pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
Daah anyway ngoja nikuwache wewe unaejua ila jua kuwa huyo rostam alipoteza Chanel ten na hisa za taifa gas wakati wa MaguWacha wewe. Toa ushahidi.
Huna ujualo, unajiropokea tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah anyway ngoja nikuwache wewe unaejua ila jua kuwa huyo rostam alipoteza Chanel ten na hisa za taifa gas wakati wa MaguWacha wewe. Toa ushahidi.
Huna ujualo, unajiropokea tu.
Lakini nadhani inafaa pia utambue kwamba, sasa hivi, hawa ndio wanaoendesha serikaliHayo makubaliano ni internal affairs za kampuni husika Rais wa nchi hana nafasi katika internal afairs za private company.
Mkuu, kupoteza huko kwa hisa, haina maana kwamba ziliingia serikalini. Check your facts.Daah anyway ngoja nikuwache wewe unaejua ila jua kuwa huyo rostam alipoteza Chanel ten na hisa za taifa gas wakati wa Magu
Hajapoteza hisa yoyote bado ni kampuni yake kilichofanyika ni mabadiliko ya jina tu toka Mihan Gas kwenda Taifa Gas.Mkuu, kupoteza huko kwa hisa, haina maana kwamba ziliingia serikalini. Check your facts.
Post uliyoweka ya Ikulu ndio wamesema ni kampuni ya kizalendo hvy na mm nimepita humo humoHiyo kampuni ya kizalendo ndio inakuwaje??
Hisa zilichukuliwa na serikali sikumbuki tu ile doc niliweka wapi kuna list za kampuni zote ambazo serikali ina hisa taifa gas ni moja wapoMkuu, kupoteza huko kwa hisa, haina maana kwamba ziliingia serikalini. Check your facts.
In principle serikali inahangaikia 1. CAPITAL INFLOW, 2. EMPLOYMENT TO BE CREATED, 3. TECHNOLOGY TRANSFER, 4. TAX REVENUE FROM CORPORATE AND EMPLOYEES TO BE EMPLOYED NkKuanzia mwishoni mwaka jana imekuwa ni kipindi kizuri sana kwa Rostam;
1) Williamson Diamond mine(Mwadui) - $15M
2)Tigo na Zantel (Partnership na Axian) - $100M
3) Mkataba na Northern Feed Company - $500M
4) Tancoal Energy ?
Sina uhakika kama kuna great thinker wa kukujibu maswali unayojaribu kuyadodosa, labda wapo na hawako interested na mjadala.Hajapoteza hisa yoyote bado ni kampuni yake kilichofanyika ni mabadiliko ya jina tu toka Mihan Gas kwenda Taifa Gas.
Hapa swali langu linagusia pia Taifa Group.
Je serikali anahisa huko mpaka Rais wetu atuwakilishe kwenye utiwaji saini wa makubaliano yake na kampuni nyingine??
Nashukuru kwa kunielewa mkuu.Sina uhakika kama kuna great thinker wa kukujibu maswali unayojaribu kuyadodosa, labda wapo na hawako interested na mjadala.
Pili, sidhani kama unaotuuliza haya maswali "wengi wetu" tunaelewa nini hasa lengo la haya maswali yako. Hivyo sitarajii majibu ambayo ni facts unless waje wanaoelewa na wapate hamu ya kulijadili hili. Binafsi sielewi chochote hivyo siwezi kujibu chochote.
Btw, umebadilika sana mkuu!
Umeandika mambo ya msingi sana mkuu.Lakini nadhani inafaa pia utambue kwamba, sasa hivi, hawa ndio wanaoendesha serikali
Maamuzi hayawezi kufanyika huko serikalini bila ya hawa kuhusishwa. Hali ndiyo hiyo.
Wakati wa uchaguzi utakapofika, hawa ndio watakaoamua nani atakuwa mshindi. Watatumia kila raslimali iliyopo kuhakikisha kuwa hilo linatokea.
