samsolo the great
JF-Expert Member
- Jul 9, 2021
- 750
- 1,086
Huyo unayemwita kengeza ni nani katika nchi hii mpaka afike hatua ya kuua mtu aliyekuwa well known kama Chacha Wangwe halafu aachwe tu na vyombo vya dola .Acheni kudharirisha nchi na vyombo vyetu vya dola watu wakaona vyombo vyetu ni dhaifu kumbe siasa zenu za majitakaHata wafiwa wa marehemu wangwe wana masikitiko kwa sababu kengeza alimuua
Tangu lini ukamuonea huruma Sabaya?Idiot, unaelewa msingi wa hoja iliyoletwa wateswaji wa Sabaya unadhani watakubali kutolipiza kisasi? Security kwa Sabaya ni muhimu, kuliko maswala unayoyaingizia ambayo kesi yake ilishakwisha na hata wenye visasi walisha samehe!!
Hii ya kufanya plea bagein ni watanzania wote wakiplea wanasamehewa au some people are above the law?Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.
Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.
Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.
Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.
Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.
Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.
Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Acheni uhuni sabaya alitenda haki bila uonevu, hakuna ngedere wa kumfanya kitu Lengai, Chadema wote midundiko tuNaandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.
Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.
Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.
Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.
Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.
Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.
Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Na mimi nasubiri jibuHii ya kufanya plea bagein ni watanzania wote wakiplea wanasamehewa au some people are above the law?
Kwani mbowe yeye aliwekewa ulinzii? Si Yuko huru kabisaNaandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.
Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.
Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.
Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.
Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.
Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.
Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Hata lile ligaidi liko kwenye bangoKwahiyo na report ya CAG ipotezewe tu.
Kama Jambazi linaachiwa sasa uwafunge mafisadi wanaoleta mzunguko wa pesa mtaani itakuwa ni ujinga.
Acha hadithi za kufikirika unadhani Mbowe angetenda uhalifu wowote Hayati Uchwara angeacha kumfungaJe kengeza aliyemuua chacha wangwe na kufanya jaribio la kumuua Tundu lisu anaulinzi? Pia mkifanya uchaguzi wa mwenyekiti mwingine wa NGO yenu mtujulishe
Si alifunguliwa mashitaka?mbona hamkwenda kutoa ushaidi?Naandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.
Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.
Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.
Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.
Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.
Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.
Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
Rudia tena kusoma uziSi alifunguliwa mashitaka?mbona hamkwenda kutoa ushaidi?
Kuweka chumvi Magari ya Mbowe,mbona hamkumfumgulia mashitaka na Mawakili wazuri mnao?
Hayo maneno yako yanabaki kuwa majungu sasa!
Nimeelewa kuwa unaongozwa na chuki!!Rudia tena kusoma uzi
Usiamshe walio lala utaaribu mipango ya watuNaandika hii si kwa ubaya, nia yangu ni njema kabisa.
Zipo taarifa kwamba Ole Sabaya ameachiwa huru baada ya kukiri makosa, katika uleule mpango tulioutilia mashaka wa Plea bargain, Sabaya amekiri mbele ya Mahakama, pamoja na mengine mengi, amekiri kumsumbua kwa uonevu wa kumsingizia uongo Mfanyabiashara wa kimataifa Alex Swai na kumwibia pesa zake kwa mamilioni.
Nampongeza Sabaya kwa kukiri makosa yake hadharani, tunaamini huko mbele atakiri mengi ikiwemo kuweka chumvi kwenye Magari ya Freeman Mbowe na kuyaharibu.
Ole Sabaya kijana aliyelindwa na Magufuli kwa udi na uvumba hata katika makosa ya wazi ya kijinga sana. Ametenda uovu mwingi sana. Sabaya alimiliki vikundi vya kiharamia vya kupora, kudhulumu, kuiba, kunyanyasa, kupiga na kuna tuhuma za kubaka pia, achilia mbali kuingia Bar kunywa vinywaji na kula nyama bila kulipa yeye na kundi lake.
Sabaya aliyatenda haya huku akilindwa na vyombo vya dola akiwemo OCD wa Hai aliyeitwa Mpina, ulinzi huu aliopewa kwenye uharamia wake alipewa kwa vile alikuwa DC.
Sasa leo anaachiwa akiwa Raia wa kawaida tu huku lundo la watu aliowadhulumu, kuwatesa na kuwapora wakiwa bado wangalipo na wakiwa kwenye maeneo yaleyale aliyowadhulumia, Sabaya alitenda unyama wake mwingi Arusha na Kilimanjaro.
Je, masuala ya ulinzi wake akiwa uraiani yamezingatiwa?
DuuuhU
Usiamshe walio lala utaaribu mipango ya watu
Mbona alikaa sana uraiani kabla samia hajatoa amri akamatweTunaelekea kaskazini duru zetu zikishatupatia taarifa zisizotia shaka kumhusu, wahanga tuna jambo letu, lipo, na mtaliona.
Kwetu waislamu kisasi ni haki!
Kama mbowe alivyoachiwa na lema alivyofutiwa kesi.Sijaona nchi ya kijinga kama hii. Yaani sheria inakuwa utashi wa mtu
We kweli garasa. Hata hujui chacha wangwe alikufa wakati gani. Kaa na zitto vizuri atakupa mchongo mzima.Chacha Wangwe alikufa kwenye ajali ya gari , dereva wake alikamatwa na kuhukumiwa jela , lakini baadaye aliachiwa kwa msamaha wa Rais Benjamin Mkapa .
sasa hawa watu duni wanapokuja kutukana humu ni kwa vile ama hawajui kitu au walikuwa hawajazaliwa
Walibaki kusema aliwabaka sana.Si alifunguliwa mashitaka?mbona hamkwenda kutoa ushaidi?
Kuweka chumvi Magari ya Mbowe,mbona hamkumfumgulia mashitaka na Mawakili wazuri mnao?
Hayo maneno yako yanabaki kuwa majungu sasa!
Sijawahi kusikia wala kuona mshitakiwa amekiri kuhusika na makosa ya kesi za jinai akaachiwa huru kwa Plea Bargain acha mbali mwenye kesi 7 za jinai, ambazo ni pamoja na Uhujumu Uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na Uongozi wa genge la Majambazi ati kaachiwa huru baada ya kukiri makosa yote hayo - Only in Tanzania