kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,695 Reaction score 20,633 Oct 19, 2020 #21 Sheria inaruhusu sportpesa kufanya ivyo?
mugah di matheo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 6,307 Reaction score 12,410 Oct 19, 2020 #22 Jane Lowassa said: Alikuambia ananijua? Click to expand... Uelewa mdogo sana ,jibu swali acha mbwembwe
Jane Lowassa said: Alikuambia ananijua? Click to expand... Uelewa mdogo sana ,jibu swali acha mbwembwe
Jane Lowassa JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 4,955 Reaction score 9,041 Oct 19, 2020 #23 mugah di mathew said: Uelewa mdogo sana ,jibu swali acha mbwembwe Click to expand... We umeniuliza namkumbuka, ndiyo nikakuuliza kwani yeye alikuambia ananijua. Mimi siwezi kumkumbuka mtu sikumbuki kama tulionana.
mugah di mathew said: Uelewa mdogo sana ,jibu swali acha mbwembwe Click to expand... We umeniuliza namkumbuka, ndiyo nikakuuliza kwani yeye alikuambia ananijua. Mimi siwezi kumkumbuka mtu sikumbuki kama tulionana.
Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Oct 19, 2020 #24 NAWATAFUNA said: Maalim kawalatea Chadema majini ya kuiba kura za CCM bara. "Maalim shindwa na ulegee kwa jina la Yesu" Click to expand... Washirikina hoi!
NAWATAFUNA said: Maalim kawalatea Chadema majini ya kuiba kura za CCM bara. "Maalim shindwa na ulegee kwa jina la Yesu" Click to expand... Washirikina hoi!
mugah di matheo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 6,307 Reaction score 12,410 Oct 19, 2020 #25 Jane Lowassa said: We umeniuliza namkumbuka, ndiyo nikakuuliza kwani yeye alikuambia ananijua. Mimi siwezi kumkumbuka mtu sikumbuki kama tulionana. Click to expand... Siku ukikua utaacha
Jane Lowassa said: We umeniuliza namkumbuka, ndiyo nikakuuliza kwani yeye alikuambia ananijua. Mimi siwezi kumkumbuka mtu sikumbuki kama tulionana. Click to expand... Siku ukikua utaacha
The Khoisan JF-Expert Member Joined Jun 5, 2007 Posts 16,434 Reaction score 14,547 Oct 19, 2020 #26 Bujibuji said: Yaani Sheria zinazopitishwa na mibunge mizuzu ya CCM ni hopeless kabisa. Yaani Magufuli ni ruksa kumnadi Mwinyi, ila Lissu haruhusiwi. Click to expand... Magufuli hafuatagi sheria... Anajiamulia tu kutokana na utashi wake.
Bujibuji said: Yaani Sheria zinazopitishwa na mibunge mizuzu ya CCM ni hopeless kabisa. Yaani Magufuli ni ruksa kumnadi Mwinyi, ila Lissu haruhusiwi. Click to expand... Magufuli hafuatagi sheria... Anajiamulia tu kutokana na utashi wake.
J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Oct 19, 2020 #27 ..Sheria inaruhusu. ..Ndiyo maana Tundu Lissu alipokwenda Znz, alimpigia kampeni Maalim Seif.
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,263 Oct 20, 2020 #28 Jaji Tz said: waliomfundisha Lissu na wanaoendelea kumfundisha ni CCM utasemajee CCM haina maaanaa Click to expand... We mbwa ccm inawafundisha wale kina kheri james na musiba namna ya kuua watu lkn sio maarifa....... Hakuna sheria na Tundu Lissu ni mtu mwenye akili nyingi sn kuzidi maccm yote yakiwekwa pamoja akiwemo mzee wa phd feki
Jaji Tz said: waliomfundisha Lissu na wanaoendelea kumfundisha ni CCM utasemajee CCM haina maaanaa Click to expand... We mbwa ccm inawafundisha wale kina kheri james na musiba namna ya kuua watu lkn sio maarifa....... Hakuna sheria na Tundu Lissu ni mtu mwenye akili nyingi sn kuzidi maccm yote yakiwekwa pamoja akiwemo mzee wa phd feki