Awamu ya Tano, Kiongozi alikuwa na msimamo na hakukubali kuendeshwa na yeyote na aliwaambia waziwazi waache kuwashwawashwa.hata ya awamu ya tano ilikuwa tawi la awamu ya tatu sema tu tawi lenyewe likakonyolewa kwa mabadiliko ya Tabia nchi
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Unauliza JIBU?Mambo mengi yanayoendelea kwenye Serikali ya Awamu ya sita mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne. Mfano uteuzi katika nafasi mbalimbali sura nyingi ni zile za Awamu ya Nne.
Ubadhirifu wa mali za umma hazijibiwi kabisa au hazifanyiwi suluhisho. Fedha zinarudi kwa watu binafsi baadhi na mambo mengine mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne.
Je, hili ni Tawi lake? Karibuni kwa mjadala kuhusu hili na nini tushauriane.
Ni setikali kamiliMambo mengi yanayoendelea kwenye Serikali ya Awamu ya sita mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne. Mfano uteuzi katika nafasi mbalimbali sura nyingi ni zile za Awamu ya Nne.
Ubadhirifu wa mali za umma hazijibiwi kabisa au hazifanyiwi suluhisho. Fedha zinarudi kwa watu binafsi baadhi na mambo mengine mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne.
Je, hili ni Tawi lake? Karibuni kwa mjadala kuhusu hili na nini tushauriane.
JPM nilimkubali sana sema tu hakuwa na strategy za vita yeye alijua kurusha makonde tuAwamu ya Tano, Kiongozi alikuwa na msimamo na hakukubali kuendeshwa na yeyote na aliwaambia waziwazi waache kuwashwawashwa.
RubbishAwamu ya 6 ni akisi ya awamu ya 5
Ni bas tu Mungu aliwai kumuondoa mapema kumuepusha na aibu ila ndo tulikua tunaelekea ni bas tu kawai kuruka kwenye bas wakat bado liko kwa safari
Ubepari uwepo sawa,lakini sio ukwasi wa wizi wa mali ya umma upewe jina la ubepari,na wanaopinga huo wizi eti wajamaa,kuna watu bado mmezungukwa na koti la ujamaa kwny akili zao. Waasisi wenyewe wa Ujamaa China na Urusi sasa hivi wanazalisha Mabilionea kuliko Mabepari
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Hii awamu ya Samia itaacha kovu kubwa kweli kweli kwenye historia ya Tanzania. Na-predict kuwa ndiyo awamu itakayosababisha mabadiliko ya mfumo yatokee kwani upigaji ni wa kiwango cha juu. Nasikia mama mwenyewe ameshakuwa bilionia sasa hivi. Biashara ya madawa ya kulevya imeshamiri na Kinana yupo.Haiwezeni watu waonekani hawafai katika Serikali ya Awamu ya Tano halafu waonekane wanafaa kwenye Serikali ya Awamu ya sita kama si kulindana na kuendekeza ubadhirifu wa mali za umma.
Hatuchukii watu wenye ukwasi uliopatikana kwa kufanya kazi kwa bidii huku wakilipa kodi stahiki kwa serikali.Uongozi bora sio kuchukia Individuals wenye ukwasi.
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Tena kwa kasi sana kurudisha pesa zaoNi suala la muda tu. Msemaji wa Tanesco alikiri kuwa kuna upungufu wa umeme thats why umeme unatolewa kwa mgao.
Sasa Ile kauli ya Waziri Biteko kuwaambia Tanesco wafanye wafanyavyo ili umeme upatikane hapo ndiyo mission inaenda kutimia, utasikia ishu ya dharula ya umeme, hapo ndiyo hao wakina IPTL na Symbion ndiyo wata take advantage.
Hili draft linachezwa kwa ustadi mkubwa na mafisadi. Watu wanataka kurudisha pesa zao.
Hayo pia wananchi tuyapinge kama suala la Bandari na DP world.Pigia kabisa mstari. ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Hilo ulilouliza ni jibu. Na siyo swali. Na hata huu mgao wao wa umeme wa sasa, unaweza kuta una jambo nyuma ya pazia. Muda si mrefu utashangaa akina IPTL, Agreco, Richmond, Dowans, Symbion, na wengineo wengi; wamerejeshwa kinyemela.
Wewe endelea kusubiri utajiri wa kwny vitabu vya diniUbepari uwepo sawa,lakini sio ukwasi wa wizi wa mali ya umma upewe jina la ubepari,na wanaopinga huo wizi eti wajamaa,
Role model wake ni wa awamu ya nne.Mambo mengi yanayoendelea kwenye Serikali ya Awamu ya sita mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne. Mfano uteuzi katika nafasi mbalimbali sura nyingi ni zile za Awamu ya Nne.
Ubadhirifu wa mali za umma hazijibiwi kabisa au hazifanyiwi suluhisho. Fedha zinarudi kwa watu binafsi baadhi na mambo mengine mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne.
Je, hili ni Tawi lake? Karibuni kwa mjadala kuhusu hili na nini tushauriane.
😂😂😂 Kukonyolewa ni KINYAKYUSA hicho ...hata ya awamu ya tano ilikuwa tawi la awamu ya tatu sema tu tawi lenyewe likakonyolewa kwa mabadiliko ya Tabia nchi
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app