Katiba mpya, hawa hawataruhusu kwa njia yoyote iwepo kabla hawajaimarika zaidi kutokana na ufadhiri wa serikali inayowajenga.
Sasa basi, watu, na hasa wananchi ni lazima walitambue hili kungali mapema. Na bahati mbaya iliyopo, ni kwamba upinzani unaotegemewa kuwaongaza wananchi kuyakataa haya, nao unaegemea upande huo huo. Samia atakuwa amewawahi; sasa sijui watakimbilia wapi?
Nilikuwa nahisi hiki kitu pia hapo kwenye Taifa Gas, mwendazake na RA ule ukaribu wao ulikuwa unanipa maswali mengi saana.Taifa Group ilikuwa ni ya RA na mwendazake kama ilivyo Vodacom (Lupaso, Chatoguy na Jaji fulani), Bagamoyo Sugar (Chatoguy na SSB).
Swali ni nani atachukua hisa za mwendazake kwenye miradi ya ubia?
Kwa kukazia tu, hata nami nikiwa na jambo langu naweza kumwalika rais akaja kufungua/kuwa mgeni rasmi.Rais ni wa wote. Nimekupa mifano ya watu ambao kazi zao zinaishia ndani ya serikali tu au shughuli za umma tu ambao ni hao kama Katibu Mkuu Kiongozi.
Lakini Rais, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, kazi zao haziishii kwenye shughuli za umma tu. Zinaenda beyond.
Kuna zile kazi kuu 3 za Rais:
1. Mkuu wa nchi
2. Mkuu wa Serikali
3. Amiri Jeshi Mkuu.
Sasa hapo alikuwa akitekeleza kazi namba 1.
Siku ya tarehe 23 Aprili, 2022 Rais samia alishiriki utiaji saini wa makubaliano ya kibiashara baina ya kampuni ya Taifa Group na kampuni ya Northern feed co.
Mkataba huo wenye thamani ya Dola milioni 500 sawa na trilioni moja za kitanzania utakua katika uzalishaji wa soya, ngano , sukari etc.
Anayeonekana kusaini makubaliano hayo ni Bwn. Rostam Aziz ambaye ndiye mmiliki wa Kampuni hiyo.
Bwn. Rostam Aziz ambaye ndiye mmiliki wa kampuni ya Taifa Gas alikuwepo pia katika delegation ya Rais iliyokwenda Kenya na kuingia makubaliano ya kuisambazia Kenya Gesi.
Kwakua Bwn. Aziz sio sehemu ya Serikali utiliwaji saini wa makubaliano hayo ni jambo binafsi zaidi kuliko la kisiasa.
Uwepo wa Rais ambaye ni nembo ya mamlaka ya Nchi katika jambo binafsi unaleta ukakasi kidogo kwani sisi wananchi hatuna taarifa zozote za umiliki wowote wa serikali iwe kwa hisa au kwa namna yeyote katika kampuni hiyo.
Hivyo basi kama Tanzania ina shares katika kampuni ya Taifa Group ni vyema tukaambiwa ama la tueleweshwe kuhusiana na uwepo wa kampuni hii katika ziara za Rais na ulazima wa Taifa kuhusishwa katika mambo binafsi ya kampuni hii.
Kenya: Rais Samia afungua kongamano la wafanyabiashara nchini Kenya, Rostam Aziz atema madini ukumbi mzima wamshangilia
Rais Samia amefungua kongamanano la wafanyabiashara nchini Kenya ambalo limehusisha pia wafanyabiashara kutoka Tanzania. Rostam Aziz ametaka uwepo wa uwiano mzuri wa kibiashara kati ya Kenya na Tanzania badala ya nchi moja kuwa msambazaji wa mali ghafi na mwingine akiwa muuzaji wa finished...www.jamiiforums.com
View attachment 2199343