Je, Serikali ya awamu ya sita itatoboa salama 2025 au yajayo ni siri Kali?

Mkuu

Huwa sikubezi,nakiri kwamba hawatoboi!kabisa!!!

Kama wengine hatuambiwi walipo na kimya kimetanda na tetesi ndio zina nguvu eti watangaze!!?watangaze Nini!!?


Mungu ibariki Tanzania!
 
Mkuu

Huwa sikubezi,nakiri kwamba hawatoboi!kabisa!!!

Kama wengine hatuambiwi walipo na kimya kimetanda na tetesi ndio zina nguvu eti watangaze!!?watangaze Nini!!?


Mungu ibariki Tanzania!
What if amefichwa Ili upepo wa mafua upite?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…