Je, siasa ni biashara kwa baadhi ya wapinzani?

Je, siasa ni biashara kwa baadhi ya wapinzani?

Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Njaa ni kitu kibaya sana hasa kwa mchumia tumbo fikiria mtu anauwezo wa kumtoa kafara mwanae wa kumzaa ili tu biashara yake ifanikiwe ninjambo gani asiliweza kufanya mtu kama huyu.
 
Kama kwa "mdini" unamaanisha Uislam, hilo ni kweli kabisa, mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu. Wewe unajivunia nini?

Sihubiri, nalingania. Unafahamu maana ya kulingania Uislam?
Faida gani unapata unapoipagia huo uislam?
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee,

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala
Na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli

Britanicca
Yes, COVID-19 ambao wamefundishwa na upande wa pili.
 
Mabadiriko ya kweli. Yatatokana na maandamano yasiyo asisiwa na vyama vya siasa.

Yaani ni people on the street wakiwa wamechoka na kila kitu kinacho endelea katika serikali.

Hapo ndipo kila kitu kitaanza upya.
 
Kwa mifumo ya huku kwetu ni ngumu kutokea
Mifumo ina control vitu vinavyoratibiwa. Nje ya hapo mifumo inakuwa haijui nani wakumkamata au kuzungumzae naye na mwisho wa CCM utakuwa hivyo. Najua Serikali inajitahidi kuweka uongozi kwenye vikundi vyote vya jamii ilikuweza kuweka control lakini kuna kundi litaibuka tu tukiendelea na level hii ya umaskini, ukosaji wa ajira, polisi na viongozi walikosa hekima.
 
WATU WANATAKA MABADILIKO KUELEKEA KWENYE HAKI (siyo haki sawa laaaaa...bali kuwa na haki kwa wote)
Mkuu kwa walio wengi siasa ni ajira,na siasa ni biashara kubwa.
Ebu chukulia Mwalimu Nyerere akiwa mwalimu pale Pugu secondary.
Wakaja matajiri Rupia,Sykes na wengine kuwa wanampa kazi ya kuandika barua kwa kizungu ya kudai uhuru wa Tanganyika, aipeleke Umoja wa Mataifa New York Marekani.
Baada ya kazi nzuri, alikilimiwa na matajiri hao mavazi,gari,nyumba,bima,nk hakurudi Pugu kufundisha, akaja down town Dar kula kuku. Hadi kifo chake alijikita kwenye siasa kama mtaji.
Ndio maanake vyeo au teuzi za siasa huthaminiwa kuliko kazi halisi za umma.Ni nadra kusikia mwananchi anaenda mahakamani kushtaki kutopandishwa cheo cha walimu lakini katika siasa kila jambo linawezekana.
 
Mkuu kwa walio wengi siasa ni ajira,na siasa ni biashara kubwa.
Ebu chukulia Mwalimu Nyerere akiwa mwalimu pale Pugu secondary.
Wakaja matajiri Rupia,Sykes na wengine kuwa wanampa kazi ya kuandika barua kwa kizungu ya kudai uhuru wa Tanganyika, aipeleke Umoja wa Mataifa New York Marekani.
Baada ya kazi nzuri, alikilimiwa na matajiri hao mavazi,gari,nyumba,bima,nk hakurudi Pugu kufundisha, akaja down town Dar kula kuku. Hadi kifo chake alijikita kwenye siasa kama mtaji.
Ndio maanake vyeo au teuzi za siasa huthaminiwa kuliko kazi halisi za umma.Ni nadra kusikia mwananchi anaenda mahakamani kushtaki kutopandishwa cheo cha walimu lakini katika siasa kila jambo linawezekana.
Tatizo siyo siasa kuwa ajira au biashara kwa sababu ajira au biashara vinaweza kufanyika ndani ya haki ...watanzania tunataka viongozi watenda HAKI .icho ulicho andika juu ya Nyerere hakina uovu wowote ...tena kudai uhuru wakati wa mkoloni ilikuwa siyo kazi ya kula bata...mkoloni alikuwa muuaji na hakukuwa na hatia kumuua mtu yoyote mweusi anaye dai uhuru au kupigania haki juu ya watu weusi hivyo nyerere akuingia kwenye siasa kwa ajili ya kula bata..ni sawa sawa na wanajeshi kuna aina mbili za wanajeshi kuna wale wanalilia kazi ya jeshi kipindi cha amani ni tofauti kabisa na wale wanao lilia kupata kazi ya jeshi kipindi cha vita .... hivyo wananchi wanao tamani kuingia jeshini kipindi cha vita ni bora kuliko wale walio ingia kipindi cha amani ....wewe unauchukulia poa UKOLONI ...KAZI YA KUDAI UHURU ILIKUWA KAZI YA KIFO NDIYO MAANA NYERERE ALIPEWA HARAKA UONGOZI WA KUWA JEMEDARI WA KUDAI UHURU TENA NA WAISLAMU...WEWE UNADHANI INNGEKUWA HIYO KAZI NI HOT CAKE WANGEMPA NAFASI NYERERE ?
 
