Zimbabwe!!!Majangili yote yamerudi kwenye system
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimbabwe!!!Majangili yote yamerudi kwenye system
Sasa wao wa awamu ya 6 hawajitambui mpaka wawekewe watu? Nchi hii itapona siku mzoga ikiitwa kwa muumba!Mambo mengi yanayoendelea kwenye Serikali ya Awamu ya sita mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne. Mfano uteuzi katika nafasi mbalimbali sura nyingi ni zile za Awamu ya Nne.
Ubadhirifu wa mali za umma hazijibiwi kabisa au hazifanyiwi suluhisho. Fedha zinarudi kwa watu binafsi baadhi na mambo mengine mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne.
Je, hili ni Tawi lake? Karibuni kwa mjadala kuhusu hili na nini tushauriane.
🤣🤣hata ya awamu ya tano ilikuwa tawi la awamu ya tatu sema tu tawi lenyewe likakonyolewa kwa mabadiliko ya Tabia nchi
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app