Je, Serikali ya awamu ya sita itatoboa salama 2025 au yajayo ni siri Kali?

Je, Serikali ya awamu ya sita itatoboa salama 2025 au yajayo ni siri Kali?

Leo naandika mambo ya jicho la tatu.

Kama Kuna mtu haamini juu ya viumbe visivyo onekana basi msg hii imfikie popote alipo.
Hayati Magufuli amelala ila mwendo aliumaliza.

Watu wasio mpenda Waka sema Asante Mungu jitu katili limeondoka ngoja tuitamalakie nchi tule nakufurahia maisha.

Wengine kwa furaha wakasema wema hawafi ila wabaya ndio wanakufa kwenye ukumbi uleule Hayati alisimama kupeperusha benders ya CCM. Jambo hawakulijuwa walizika mwili ila roho ipo na sio ipo kuangalia Yale yanafanywa ila inadai haki yake yakuwa haikufanya kwa utashi wake na yote aliamua na wao walikuwapo iweje leo wamkane na kumbeza...

Hapo ndio pamenoga. Ndugu zangu watu hawafi picha ni Kali na ni yaku Tisha. Wanao nielewa wamenielewa.
Kuna wanao naka kiti ila watakisikia Kuna wanao kutarajia ila midomo yao imepotexa tarajio lao Kuna walio shituka Waka Kaa kimya ila matendo yao pia wamekikosa kiti.

Kiufupi hakuna wakutoboa ni mwendo wa conspiracy na picha kila mtu atajifungia na kusali kwa sala zake. Mimi naita Magufuli ghost.

Kila atakaye kutana nalo hatorudi kutusimulia.
Sijui kwanini umeamua kujivunjia heshima yako!, piga sprite itapunguza hangover
#SSH_2030.
 
Leo naandika mambo ya jicho la tatu.

Kama Kuna mtu haamini juu ya viumbe visivyo onekana basi msg hii imfikie popote alipo.
Hayati Magufuli amelala ila mwendo aliumaliza.

Watu wasio mpenda Waka sema Asante Mungu jitu katili limeondoka ngoja tuitamalakie nchi tule nakufurahia maisha.

Wengine kwa furaha wakasema wema hawafi ila wabaya ndio wanakufa kwenye ukumbi uleule Hayati alisimama kupeperusha benders ya CCM. Jambo hawakulijuwa walizika mwili ila roho ipo na sio ipo kuangalia Yale yanafanywa ila inadai haki yake yakuwa haikufanya kwa utashi wake na yote aliamua na wao walikuwapo iweje leo wamkane na kumbeza...

Hapo ndio pamenoga. Ndugu zangu watu hawafi picha ni Kali na ni yaku Tisha. Wanao nielewa wamenielewa.
Kuna wanao naka kiti ila watakisikia Kuna wanao kutarajia ila midomo yao imepotexa tarajio lao Kuna walio shituka Waka Kaa kimya ila matendo yao pia wamekikosa kiti.

Kiufupi hakuna wakutoboa ni mwendo wa conspiracy na picha kila mtu atajifungia na kusali kwa sala zake. Mimi naita Magufuli ghost.

Kila atakaye kutana nalo hatorudi kutusimulia.
Maandishi haya kama hayajatokana na hangover ya Kangala basi itakuwa ya Wanzuki
 
Japo ma ghost yapo, maghost ni mizimu, hao ni wale ambao roho zao bado ziko kuzimuni ndio mizimu wao huibuka zikowemo zile roho za walio toharani, lakini kwa waliokufa katika Kristu Yesu hawa wanakwenda straight peponi. JPM yeye amekwenda straight peponi mbinguni kwa Baba yake
Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko 'tajiri' kuingia kwenye ufalme wa Mungu. Hapa neno tajiri lina upana wake. Safari ya mbinguni ina vikwazo vingi, njia ni nyembamba, sio sawa na safari ya Dar- Chamwino au Dar- chato.
 
Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko 'tajiri' kuingia kwenye ufalme wa Mungu. Hapa neno tajiri lina upana wake. Safari ya mbinguni ina vikwazo vingi, njia ni nyembamba, sio sawa na safari ya Dar- Chamwino au Dar- chato.
Tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo!. JPM neema hiyo ya wokovu ilimdondokea hivyo amini nakuambia JPM yuko na Baba Yake nyumbani kwa Baba Yake !. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
Huko motoni ulimpeleka wew? Alimuua nani na ushahidi upi? Mbona wew hakukuua? Achen kuendeshwa na chuki za wanasiasa
Kwa hiyo mbinguni ulimpeleka wewe au mtoa mada?. Sio kila kitu au jambo unaloamini unaweza kulitolea ushahidi. Mfano Mimi najua kabisa Hitler aliua wayahudi, lakini Sina ushahidi. Sio kwamba Hitler ndie aliua kila myahudi kwa mkono wake mwenyewe. Au hii miundombinu iliyojengwa kwa kodi za waTz na mikopo mnayoimba magufuli amejenga, wapi magufuli alionekana anakoroga zeg?
 
Asante sana kwa hii

Tupo tunaoamini

Ni kweli kuna watu walifurahi na kweli sasa ni kula kwa urefu wa kamba yake

Hili pia ni kweli on both ways, kuna wema wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana, na kuna wabaya ambao hufa mapema kutokana na adhabu ya karma ya uovu wao.

Ila pia kuna wema wanaishi maisha marefu kutokana na mema yao, na kuwa waovu na wachawi wanaoishi maisha marefu hadi kuwa vigagula kama gagula kwa nguvu za uchawi wao!.

