Je, siasa ni biashara kwa baadhi ya wapinzani?

Je, siasa ni biashara kwa baadhi ya wapinzani?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala.

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee.

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote.

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli.

Britanicca.
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Naunga mkono hoja, siasa ni biashara kubwa duniani kwa nchi masikini, hapa Tanzania siasa ndio the most lucrative business!

Kuna watu wanaingia kwenye siasa kwa ajili ya kwenda kuwatumikia wananchi, na kuna watu wanaingia kwenye siasa ili kupiga ma dili tuu!, hawa ndio wanaofanya siasa biashara, its the most paying business!.


Hili la biashara ya siasa, nimelisema hapa Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu! niliwachambua makundi matatu ya wanasiasa.
Wanabodi,
Aina Tatu za Wanasiasa
Kuna Aina Tatu za wanasiasa haha hama, Wahamaji Vyama, 1.The Genuine, 2. The Frustrated Gold Diggers, na 3. The Survivals wenye Njaa Wanaotaka Kushibishwa!.
1. Wahamaji Genuine
Hawa ni wanasiasa wa ukweli, wameingia kwenye siasa for very genuine reasons, na wanafanya genuine politics, wanaongozwa na principles, na falsafa, hivyo hujiunga na chama sio kufuata watu bali kufuata falsafa na itikadi, ikifikia mahali chama kimebadili malengo au itikadi, watatoa ushauri wa nini cha kufanya, wasiposikilizwa, wanaweza ama kujaribu kufanya mapinduzi ya ndani kama kina Zitto, Prof.Kitila na Mwigamba, ama wanaamua kujitoa rasmi kama Dr. Slaa, na hawa genuine wakiisha hama, siku wanahama, ama wanaaga rasmi kwa kuandika barua kama Lawrence Masha na kusema sababu, ama kwa kuitisha press conference na kutapika nyongo Kama siku ile ya Dr. Slaa pale Serena. Na baada ya pale, kamwe hutakaa uwasikie wakitukana chochote kuhusu kule walikotoka. Uliisha wahi msikia Masha au Dr. Slaa akikashifu Chadema?.

2. The Frustrated Gold Diggers.
Hawa ni wanasiasa wazuri tuu wenye uwezo wa uongozi, ila wameingia kwenye siasa za tamaa, sio kwa ajili ya kuongoza na kuwatumikia wananchi, bali wameingia kwenye siasa kusaka fursa, ikitokea wakakataliwa kuteuliwa na kukatwa, hawa huhama chama kwa hasira za kukosa uteuzi, hivyo hujiunga na chama chochote kitakachowapatia fursa za uteuzi, lakini mapenzi yao bado yako kwenye vyama vyao vya asili, na hawa kamwe hutakaa uwasikie wakitukana vyama vyao. Kundi hili ni kundi la Dr. Slaa alipohama CCM kujiunga Chadema. Waliokatwa CCM wote walihamia Chadema, akiwemo Lowassa na genge lake. Hutakaa uwasikie wakitukana au kukashifu kule walikotoka, kwasababu wanajua siasa hazitabiriki, kuna leo na kesho.

3. The Survivals wenye Njaa Wanaotaka Kushibishwa!.
Hawa ni wanasiasa wanaoingia kwenye siasa ili tuu kusaka fursa, kwao siasa ndio ajira yao, tatizo lao ni njaa, hivyo wako tayari kufanya lolote ali mradi mkono uende kinywani. Hawa wanaitumikia siasa kwa kutumia the law of the jungle ambapo ni "struggle for existence, survival is for the fittest". Hivyo wanasiasa wa aina hii, lengo lao ni survival tuu, ili kusavive, moja ya sifa zao kuu ni kujikomba komba sana, na siku wakihama, hutukana sana kule walikotoka. Hawa ni kama mwanamke mala.. anayejiuza, hawezi kumkataa mteja yoyote alimradi amefika bei!.

