Je, Serikali ya Awamu ya sita ni Tawi la Serikali ya Awamu ya Nne?

Unauliza JIBU?
 
Ni setikali kamili
Lakini kichwa cha serikali ana mambo yake anayoyaelewa mwenyewe.

Tuishi naye hadi tutakapomstaafisha kwa kura zetu hapo 2025
 
Awamu ya 6 ni akisi ya awamu ya 5
Ni bas tu Mungu aliwai kumuondoa mapema kumuepusha na aibu ila ndo tulikua tunaelekea ni bas tu kawai kuruka kwenye bas wakat bado liko kwa safari
Rubbish
 
kuna watu bado mmezungukwa na koti la ujamaa kwny akili zao. Waasisi wenyewe wa Ujamaa China na Urusi sasa hivi wanazalisha Mabilionea kuliko Mabepari

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Ubepari uwepo sawa,lakini sio ukwasi wa wizi wa mali ya umma upewe jina la ubepari,na wanaopinga huo wizi eti wajamaa,
 
Haiwezeni watu waonekani hawafai katika Serikali ya Awamu ya Tano halafu waonekane wanafaa kwenye Serikali ya Awamu ya sita kama si kulindana na kuendekeza ubadhirifu wa mali za umma.
Hii awamu ya Samia itaacha kovu kubwa kweli kweli kwenye historia ya Tanzania. Na-predict kuwa ndiyo awamu itakayosababisha mabadiliko ya mfumo yatokee kwani upigaji ni wa kiwango cha juu. Nasikia mama mwenyewe ameshakuwa bilionia sasa hivi. Biashara ya madawa ya kulevya imeshamiri na Kinana yupo.
 
Tena kwa kasi sana kurudisha pesa zao
 
Ajira sasa zinapatikana kwa kujuana na si kwa kuangalia sifa za elimu. Wakubwa wanajipendelea kwa kujiongezea maslahi. Teuzi nazo ni kwa kujuana. Mtumishi wa umma anatamba kwa ukwasi alioiba kwenye hazina ya umma aliyoaminiwa kusimamia. Mifano ipo kwenye ripoti ya CAG na Mkataba wa DPWorld una harufu ya upigaji.
 
Hayo pia wananchi tuyapinge kama suala la Bandari na DP world.
 
Role model wake ni wa awamu ya nne.
 
Awamu mbili za hovyo sana, japo ya nne "sikuifaidi sana"!
 
Tumbuatumbua ya sasa ni kama maigizo tu. Ni kulindana kwa kwenda mbele kama ilivyokuwa Awamu ya Nne.
 
Acha pesa zirudi mtaani tupate mabilionea wapya, watengeneze ajira kwa wingi...uchumi usonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…