Wapwa
Dr Mwinyi amewataka Wazanzibari wajitokeze kwa wingi kumpigia kura za ndio tarehe 27 October, ikumbukwe Mgombea wa ACT Maalim Seif aliwambia Wazanzibari wajitokeze tarehe hiyo hiyo 27 akapigwa nyundo na ZEC siku 5.
Tunatega sikio kusikia kauli ya ZEC ya kumuita na kumpiga nyundo ya siku 5 mgombea uraisi wa CCM zanzibar sababu sheria kweli ni msumeno.
Haki huinua taifa
Dr Mwinyi amewataka Wazanzibari wajitokeze kwa wingi kumpigia kura za ndio tarehe 27 October, ikumbukwe Mgombea wa ACT Maalim Seif aliwambia Wazanzibari wajitokeze tarehe hiyo hiyo 27 akapigwa nyundo na ZEC siku 5.
Tunatega sikio kusikia kauli ya ZEC ya kumuita na kumpiga nyundo ya siku 5 mgombea uraisi wa CCM zanzibar sababu sheria kweli ni msumeno.
Haki huinua taifa