Je, Serikali ya awamu ya sita itatoboa salama 2025 au yajayo ni siri Kali?

Je, Serikali ya awamu ya sita itatoboa salama 2025 au yajayo ni siri Kali?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Leo naandika mambo ya jicho la tatu.

Kama Kuna mtu haamini juu ya viumbe visivyo onekana basi msg hii imfikie popote alipo.
Hayati Magufuli amelala ila mwendo aliumaliza.

Watu wasio mpenda Waka sema Asante Mungu jitu katili limeondoka ngoja tuitamalakie nchi tule nakufurahia maisha.

Wengine kwa furaha wakasema wema hawafi ila wabaya ndio wanakufa kwenye ukumbi uleule Hayati alisimama kupeperusha benders ya CCM. Jambo hawakulijuwa walizika mwili ila roho ipo na sio ipo kuangalia Yale yanafanywa ila inadai haki yake yakuwa haikufanya kwa utashi wake na yote aliamua na wao walikuwapo iweje leo wamkane na kumbeza...

Hapo ndio pamenoga. Ndugu zangu watu hawafi picha ni Kali na ni yaku Tisha. Wanao nielewa wamenielewa.
Kuna wanao naka kiti ila watakisikia Kuna wanao kutarajia ila midomo yao imepotexa tarajio lao Kuna walio shituka Waka Kaa kimya ila matendo yao pia wamekikosa kiti.

Kiufupi hakuna wakutoboa ni mwendo wa conspiracy na picha kila mtu atajifungia na kusali kwa sala zake. Mimi naita Magufuli ghost.

Kila atakaye kutana nalo hatorudi kutusimulia.
 
Huyo yupo Motoni Magufuli hivi Kama mnafurahia mauaji na kupiga watu Risasi na ukatili mkubwa wa kuharibu mifumo ya nchi kufukuza wawekezaji ambao ndo tunawategemea katika nchi I'll kutoa Ajira


Wewe hauna maono yoyote acha upuuzi.
 
Nimeshtuka kusoma ati roho ya dictator JPM ipo!! Yaani roho ya shetani ilozikwa pale chato bado ipo?? We fala sana jitatmini aloo.

Unaendelea kuwa chawa wa marehemu??, lol shame pia we nyoko sana.

Umenifanya niendelee kucelebrate death of the dictator JPM kwan I am sure yuko jehanamu na leo ni zamu ya kuunguzwa kende na kadudu kake.

Dictator JPM was a thief hata tukiangalia tu matendo wa mfuasi wake Biswalo na mengine mengi, JPM kaiibia sana hii nchi
 
Leo naandika mambo ya jicho la tatu.
Asante sana kwa hii
Kama Kuna mtu haamini juu ya viumbe visivyo onekana basi msg hii imfikie popote alipo.

Hayati Magufuli amelala ila mwendo aliumaliza.
Tupo tunaoamini
Watu wasio mpenda Waka sema Asante Mungu jitu katili limeondoka ngoja tuitamalakie nchi tule nakufurahia maisha...
Ni kweli kuna watu walifurahi na kweli sasa ni kula kwa urefu wa kamba yake
Wengine kwa furaha wakasema wema hawafi ila wabaya ndio wanakufa kwenye ukumbi uleule Hayati alisimama kupeperusha benders ya CCM.
Hili pia ni kweli on both ways, kuna wema wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana, na kuna wabaya ambao hufa mapema kutokana na adhabu ya karma ya uovu wao.

Ila pia kuna wema wanaishi maisha marefu kutokana na mema yao, na kuwa waovu na wachawi wanaoishi maisha marefu hadi kuwa vigagula kama gagula kwa nguvu za uchawi wao!.
Jambo hawakulijuwa walizika mwili ila roho ipo na sio ipo kuangalia Yale yanafanywa
Naunga mkono hoja, holi hata mimi nililisema Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
Kiufupi hakuna wakutoboa ni mwendo wa conspiracy na picha kila mtu atajifungia na kusali kwa sala zake. Mimi naita Magufuli ghost.

Kila atakaye kutana nalo hatorudi kutusimulia.
Japo ma ghost yapo, maghost ni mizimu, hao ni wale ambao roho zao bado ziko kuzimuni ndio mizimu wao huibuka zikowemo zile roho za walio toharani, lakini kwa waliokufa katika Kristu Yesu hawa wanakwenda straight peponi. JPM yeye amekwenda straight peponi mbinguni kwa Baba yake Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
Samia ndio rais kuanzia 2025 ila uchaguzi utakua mgumu kwa wabunge maana itaitaji wajipambanie jwa nguvu zao pasipo kubebwa
 
Huyo yupo Motoni Magufuli hivi Kama mnafurahia mauaji na kupiga watu Risasi na ukatili mkubwa wa kuharibu mifumo ya nchi kufukuza wawekezaji ambao ndo tunawategemea katika nchi I'll kutoa Ajira


Wewe hauna maono yoyote acha upuuzi.
Porojo hizo. Alafu walimu humu sijui kwa nn hamna akili
 
Kuna watu wameanza kuota zile ndoto mbaya tena Kwa kujirudia.

Tuendelee na Maombi ya TOBA na REHEMA Kwa Nchi yetu nzuri TANZANIA.

Aaamen
 
Screenshot_20230208-130311-1.jpg
 
Huyo yupo Motoni Magufuli hivi Kama mnafurahia mauaji na kupiga watu Risasi na ukatili mkubwa wa kuharibu mifumo ya nchi kufukuza wawekezaji ambao ndo tunawategemea katika nchi I'll kutoa Ajira


Wewe hauna maono yoyote acha upuuzi.
MSALITI wa nchi adhabu yake inajulikana. Na wewe jaribu KUSALITI nchi uone. KENGE
 
Huyo yupo Motoni Magufuli hivi Kama mnafurahia mauaji na kupiga watu Risasi na ukatili mkubwa wa kuharibu mifumo ya nchi kufukuza wawekezaji ambao ndo tunawategemea katika nchi I'll kutoa Ajira


Wewe hauna maono yoyote acha upuuzi.
Huko motoni ulimpeleka wew? Alimuua nani na ushahidi upi? Mbona wew hakukuua? Achen kuendeshwa na chuki za wanasiasa
 
Back
Top Bottom