Je, Serikali iko tayari kumuwekea ulinzi Ole Sabaya?

Je, Serikali iko tayari kumuwekea ulinzi Ole Sabaya?

Hata wafiwa wa marehemu wangwe wana masikitiko kwa sababu kengeza alimuua
Huyo unayemwita kengeza ni nani katika nchi hii mpaka afike hatua ya kuua mtu aliyekuwa well known kama Chacha Wangwe halafu aachwe tu na vyombo vya dola .Acheni kudharirisha nchi na vyombo vyetu vya dola watu wakaona vyombo vyetu ni dhaifu kumbe siasa zenu za majitaka
 
Idiot, unaelewa msingi wa hoja iliyoletwa wateswaji wa Sabaya unadhani watakubali kutolipiza kisasi? Security kwa Sabaya ni muhimu, kuliko maswala unayoyaingizia ambayo kesi yake ilishakwisha na hata wenye visasi walisha samehe!!
Tangu lini ukamuonea huruma Sabaya?
 
Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.

Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.

Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.

Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.

Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.

Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.

Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Hii ya kufanya plea bagein ni watanzania wote wakiplea wanasamehewa au some people are above the law?
 
Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.

Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.

Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.

Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.

Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.

Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.

Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Acheni uhuni sabaya alitenda haki bila uonevu, hakuna ngedere wa kumfanya kitu Lengai, Chadema wote midundiko tu
 
Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.

Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.

Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.

Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.

Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.

Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.

Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Kwani mbowe yeye aliwekewa ulinzii? Si Yuko huru kabisa
 
Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.

Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.

Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.

Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.

Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.

Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.

Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Si alifunguliwa mashitaka?mbona hamkwenda kutoa ushaidi?
Kuweka chumvi Magari ya Mbowe,mbona hamkumfumgulia mashitaka na Mawakili wazuri mnao?
Hayo maneno yako yanabaki kuwa majungu sasa!
 
Si alifunguliwa mashitaka?mbona hamkwenda kutoa ushaidi?
Kuweka chumvi Magari ya Mbowe,mbona hamkumfumgulia mashitaka na Mawakili wazuri mnao?
Hayo maneno yako yanabaki kuwa majungu sasa!
Rudia tena kusoma uzi
 
Lowassa alituhumiwa UGAIDI bt mtaani alipewa ulinzi na CDM,

Kilichonishangaza ni kuwa JAMBAZI anaweza kukiri makosa yake na kuachiwa huru Kwa kulipa pesa kidogo.
 
U
Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.

Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.

Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.

Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.

Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.

Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.

Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Usiamshe walio lala utaaribu mipango ya watu
 
Tunaelekea kaskazini duru zetu zikishatupatia taarifa zisizotia shaka kumhusu, wahanga tuna jambo letu, lipo, na mtaliona.

Kwetu waislamu kisasi ni haki!
Mbona alikaa sana uraiani kabla samia hajatoa amri akamatwe
 
Chacha Wangwe alikufa kwenye ajali ya gari , dereva wake alikamatwa na kuhukumiwa jela , lakini baadaye aliachiwa kwa msamaha wa Rais Benjamin Mkapa .

sasa hawa watu duni wanapokuja kutukana humu ni kwa vile ama hawajui kitu au walikuwa hawajazaliwa
We kweli garasa. Hata hujui chacha wangwe alikufa wakati gani. Kaa na zitto vizuri atakupa mchongo mzima.
 
Si alifunguliwa mashitaka?mbona hamkwenda kutoa ushaidi?
Kuweka chumvi Magari ya Mbowe,mbona hamkumfumgulia mashitaka na Mawakili wazuri mnao?
Hayo maneno yako yanabaki kuwa majungu sasa!
Walibaki kusema aliwabaka sana.
 
Sijawahi kusikia wala kuona mshitakiwa amekiri kuhusika na makosa ya kesi za jinai akaachiwa huru kwa Plea Bargain acha mbali mwenye kesi 7 za jinai, ambazo ni pamoja na Uhujumu Uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na Uongozi wa genge la Majambazi ati kaachiwa huru baada ya kukiri makosa yote hayo - Only in Tanzania



Kwa Kweli Mbona inashangaza mno na kusikitisha sana! [emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom