Je, Serikali ya Tanzania ni Mbia wa Kampuni ya Taifa Group?

Watanzania tutambue kuwa sekta binafsi ndiyo mwajiri mkuu wa waTanzania kwa kutoa ajira nyingi kuliko serikali kuu na serikali za mikoa / halmashauri za wilaaya.

Sekta binafsi ndiyo mlipaji mkuu wa kodi na anachangia pakubwa ktk mfuko wa kodi .

Hivyo serikali yoyote makini ni lazima ifanye kazi na sekta binafsi ili kuleta mabadiliko makubwa chanya ya kiuchumi

https://www.tanzaniaweb.com › JPM...
JPM apania kutengeneza mabilionea watanzania


29 Sept 2020 — “Tunataka uchumi wa Watanzania, tunataka mabilionea Watanzania,” alieleza jana Rais Magufuli, alipohutubia mkutano wake wa mkubwa
 
Hayo makubaliano ni internal affairs za kampuni husika Rais wa nchi hana nafasi katika internal afairs za private company.
Lakini nadhani inafaa pia utambue kwamba, sasa hivi, hawa ndio wanaoendesha serikali

Maamuzi hayawezi kufanyika huko serikalini bila ya hawa kuhusishwa. Hali ndiyo hiyo.

Wakati wa uchaguzi utakapofika, hawa ndio watakaoamua nani atakuwa mshindi. Watatumia kila raslimali iliyopo kuhakikisha kuwa hilo linatokea.

Katiba mpya, hawa hawataruhusu kwa njia yoyote iwepo kabla hawajaimarika zaidi kutokana na ufadhiri wa serikali inayowajenga.

Sasa basi, watu, na hasa wananchi ni lazima walitambue hili kungali mapema. Na bahati mbaya iliyopo, ni kwamba upinzani unaotegemewa kuwaongaza wananchi kuyakataa haya, nao unaegemea upande huo huo. Samia atakuwa amewawahi; sasa sijui watakimbilia wapi?
 
Mkuu, kupoteza huko kwa hisa, haina maana kwamba ziliingia serikalini. Check your facts.
Hajapoteza hisa yoyote bado ni kampuni yake kilichofanyika ni mabadiliko ya jina tu toka Mihan Gas kwenda Taifa Gas.

Hapa swali langu linagusia pia Taifa Group.

Je serikali anahisa huko mpaka Rais wetu atuwakilishe kwenye utiwaji saini wa makubaliano yake na kampuni nyingine??
 
Mkuu, kupoteza huko kwa hisa, haina maana kwamba ziliingia serikalini. Check your facts.
Hisa zilichukuliwa na serikali sikumbuki tu ile doc niliweka wapi kuna list za kampuni zote ambazo serikali ina hisa taifa gas ni moja wapo
 
Kuanzia mwishoni mwaka jana imekuwa ni kipindi kizuri sana kwa Rostam;
1) Williamson Diamond mine(Mwadui) - $15M
2)Tigo na Zantel (Partnership na Axian) - $100M
3) Mkataba na Northern Feed Company - $500M
4) Tancoal Energy ?
 
Kuanzia mwishoni mwaka jana imekuwa ni kipindi kizuri sana kwa Rostam;
1) Williamson Diamond mine(Mwadui) - $15M
2)Tigo na Zantel (Partnership na Axian) - $100M
3) Mkataba na Northern Feed Company - $500M
4) Tancoal Energy ?
In principle serikali inahangaikia 1. CAPITAL INFLOW, 2. EMPLOYMENT TO BE CREATED, 3. TECHNOLOGY TRANSFER, 4. TAX REVENUE FROM CORPORATE AND EMPLOYEES TO BE EMPLOYED Nk
 
Sina uhakika kama kuna great thinker wa kukujibu maswali unayojaribu kuyadodosa, labda wapo na hawako interested na mjadala.

Pili, sidhani kama unaotuuliza haya maswali "wengi wetu" tunaelewa nini hasa lengo la haya maswali yako. Hivyo sitarajii majibu ambayo ni facts unless waje wanaoelewa na wapate hamu ya kulijadili hili. Binafsi sielewi chochote hivyo siwezi kujibu chochote.

Btw, umebadilika sana mkuu!
 
target za 2025 hizo hangaya anajisogeza kwa kingmaker kinara aliepewa kazi ya kuhakikisha nani anakuwa rais tanzania katika kila uchaguzi. msiwabeze wanaosema nchi ishauzwa hii.
 
Nashukuru kwa kunielewa mkuu.

Wapo wachache wanaoelewa ila wanapotosha kwa makusudi.

Na wapo wasioelewa kuwa wanapotosha kwa kutokuelewa kwao.

Nafahamu hilo tunakwenda nao hivyo mdogo mdogo tu, ukweli utakuwa wazi sio mbali sana.
 
Umeandika mambo ya msingi sana mkuu.

Asante.
 
Taifa Group ilikuwa ni ya RA na mwendazake kama ilivyo Vodacom (Lupaso, Chatoguy na Jaji fulani), Bagamoyo Sugar (Chatoguy na SSB).
Swali ni nani atachukua hisa za mwendazake kwenye miradi ya ubia?
Nilikuwa nahisi hiki kitu pia hapo kwenye Taifa Gas, mwendazake na RA ule ukaribu wao ulikuwa unanipa maswali mengi saana.
 
Rostam Aziz anaonekana hapo kwa sababu alikuwa mmoja wa wajumbe wa kibiashara wa Tanzania katika ziara hiyo huko Marekani
 
Kwa kukazia tu, hata nami nikiwa na jambo langu naweza kumwalika rais akaja kufungua/kuwa mgeni rasmi.
 
Kuna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…