Je, siasa ni biashara kwa baadhi ya wapinzani?

Je, siasa ni biashara kwa baadhi ya wapinzani?

Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala.

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee.

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote.

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli.

Britanicca.
Naunga mkono hoja
 
Marekani na kwinginepo unaweza kukuta mtu anatokea labda lecturer katika chuo anateuliwa au anachaguliwa kushika wadhifa kwenye serikali au bunge.Akimaliza muda wake mara nyingine anarudia kazi yake ya awali.
Lakini Dr.Nyerere licha ya kutaka aitwe Mwalimu sikumsikia kurudi kazi ya ualimu he thought ualimu ni under dog.
Si kweli kwamba kulikuwa na uhaba wa wananchi kufanya kazi yake ndio maanake alijilimbikiza miaka 27 ya uraisi hadi alipofarakana na IMF akalazimika kujingatua kinamna.

Mfano mzuri wa kuigwa barani Afrika ni wa mfungwa Nelson Mandela alisota jela miaka 27 akipasua mawe Robbins Island lakini alivyoachiwa huru alitawala South Africa kipindi kimmoja cha miaka minne tu licha ya wananchi wake na dunia kutaka aendelee.

Kugangania madaraka kwa kisingizio cha yeye ndio mwenye vision tu ya kuongoza nchi ni ulafi na uwoga wa kuachia madaraka. Unaanza kuwa Raisi at 32 years unaendelea nao for official 27 years na mingine over 10 years kama Baba wa taifa.ni ufalme au usultan kwa njia nyingine.
Nyerere alisema yeye kuna mabaya aliyo kosea ila anashangaa kwanini yale mabaya yanaendelezwa na yale mazuri aliyo tenda yana achwa ...kuhusu kazi wewe tatizo lako ni akili zako mtu akulazimishwa kuwa mwalimu ukiona fursa iliyo bora hakuna anaye kuzuia kufuata hiyo fursa .... walimu mngekuwa na akili basi mgeitaka serikali ilipe mishahara kwa kuzingatia ufanisi wa shule mnazo fundisha ..ila najua mnaogopa kwa sababu ni walimu wabovu mnao penda mishahara kuliko kazi.
 
Nyerere alisema yeye kuna mabaya aliyo kosea ila anashangaa kwanini yale mabaya yanaendelezwa na yale mazuri aliyo tenda yana achwa ...kuhusu kazi wewe tatizo lako ni akili zako mtu akulazimishwa kuwa mwalimu ukiona fursa iliyo bora hakuna anaye kuzuia kufuata hiyo fursa .... walimu mngekuwa na akili basi mgeitaka serikali ilipe mishahara kwa kuzingatia ufanisi wa shule mnazo fundisha ..ila najua mnaogopa kwa sababu ni walimu wabovu mnao penda mishahara kuliko kazi.
Kwa kifupi akili ni nywele kila mtu ana zake.
Mh Heche aliyekuwa mbunge kutoka mkoa wa mara aliwachana chana wabunge kwanini mnataka vijana wajiajiri wakati ninyi miaka hata 20 mnagombania kuajiriwa na bunge?
Kwa kifupi most politicians are typical liars.Sababu ya maslahi.
 
Jinsi jeshi la polisi linavyojiingiza kwenye siasa na kusababisha taharuki itatokea mapema kuliko tunavyotegemea.
Naam, ila Polisi hawajitambui wanapaswa kuwa neutral pale raia wanapo practice civil rights zao.
Opossition wanapodai maisha Bora, including maslahi ya polisi.

Ninaamini WE SHALL OVERCOME siku moja.

Furaha yangu pia kuona ndani ya Chama DOLA maji Yako timbwili timbwili 😅😅
rise and fall of Roman empire
 
Back
Top Bottom