Hivi Tanzania hii mtu anataka mabadiliko ili iweje?
Wanyonyaji ndiyo hawataki mabadiliko, watu conservative mabadiliko kwao ni mwiko kwa sababu madadiliko yatakata mirija Yao ya ubadhilifu na rushwa na UHUNI wafanyao. Wanyonyaji hawa wakisikia wanyonywaji na maskini wanataka madadiliko wanakuja juu.

Tuwakatae wanyonya hawa ambao ni wengi sana nyakati hizi.
 
Siasa ni biashara kama biashara zingine... Ndo maana dunia nzima wanasiasa wamegubikwa na skendo za ubadhirifu wanaoufanya katika kufanikisha biashara zao....
Sina hakika kwa nchi zenye viongozi wanaojielewa nchi kama uingereza waziri mkuu akienda tofauti mahitaji ya chama chake wanachama wenzake wanaacha kuniunga mkono kama kilichomtokea borris Johnson wabunge walijiuzuru mwisho wa siku akakosa uungwaji mkono

Lakini Afrika ata mambo yaharibike watu hawajawi kujiuzuru
 
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala.

Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee.

Huwezi kuwa serious kabisa unataka mabadiliko ukapokea maelekezo ni lini udai haki zako wakati ni haki inatakiwa kudaiwa muda wowote.

Narudia watanzania mabadiliko yatakuja Ila si kwa vyama vyenye damu ya chama tawala na itachukua almost 30 more years kupata mabadiliko ya kweli.

Britanicca.
Viongozi wa CCM hivi sasa ni matajiri sana japo hawajawahi kufanya biashara yoyote.
 
Nje ya mada, vipi tetesi kuhusu mtoto pendwa? Au umenyimwa taarifa?
Nadhani Kuna namna inatengenezwa account ionekane ni reliable source of info ili ije itumike kupitisha taarifa kwa manufaa binafsi ya mtenga account hiyo!!!!
 
Miaka 30 mbali. Natabiri vitu viwili vinaweza kutokea Nchini. Maandamano na vurugu yasiokuwa na uratibu wowote yatakayotoa CCM madarakani au Jeshi kuchukua Nchi kwa style ya Zimbabwe.
Natamami kimojwapo kitokee, maana kwenye box la kura jamaa ni wezi sana
 
Tatizo siyo siasa kuwa ajira au biashara kwa sababu ajira au biashara vinaweza kufanyika ndani ya haki ...watanzania tunataka viongozi watenda HAKI .icho ulicho andika juu ya Nyerere hakina uovu wowote ...tena kudai uhuru wakati wa mkoloni ilikuwa siyo kazi ya kula bata...mkoloni alikuwa muuaji na hakukuwa na hatia kumuua mtu yoyote mweusi anaye dai uhuru au kupigania haki juu ya watu weusi hivyo nyerere akuingia kwenye siasa kwa ajili ya kula bata..ni sawa sawa na wanajeshi kuna aina mbili za wanajeshi kuna wale wanalilia kazi ya jeshi kipindi cha amani ni tofauti kabisa na wale wanao lilia kupata kazi ya jeshi kipindi cha vita .... hivyo wananchi wanao tamani kuingia jeshini kipindi cha vita ni bora kuliko wale walio ingia kipindi cha amani ....wewe unauchukulia poa UKOLONI ...KAZI YA KUDAI UHURU ILIKUWA KAZI YA KIFO NDIYO MAANA NYERERE ALIPEWA HARAKA UONGOZI WA KUWA JEMEDARI WA KUDAI UHURU TENA NA WAISLAMU...WEWE UNADHANI INNGEKUWA HIYO KAZI NI HOT CAKE WANGEMPA NAFASI NYERERE ?
Marekani na kwinginepo unaweza kukuta mtu anatokea labda lecturer katika chuo anateuliwa au anachaguliwa kushika wadhifa kwenye serikali au bunge.Akimaliza muda wake mara nyingine anarudia kazi yake ya awali.
Lakini Dr.Nyerere licha ya kutaka aitwe Mwalimu sikumsikia kurudi kazi ya ualimu he thought ualimu ni under dog.
Si kweli kwamba kulikuwa na uhaba wa wananchi kufanya kazi yake ndio maanake alijilimbikiza miaka 27 ya uraisi hadi alipofarakana na IMF akalazimika kujingatua kinamna.

Mfano mzuri wa kuigwa barani Afrika ni wa mfungwa Nelson Mandela alisota jela miaka 27 akipasua mawe Robbins Island lakini alivyoachiwa huru alitawala South Africa kipindi kimmoja cha miaka minne tu licha ya wananchi wake na dunia kutaka aendelee.

Kugangania madaraka kwa kisingizio cha yeye ndio mwenye vision tu ya kuongoza nchi ni ulafi na uwoga wa kuachia madaraka. Unaanza kuwa Raisi at 32 years unaendelea nao for official 27 years na mingine over 10 years kama Baba wa taifa.ni ufalme au usultan kwa njia nyingine.
 
Back
Top Bottom