Naunga mkono hoja, holi hata mimi nililisema Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

Japo ma ghost yapo, maghost ni mizimu, hao ni wale ambao roho zao bado ziko kuzimuni ndio mizimu wao huibuka zikowemo zile roho za walio toharani, lakini kwa waliokufa katika Kristu Yesu hawa wanakwenda straight peponi. JPM yeye amekwenda straight peponi mbinguni kwa Baba yake Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Sina shaka na andiko lako. Japo nilisha andika
 
Japo ma ghost yapo, maghost ni mizimu, hao ni wale ambao roho zao bado ziko kuzimuni ndio mizimu wao huibuka zikowemo zile roho za walio toharani, lakini kwa waliokufa katika Kristu Yesu hawa wanakwenda straight peponi. JPM yeye amekwenda straight peponi mbinguni kwa Baba yake Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Paskali huwa nakuelewa sana ila usiongee vitu usivyo kuwa na uhakika nao unaweza mislead watu. Kwenye biblia Whether umekufa katika kristo or not wote mnakua mmelala na hamjitambui ila Yesu atakaporudi ndio waliokufa katika kristo mtafufuliwa kwanza ndio mtaenda mbinguni!!

Kwa hiyo umepotosha hapo mkuu, maana mpaka utakapofika huo wakati ndio atajua mbivu na mbichi
 
Leo naandika mambo ya jicho la tatu.

Kama Kuna mtu haamini juu ya viumbe visivyo onekana basi msg hii imfikie popote alipo.
Hayati Magufuli amelala ila mwendo aliumaliza.

Watu wasio mpenda Waka sema Asante Mungu jitu katili limeondoka ngoja tuitamalakie nchi tule nakufurahia maisha.

Wengine kwa furaha wakasema wema hawafi ila wabaya ndio wanakufa kwenye ukumbi uleule Hayati alisimama kupeperusha benders ya CCM. Jambo hawakulijuwa walizika mwili ila roho ipo na sio ipo kuangalia Yale yanafanywa ila inadai haki yake yakuwa haikufanya kwa utashi wake na yote aliamua na wao walikuwapo iweje leo wamkane na kumbeza...

Hapo ndio pamenoga. Ndugu zangu watu hawafi picha ni Kali na ni yaku Tisha. Wanao nielewa wamenielewa.
Kuna wanao naka kiti ila watakisikia Kuna wanao kutarajia ila midomo yao imepotexa tarajio lao Kuna walio shituka Waka Kaa kimya ila matendo yao pia wamekikosa kiti.

Kiufupi hakuna wakutoboa ni mwendo wa conspiracy na picha kila mtu atajifungia na kusali kwa sala zake. Mimi naita Magufuli ghost.

Kila atakaye kutana nalo hatorudi kutusimulia.
Je niona kesho.... Time will Teri.
 
Leo naandika mambo ya jicho la tatu.

Kama Kuna mtu haamini juu ya viumbe visivyo onekana basi msg hii imfikie popote alipo.
Hayati Magufuli amelala ila mwendo aliumaliza.

Watu wasio mpenda Waka sema Asante Mungu jitu katili limeondoka ngoja tuitamalakie nchi tule nakufurahia maisha.

Wengine kwa furaha wakasema wema hawafi ila wabaya ndio wanakufa kwenye ukumbi uleule Hayati alisimama kupeperusha benders ya CCM. Jambo hawakulijuwa walizika mwili ila roho ipo na sio ipo kuangalia Yale yanafanywa ila inadai haki yake yakuwa haikufanya kwa utashi wake na yote aliamua na wao walikuwapo iweje leo wamkane na kumbeza...

Hapo ndio pamenoga. Ndugu zangu watu hawafi picha ni Kali na ni yaku Tisha. Wanao nielewa wamenielewa.
Kuna wanao naka kiti ila watakisikia Kuna wanao kutarajia ila midomo yao imepotexa tarajio lao Kuna walio shituka Waka Kaa kimya ila matendo yao pia wamekikosa kiti.

Kiufupi hakuna wakutoboa ni mwendo wa conspiracy na picha kila mtu atajifungia na kusali kwa sala zake. Mimi naita Magufuli ghost.

Kila atakaye kutana nalo hatorudi kutusimulia.
We see today 🙏🇹🇿
 
Haendi mtu kama anawaza basi Tenzi ipo tayari kuimbwa hata kama hapendi
 
Kwa hiyo mbinguni ulimpeleka wewe au mtoa mada?. Sio kila kitu au jambo unaloamini unaweza kulitolea ushahidi. Mfano Mimi najua kabisa Hitler aliua wayahudi, lakini Sina ushahidi. Sio kwamba Hitler ndie aliua kila myahudi kwa mkono wake mwenyewe. Au hii miundombinu iliyojengwa kwa kodi za waTz na mikopo mnayoimba magufuli amejenga, wapi magufuli alionekana anakoroga zeg?
Majibu mujarrabu kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia ni mgeni hapa jukwaani, lakini huyu mwamba TumainiEl huwa mara nyingi hakosei!
Nimefuatilia nyuzi zake nyingi za huko nyuma.
Kingine kizuri kwake, namwona ni mzalendo kwa nchi yake.
Muuaji huyo....alimtishia kumpoteza Ben Saa8 humu JF na kweli Ben akapotea within no time. Alipokumbushwa mbio akafuta ule uzi!
 
Back
Top Bottom