MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Ushajiita chawa. Sina cha kusema tenaKengeza yupo kaolewa na dume toka Ujerumani na ndiyo maana ndoa imekufa, yule punga mwingine ndiyo karudi, mliendekeza misaada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushajiita chawa. Sina cha kusema tenaKengeza yupo kaolewa na dume toka Ujerumani na ndiyo maana ndoa imekufa, yule punga mwingine ndiyo karudi, mliendekeza misaada.
Sidhani kama kuna kanisa litampokea huyu jamaa , maana amehujumu hadi Masista wa kanisaAcha wamgawane nyama huyu jamaa hana hata aibu ila siku akienda Kanisani kusema hadharani alitumia madaraka na umri wake ulimsukuma kufanya mambo ya kijingw
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hizi ndo akili za CCM..... idiots mmeshindwa kuwahakikishia watanzania huduma ya umeme na maji ya uhakika miaka 60 ya uhuruJe, kengeza aliyemuua chacha wangwe na kufanya jaribio la kumuua Tundu lisu anaulinzi? Pia mkifanya uchaguzi wa mwenyekiti mwingine wa NGO yenu mtujulishe.
Semeni Ukweli tu kuwa Sabaya alibambikiwa kesi, sasa wakati muafaka kaachiwa huruNenda kakae wewe jela
Ni mtu mwenye itikadi kama wewesaambaya ndo nani?
Plea Bargain ni special kwa watu wakubwa tu Budah, moja ya condition yake ni kukili kosa. Hivi L.O.S kisheria yuko sahihi na mahakama pia iko sahihi. NB: Hakuna plea Bargain ya lower class.Sijawahi kusikia wala kuona mshitakiwa amekiri kuhusika na makosa ya kesi za jinai akaachiwa huru kwa Plea Bargain acha mbali mwenye kesi 7 za jinai, ambazo ni pamoja na Uhujumu Uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na Uongozi wa genge la Majambazi ati kaachiwa huru baada ya kukiri makosa yote hayo - Only in Tanzania
Pia mleta mada akumbuke kwamba Sabaya ana mabausa wake. WatamlindaKwani makonda anaishije mpaka sabaya ashindwe kuishi mpaka awekewe ulinzi.
Hazina ya familia yenu. Sio ya Taifa.OLE SABAYA NI HAZINA YA TAIFA ANASTAHIRI ULINZI MKALI
Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.
Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.
Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.
Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.
Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.
Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.
Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Arusha na Moshi si wa kuchezeaKama ana busara aanze maisha mapya hata Tandahimba huko, ila wa Tanzania si walipa visasi, nature itamhudumia.
Awekwe ulinzi kwani yale Maguvu aliyokuwa nayo yameyeyuka,🤔.Kwani Jela aling'olewa nywele🤔Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.
Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.
Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.
Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.
Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.
Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.
Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Arusha na Moshi si wa kuchezea
Mimi pia naombea hilo hiloNimezaliwa moshi na nimeishi Arusha for 20 years, hakuna atakayemgusa nakuhakikishia.
Mimi pia naombea hilo hilo