Je, Serikali iko tayari kumuwekea ulinzi Ole Sabaya?

Acha wamgawane nyama huyu jamaa hana hata aibu ila siku akienda Kanisani kusema hadharani alitumia madaraka na umri wake ulimsukuma kufanya mambo ya kijingw

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Acha wamgawane nyama huyu jamaa hana hata aibu ila siku akienda Kanisani kusema hadharani alitumia madaraka na umri wake ulimsukuma kufanya mambo ya kijingw

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sidhani kama kuna kanisa litampokea huyu jamaa , maana amehujumu hadi Masista wa kanisa
 
Je, kengeza aliyemuua chacha wangwe na kufanya jaribio la kumuua Tundu lisu anaulinzi? Pia mkifanya uchaguzi wa mwenyekiti mwingine wa NGO yenu mtujulishe.
Hizi ndo akili za CCM..... idiots mmeshindwa kuwahakikishia watanzania huduma ya umeme na maji ya uhakika miaka 60 ya uhuru
 
Kwani makonda anaishije mpaka sabaya ashindwe kuishi mpaka awekewe ulinzi.
 
Plea Bargain ni special kwa watu wakubwa tu Budah, moja ya condition yake ni kukili kosa. Hivi L.O.S kisheria yuko sahihi na mahakama pia iko sahihi. NB: Hakuna plea Bargain ya lower class.
 
Hao unaosema wampe ulinzi mara utasikia wanakata rufaa hawajaridhishwa na hukumu
. Hahahaa usicheze na hii nchi
 
Uraiani anakumudu. Ondoa shaka!!
Hata hivyo, akiguswa Hata unyoya, wanajua wataanzia wapi kumpata aliyemgusa. Kwa haraka naona ni nani anatakiwa kuwa na wasiwasi.
 
Na kulingana na sheria zetu, huyu jambazi haruhusiwi kugombea cheo CHOCHOTE KILE au kuteuliwa.
 

Kama ana busara aanze maisha mapya hata Tandahimba huko, ila wa Tanzania si walipa visasi, nature itamhudumia.
 
Awekwe ulinzi kwani yale Maguvu aliyokuwa nayo yameyeyuka,🤔.Kwani Jela aling'olewa nywele🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…