- Thread starter
- #41
Awamu ya Tano, Kiongozi alikuwa na msimamo na hakukubali kuendeshwa na yeyote na aliwaambia waziwazi waache kuwashwawashwa.hata ya awamu ya tano ilikuwa tawi la awamu ya tatu sema tu tawi lenyewe likakonyolewa kwa mabadiliko ya Tabia nchi
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app