Wengi wa hawa wabunge na madiwani wanaojitoa Chadema na kuhamia CCM, ni kundi la hawa wanasiasa njaa, wanaofanya biashara ya umala...wa kisiasa. kinachowakimbiza Chadema sio siasa bali ni njaa tuu za uoga wa 2020, hivyo ni kama wanawake mala.. wanaojiuza miili, kuna baadhi wametongozwa au kujitongozesha kwa tamaa tuu ya dau dogo la kushawishiwa ikiwemo kuhongwa ahadi za wao kusimamishwa tena kuwa wagombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio, au chaguzi zijazo. Wanasiasa wa aina hii mimi niliwaita ni wanasiasa mala.. wa kisiasa, ni wanasiasa wa hovyo, sababu zilizowafanya wahame, mimi nimeziita ni siasa za kijinga.
Kinondoni na Siha, tusikubali ujinga huu! hata Mwl. Nyerere alikataa ujinga wa CCM, 1995 akachagua upinzani! - JamiiForums
Kuhusu wahamaji wa aina hii, niliwahi kuyazungumza haya
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!.

Jee Kwa Vile Wanasiasa Hama Hama Hawa, Wanavibeza Vyama Vyao Walikotoka, Jee Vyama Navyo Viwabeze?.
Jibu ni hapana, niliwahi kuutoa ushauri huu kuhusu hawa viongozi hama hama na nilishauri hivi
CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilik

Paskali.
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Miaka 30 mbali. Natabiri vitu viwili vinaweza kutokea Nchini. Maandamano na vurugu yasiokuwa na uratibu wowote yatakayotoa CCM madarakani au Jeshi kuchukua Nchi kwa style ya Zimbabwe.
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Inasikitisha sana
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Inawezekana hata hapo ulipokadiria ni jirani sana kwasababu ili mabadiliko ya kweli yatokee nilazima ile generation ambayo ilikuwepo kabla na baada ya haya mambo ya democracy kuanza itoke yote kwenye system... ukiangalia sasa hivi watu wengi wanaotamani mabadiliko ya kweli ni hii generation mpya ambayo na yenyewe kwa kiasi kikubwa ikiingia kwenye system inapoteza nguvu.
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka

Hivi Tanzania hii mtu anataka mabadiliko ili iweje?
WATU WANATAKA MABADILIKO KUELEKEA KWENYE HAKI (siyo haki sawa laaaaa...bali kuwa na haki kwa wote)
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
KAMBOWE NI KAHUNI TOKA KANA MIAKA 13y
 
Hivi Tanzania hii mtu anataka mabadiliko ili iweje?
We una miaka mingapi? Ungependa Tanzania iendelee kuwa jinsi ilivyo?
Rushwa Kila sekta
Ubadhilifu wa fedha za umma
Huduma za jamii chini ya kiwango
Elimu mbaya na mbovu!

Ningetandika ukurasa wa kutosha ila siku hizi mi ni mvivu wa kuandika
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Hapo mwisho umemaliza kwa uchungu sana. Watu wanaona lengo lao ni mabadiliko la uchumi binafsi sasa kwa namna ilivyo njia ya mabadiliko ilivyo na miba basi ni bora kuiendea ya uchumi binafsi ambapo inawezekana kwa kujijenga kipinzani
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Siasa ni biashara kubwa sana duniani. Mwanasiasa yeyote asikudanganye eti anakutumikia. Anatumikia tumbo lake na watoto wake. Mengine yote wanafanya ili kuhalalisha uwepo wao hapo walipo.
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Hiyo unayoita “rushwa toka chama tawala” ni pesa ya umma toka Hazina ya taifa. Na chama tawala ni serikali kiuhalisia; ni chama dola (state party).

Hivyo, weka mada hii katika maudhui sahihi (right context). Hii ni biashara kati ya serikali na (?) kwa ajili ya (?).
 
Siasa ni biashara kama biashara zingine... Ndo maana dunia nzima wanasiasa wamegubikwa na skendo za ubadhirifu wanaoufanya katika kufanikisha biashara zao....
 
Kwani kwa chama Tawala ni nini ?

Hakuna mabadiliko yoyote hapa wala pengine kinachoweza kubadilisha hali hii ni kuwa na Taasisi imara za kuweza kuibua madudu sababu madudu yanatokea, yalitokea na yataendelea kutokea

 
Back
Top Bottom