijapata kuelewa hata kidogo.

Viongozi karibu wote wa serikali wamekuwa wakiita Fedha za bajeti kuu ya serikali kuwa ni Fedha za mama, na kwamba miradi yote ya maendeleo ni mama Huwa analeta Fedha ambazo kiuhalisia ni Fedha za mfuko Mkuu wa bajeti.

Sasa sote tunajua ukweli kuwa Fedha za serikali zimetumika katika kuwezesha sikukuu ya kizimkazi , lakini pia pesa za watu binafsi na makampuni pia zimetumika.

Hata Sasa ukienda karibu Kila ofisi ya umma utakuta wafanyakazi wametumia Fedha za bajeti ya serikali kujilipa posho ya kwenda Zanzibar kushiriki tamasha la kizimkazi. Kiuhalisia serikali ilihamia huko.

Sasa serikali iseme ukweli kuwa imetumia Kodi za wananchi,
 
Kwan ni tamasha binafsi au la umma?

Nyiny mnataka muambiwe kila kitu.

Inawezekana?
 
Hii HOJA inanitatiza sana, nilisikia Kauli kuwa Tamasha la Mama Kizimkazi limedhaminiwa na Rais Samia, ila nimejaribu kudadavua sijapata kuelewa hata kidogo.

Viongozi karibu wote wa serikali wamekuwa wakiita Fedha za bajeti kuu ya serikali kuwa ni Fedha za mama, na kwamba miradi yote ya maendeleo ni mama Huwa analeta Fedha ambazo kiuhalisia ni Fedha za mfuko Mkuu wa bajeti.

Sasa sote tunajua ukweli kuwa Fedha za serikali zimetumika katika kuwezesha sikukuu ya kizimkazi , lakini pia pesa za watu binafsi na makampuni pia zimetumika.

Hata Sasa ukienda karibu Kila ofisi ya umma utakuta wafanyakazi wametumia Fedha za bajeti ya serikali kujilipa posho ya kwenda Zanzibar kushiriki tamasha la kizimkazi. Kiuhalisia serikali ilihamia huko.

Sasa serikali iseme ukweli kuwa imetumia Kodi za wananchi,
hivi wewe ulikuwa husikii kiwa tamasha hilo lilikuwa na wafadhili,watu wengine sijui akili zenu ziko kwenye makalio
 
Nashangaa sana wale wapiga sifa wa awamu ya tano ndo wamekuwa wanaohoji sana awamu ya sita . kwanini awamu ya sita? Kumbe nyuki wenye asali ndo wanaowindwa sana.
 
Back
Top Bottom