Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?

Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?

Acheni propaganda, bilioni tatu angelipwa na nani na kwasababu gani? Zile zilikuwa mbwbwe za kisiasa kipindi kile.
Haya maneno niliyasikia kwa Mzee Olesendeka hebu mtafute ujiridhishe kabla ya kukataa
 
Sawa Kafulila unajiuliza na kujijibu. Ila hiki unachofanya ni utoto na unajichoresha. Muulize Mwigulu aliyekuwa anajinadi kwenye mawe.
Mbona unabifu sana Kafulila aliwahi kukutafunia ama namna gani?
 
Shida ni pale Kafulila anapo fungua nyuzi zaidi ya moja kujipa promo .
Sasa Mimi ni Kafulila?

Unanipangia nifungue nyuzi muda gani?
Au hili jukwaa ni mali ya CHADEMA?
Nani kakwambia Kafulila anaakaunti hapa Jf?
Wewe siungekuja na tuhuma za wizi au ufisadi wa Kafulila badala ya kuanza kurukaruka kama maharagwe?
 
amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila Kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu Kafulila anachukia rushwa kwa moyo na kwa nguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba Kafulila anachukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba huyu jamaa hajawahi kuhusishwa na Kashfa za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli Kafulila alipoteza ndoa kwa sababu ya maisha duni anayoishi kama tunavyoambiwa?

Comment ziwe fupifupi
Ngoja tuone
 
amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila Kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu Kafulila anachukia rushwa kwa moyo na kwa nguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba Kafulila anachukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba huyu jamaa hajawahi kuhusishwa na Kashfa za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli Kafulila alipoteza ndoa kwa sababu ya maisha duni anayoishi kama tunavyoambiwa?

Comment ziwe fupifupi
Chawa wake mmeamua kuja kivingine, karibuni
 
amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila Kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu Kafulila anachukia rushwa kwa moyo na kwa nguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba Kafulila anachukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba huyu jamaa hajawahi kuhusishwa na Kashfa za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli Kafulila alipoteza ndoa kwa sababu ya maisha duni anayoishi kama tunavyoambiwa?

Comment ziwe fupifupi
Hiyo ya 7 inaumiza sana pale unapopata mwanamke anataka na wewe ule rushwa na ujenge majumba na ununue magari kama wengine,Uibe kama watu wengi,ila maokoto yawepo ya kutosha kwenye akaunti. Ila asikate tamaa aendelee na msimamo huo huo.
 
Watanzania wazalendo wanafahamu uzalendo, uadilifu na Uchapakazi alio nao Mheshimiwa David Kafulila.wanatambua ya kuwa ni hazina kwa Taifa letu na mtu wa kuaminika na kuaminiwa .
Hata kama ndio ukatae 3bn wakati ndg zako wote masikini wa kutupwa bahati huwa haijirudii Kuna siku atajutia
 
Hata kama ndio ukatae 3bn wakati ndg zako wote masikini wa kutupwa bahati huwa haijirudii Kuna siku atajutia
Mheshimiwa David Kafulila ni mzalendo kama alivyokuwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere,ambaye alipigania Taifa letu kwa maslahi ya watu wote
 
Sasa itamfaa nini wakati system nzima watu wapigaji tu watu wamekuwa mabilioni kutoka humo humo serkalini
Mfumo unahitaji kuingizwa watu wasafi na waadilifu aina ya Mheshimiwa Kafulila ili kufanya kazi pamoja na Rais wetu mzalendo na mchapa kazi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
 
Back
Top Bottom