Je, siasa ni biashara kwa baadhi ya wapinzani?

Je, siasa ni biashara kwa baadhi ya wapinzani?

Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Mbowe ni mfanya biashara. Na hata issue ya wabunge 19 alipewa rushwa na CCM lakin akajifanya hawajui wakina mdee et al. Sasa muda umeisha anataka warudi business as usual.

Mbowe alianza kula rushwa wakati wa Lowasa. Na sasa wakati huu. Lissu asijitoe na kusema kuwa wamekula rushwa wenzake mbona wakati wa Lowasa, Lissu pia, alizipokea pesa, za Lowasa? Kwann kwa sasa anazikana?

CDM wote ni wala rushwa. Lissu amezikataa baada, ya kuona Mbowe amepewa nyingi sana.
 
We una miaka mingapi? Ungependa Tanzania iendelee kuwa jinsi ilivyo?
Rushwa Kila sekta
Ubadhilifu wa fedha za umma
Huduma za jamii chini ya kiwango
Elimu mbaya na mbovu!

Ningetandika ukurasa wa kutosha ila siku hizi mi ni mvivu wa kuandika
Ningependa Tanzania isiwepo kabisa.

Nani ambae hatokuwa mbadhirifu?

Mimi niliwapa "solution" ya matatizo ya Tanzania lakini hamjielewi.

Solution ya matatizo ya Tanzania, yoooote, yatakwisha siku hii ardhi ikiwa inahukumiwa kwa "sharia" za Kiislam.

Nje ya hapo, hakuna mnachotegemea.
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Neno "HAKI" Unamaanisha haki ya kudai katiba mpya baada ya uchaguzi mkuu kupita!!?inawezekana kabisa ndivyo walivyoambiwa kwamba nikishapita uchaguzi ujao ndio mdai katiba mpya!
 
Miaka 30 mbali. Natabiri vitu viwili vinaweza kutokea Nchini. Maandamano na vurugu yasiokuwa na uratibu wowote yatakayotoa CCM madarakani au Jeshi kuchukua Nchi kwa style ya Zimbabwe.
Kila siku nasema humu, nchi hii inatakiwa factory reset, aidha kwa machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ili kuanza upya kiutawala. Kwa sasa kutegemea box la kura kupata mabadiliko ni kudanganyana.
 
Ningependa Tanzania isiwepo kabisa.

Nani ambae hatokuwa mbadhirifu?

Mimi niliwapa "solution" ya matatizo ya Tanzania lakini hamjielewi.

Solution ya matatizo ya Tanzania, yoooote, yatakwisha siku hii ardhi ikiwa inahukumiwa kwa "sharia" za Kiislam.

Nje ya hapo, hakuna mnachotegemea.
Tupe ushahidi wa usemacho kupitia nchi zinazoongozwa kwa sharia za kiisilamu.
 
Tupe ushahidi wa usemacho kupitia nchi zinazoongozwa kwa sharia za kiisilamu.
Zitafute wewe useme, nikupe ushahidi wa nini?

Mimi ntakupa elimu tu. Usome utawala wa Omar bin Abdulaziz Al amawi. Uliongozwa Kiislam kwa asilimia 100.
 
Zitafute wewe useme, nikupe ushahidi wa nini?

Mimi ntakupa elimu tu. Usome utawala wa Omar bin Abdulaziz Al amawi. Uliongozwa Kiislam kwa asilimia 100.
Walikuwa na maendeleo gani? Waliwahi kupelekea chombo chochote anga za mbali, au ndio wale wa kufa kwenye jihad ili wakakutane na mabikira 70?
 
Ningependa Tanzania isiwepo kabisa.

Nani ambae hatokuwa mbadhirifu?

Mimi niliwapa "solution" ya matatizo ya Tanzania lakini hamjielewi.

Solution ya matatizo ya Tanzania, yoooote, yatakwisha siku hii ardhi ikiwa inahukumiwa kwa "sharia" za Kiislam.

Nje ya hapo, hakuna mnachotegemea.
Ila wewe mdini sana aisee kwa umri wako huo bado unahubiri udini
 
Ila wewe mdini sana aisee kwa umri wako huo bado unahubiri udini
Anaona hizo dini za kuletwa na majahazi ni kitu cha maana sana. Watu wako ulimwengu mwingine yeye kabaki na dini za kihistoria za watu weupe.
 
Iran
Pakistan
Bangladesh
Saudi Arabia
Hizo zote zinawatia watu changa la macho tu. Ndilo kosa kubwa kuliko yote, ama ufate sharia za Kiislam ama usifate, huwezi kufata zingine, zingine ukasema usizifate. Ni ushetani.

Iran hawafati sharia za Kiislam kwa asilimi zote. Ni baadhi kujionesha kuwa wanafata, ni changa la macho tu.

Pakistan kuna majimbo yanayofata sheria za Kiislam kwa alimia 100 na ndiyo majimbo ambayo hayana matatizo.

Banglsdeha hakun sharia za Kiislam ila kwa baadhi ya mambo tu.

Saudi Arabia, hao ndiyo wanafiki kabisa, mazayuni wa Kiarabu hao.
 
Hizo zote zinawatia watu changa la macho tu. Ndilo kosa kubwa kuliko yote, ama ufate sharia za Kiislam ama usifate, huwezi kufata zingine, zingine ukasema usizifate. Ni ushetani.

Iran hawafati sharia za Kiislam kwa asilimi zote. Ni baadhi kujionesha kuwa wanafata, ni changa la macho tu.

Pakistan kuna majimbo yanayofata sheria za Kiislam kwa alimia 100 na ndiyo majimbo ambayo hayana matatizo.

Banglsdeha hakun sharia za Kiislam ila kwa baadhi ya mambo tu.

Saudi Arabia, hao ndiyo wanafiki kabisa, mazayuni wa Kiarabu hao.
Afghanistan?
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca

..kwanini Ccm inahonga wapinzani?

..na kuhonga huko sisi wananchi tunafaidika vipi?

..Ccm wanatoa wapi fedha za kuhonga wapinzani?

..Je, sio fedha za umma zinatumika kibadhirifu?

..Je, mabadiliko yatakuja kwa kuwaacha Ccm wahonge wapinzani vile wanavyojisikia?
 
Naunga mkono hoja, siasa ni biashara kubwa duniani kwa nchi masikini, hapa Tanzania siasa ndio the most lucrative business!

Kuna watu wanaingia kwenye siasa kwa ajili ya kwenda kuwatumikia wananchi, na kuna watu wanaingia kwenye siasa ili kupiga ma dili tuu!, hawa ndio wanaofanya siasa biashara, its the most paying business!.


Hili la biashara ya siasa, nimelisema hapa Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu! niliwachambua makundi matatu ya wanasiasa.
Nawanao ingia kwenye siasa kuwatumikia wananchi wakiijaa kwenye mfumo wa wanasiasa biashara nao wanakuwa walewale.
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Nakubaliana na wewe viongozi wetu wengiwao ni NJAA KALI.
 
Back
Top Bottom