Leo naandika mambo ya jicho la tatu.
Kama Kuna mtu haamini juu ya viumbe visivyo onekana basi msg hii imfikie popote alipo.
Hayati Magufuli amelala ila mwendo aliumaliza.
Watu wasio mpenda Waka sema Asante Mungu jitu katili limeondoka ngoja tuitamalakie nchi tule nakufurahia maisha.
Wengine kwa furaha wakasema wema hawafi ila wabaya ndio wanakufa kwenye ukumbi uleule Hayati alisimama kupeperusha benders ya CCM. Jambo hawakulijuwa walizika mwili ila roho ipo na sio ipo kuangalia Yale yanafanywa ila inadai haki yake yakuwa haikufanya kwa utashi wake na yote aliamua na wao walikuwapo iweje leo wamkane na kumbeza...
Hapo ndio pamenoga. Ndugu zangu watu hawafi picha ni Kali na ni yaku Tisha. Wanao nielewa wamenielewa.
Kuna wanao naka kiti ila watakisikia Kuna wanao kutarajia ila midomo yao imepotexa tarajio lao Kuna walio shituka Waka Kaa kimya ila matendo yao pia wamekikosa kiti.
Kiufupi hakuna wakutoboa ni mwendo wa conspiracy na picha kila mtu atajifungia na kusali kwa sala zake. Mimi naita Magufuli ghost.
Kila atakaye kutana nalo hatorudi kutusimulia.
Kama Kuna mtu haamini juu ya viumbe visivyo onekana basi msg hii imfikie popote alipo.
Hayati Magufuli amelala ila mwendo aliumaliza.
Watu wasio mpenda Waka sema Asante Mungu jitu katili limeondoka ngoja tuitamalakie nchi tule nakufurahia maisha.
Wengine kwa furaha wakasema wema hawafi ila wabaya ndio wanakufa kwenye ukumbi uleule Hayati alisimama kupeperusha benders ya CCM. Jambo hawakulijuwa walizika mwili ila roho ipo na sio ipo kuangalia Yale yanafanywa ila inadai haki yake yakuwa haikufanya kwa utashi wake na yote aliamua na wao walikuwapo iweje leo wamkane na kumbeza...
Hapo ndio pamenoga. Ndugu zangu watu hawafi picha ni Kali na ni yaku Tisha. Wanao nielewa wamenielewa.
Kuna wanao naka kiti ila watakisikia Kuna wanao kutarajia ila midomo yao imepotexa tarajio lao Kuna walio shituka Waka Kaa kimya ila matendo yao pia wamekikosa kiti.
Kiufupi hakuna wakutoboa ni mwendo wa conspiracy na picha kila mtu atajifungia na kusali kwa sala zake. Mimi naita Magufuli ghost.
Kila atakaye kutana nalo hatorudi kutusimulia.