stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
ONDOA "Je" uliyoanza nayo. Na mwisho ONDOA "?" na badala yake weka alama .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza matako ya mbwa ilhali mkia unauona wewe vipi mkuu?Mambo mengi yanayoendelea kwenye Serikali ya Awamu ya sita mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne. Mfano uteuzi katika nafasi mbalimbali sura nyingi ni zile za Awamu ya Nne.
Ubadhirifu wa mali za umma hazijibiwi kabisa au hazifanyiwi suluhisho. Fedha zinarudi kwa watu binafsi baadhi na mambo mengine mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne.
Je, hili ni Tawi lake? Karibuni kwa mjadala kuhusu hili na nini tushauriane.
Na hakuna anayewakemeaMajangili yote yamerudi kwenye system
Utawakemeaje wao ndiyo wanakuendesha?Na hakuna anayewakemea
kuna watu bado mmezungukwa na koti la ujamaa kwny akili zao. Waasisi wenyewe wa Ujamaa China na Urusi sasa hivi wanazalisha Mabilionea kuliko MabepariKile kipindi cha watu binafsi kuwa na ukwazi mkubwa unarudi kwa kasi.
Hao wanazalisha kwa kazi halali, hawa wa kwetu wanaiba mali za umma.kuna watu bado mmezungukwa na koti la ujamaa kwny akili zao. Waasisi wenyewe wa Ujamaa China na Urusi sasa hivi wanazalisha Mabilionea kuliko Mabepari
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Kuna wakati nahudhunika sana..sio mabadiliko ya tabia nchi. Nikiona haya ya sasa, pengine ni mabadiliko ya tabia watu.hata ya awamu ya tano ilikuwa tawi la awamu ya tatu sema tu tawi lenyewe likakonyolewa kwa mabadiliko ya Tabia nchi
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Baada ya mafunzo ya miaka mitatu na kufaulu mtihani wa mwisho na supplementary examinations. Mki disco inaishia hapo.
Sio ujamaa mkuu...tunataka uongozi bora. Mwizi awajibishwe. Mtu anayetumia madaraka ya umma vibaya awajibishwe. Anayefanya kazi zake na kupata alindwe.kuna watu bado mmezungukwa na koti la ujamaa kwny akili zao. Waasisi wenyewe wa Ujamaa China na Urusi sasa hivi wanazalisha Mabilionea kuliko Mabepari
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Haaaa umenikumbusha yule mnigumba sijui mnikulu, Gumbo anasema mfuko wa kulia umejaa pesa na mfuko wa kushoto, na bosi wala hakumfukuza kaziMambo ya unanijua mi nani yanarudi kwa kasi Sana
Viongozi wanazimba na nafasi zao kwa sababu kwa sasa uhakika upo utumbuaji umepungua kwa hiyo hawajali lolote
Uongozi bora sio kuchukia Individuals wenye ukwasi.Sio ujamaa mkuu...tunataka uongozi bora. Mwizi awajibishwe. Mtu anayetumia madaraka ya umma vibaya awajibishwe. Anayefanya kazi zake na kupata alindwe.
Ujamaa ulituletea shida. Ukosefu wa nidhamu na ulafi wa mali ya umma ukifanywa na wachache pia utatuletea shida. Hili boti linatuhusu sote. Hakuna namna lazima tujue namna ya kubebana ili tufike
Hiki ni kichaka ambacho wengi huwa mnajaribu kujificha, hakuna ukweli wowote juu ya hilo.Awamu ya nne alisamini watumishi wa umma.
Sio tawi ni pete na kidole.Mambo mengi yanayoendelea kwenye Serikali ya Awamu ya sita mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne. Mfano uteuzi katika nafasi mbalimbali sura nyingi ni zile za Awamu ya Nne.
Ubadhirifu wa mali za umma hazijibiwi kabisa au hazifanyiwi suluhisho. Fedha zinarudi kwa watu binafsi baadhi na mambo mengine mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne.
Je, hili ni Tawi lake? Karibuni kwa mjadala kuhusu hili na nini tushauriane.