Je, Serikali ya awamu ya sita itatoboa salama 2025 au yajayo ni siri Kali?

Nacheka leo wana mkana kila mtu kuwa alikuwa muovu na ndio ao ao wamewekwa kwa wizi.
 
Sijui kwanini umeamua kujivunjia heshima yako!, piga sprite itapunguza hangover
#SSH_2030.
 
Maandishi haya kama hayajatokana na hangover ya Kangala basi itakuwa ya Wanzuki
 
Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko 'tajiri' kuingia kwenye ufalme wa Mungu. Hapa neno tajiri lina upana wake. Safari ya mbinguni ina vikwazo vingi, njia ni nyembamba, sio sawa na safari ya Dar- Chamwino au Dar- chato.
 
Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko 'tajiri' kuingia kwenye ufalme wa Mungu. Hapa neno tajiri lina upana wake. Safari ya mbinguni ina vikwazo vingi, njia ni nyembamba, sio sawa na safari ya Dar- Chamwino au Dar- chato.
Tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo!. JPM neema hiyo ya wokovu ilimdondokea hivyo amini nakuambia JPM yuko na Baba Yake nyumbani kwa Baba Yake !. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
Huko motoni ulimpeleka wew? Alimuua nani na ushahidi upi? Mbona wew hakukuua? Achen kuendeshwa na chuki za wanasiasa
Kwa hiyo mbinguni ulimpeleka wewe au mtoa mada?. Sio kila kitu au jambo unaloamini unaweza kulitolea ushahidi. Mfano Mimi najua kabisa Hitler aliua wayahudi, lakini Sina ushahidi. Sio kwamba Hitler ndie aliua kila myahudi kwa mkono wake mwenyewe. Au hii miundombinu iliyojengwa kwa kodi za waTz na mikopo mnayoimba magufuli amejenga, wapi magufuli alionekana anakoroga zeg?
 
Sina shaka na andiko lako. Japo nilisha andika
 
Paskali huwa nakuelewa sana ila usiongee vitu usivyo kuwa na uhakika nao unaweza mislead watu. Kwenye biblia Whether umekufa katika kristo or not wote mnakua mmelala na hamjitambui ila Yesu atakaporudi ndio waliokufa katika kristo mtafufuliwa kwanza ndio mtaenda mbinguni!!

Kwa hiyo umepotosha hapo mkuu, maana mpaka utakapofika huo wakati ndio atajua mbivu na mbichi
 
Je niona kesho.... Time will Teri.
 
We see today 🙏🇹🇿
 
Haendi mtu kama anawaza basi Tenzi ipo tayari kuimbwa hata kama hapendi
 
Majibu mujarrabu kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia ni mgeni hapa jukwaani, lakini huyu mwamba TumainiEl huwa mara nyingi hakosei!
Nimefuatilia nyuzi zake nyingi za huko nyuma.
Kingine kizuri kwake, namwona ni mzalendo kwa nchi yake.
Muuaji huyo....alimtishia kumpoteza Ben Saa8 humu JF na kweli Ben akapotea within no time. Alipokumbushwa mbio akafuta ule uzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…