Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Kafulila unajiuliza na kujijibu. Ila hiki unachofanya ni utoto na unajichoresha. Muulize Mwigulu aliyekuwa anajinadi kwenye mawe.Kwakweli huyu jamaa ni miongoni mwa wazalendo wa nchi hii
Shida ni pale Kafulila anapo fungua nyuzi zaidi ya moja kujipa promo .Nchi hii ukizungumza mazuri ya mtu unaitwa chawa
Wanataka tuzungumze mabaya tu
Kwako Cde Lucas Mwashambwa 😞😞
Sasa Mimi ni Kafulila?Shida ni pale Kafulila anapo fungua nyuzi zaidi ya moja kujipa promo .
Kweli mbuzi wa masikini hazaiKukataa hizo bil 3 za Escrow ni kweli mengine sijui
Hapa Kafulila alizingua sanaKweli mbuzi wa masikini hazai
Ngoja tuoneamani iwe kwenu,
Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila Kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,
1. Je, ni kweli kwamba huyu Kafulila anachukia rushwa kwa moyo na kwa nguvu zake zote kama tunavyoambiwa?
2. Je, ni kweli kwamba Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?
3. Je, ni kweli kwamba Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?
4. Je, ni kweli kwamba Kafulila anachukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?
5. Je, ni kweli kwamba huyu jamaa hajawahi kuhusishwa na Kashfa za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?
6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?
7. Je, ni kweli Kafulila alipoteza ndoa kwa sababu ya maisha duni anayoishi kama tunavyoambiwa?
Comment ziwe fupifupi
Kwakweli😅😅Kilaza anawatumia vilaza kujijenga.
Chawa wake mmeamua kuja kivingine, karibuniamani iwe kwenu,
Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila Kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,
1. Je, ni kweli kwamba huyu Kafulila anachukia rushwa kwa moyo na kwa nguvu zake zote kama tunavyoambiwa?
2. Je, ni kweli kwamba Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?
3. Je, ni kweli kwamba Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?
4. Je, ni kweli kwamba Kafulila anachukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?
5. Je, ni kweli kwamba huyu jamaa hajawahi kuhusishwa na Kashfa za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?
6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?
7. Je, ni kweli Kafulila alipoteza ndoa kwa sababu ya maisha duni anayoishi kama tunavyoambiwa?
Comment ziwe fupifupi
Jielekeze Kwenye mjadala SIO kweli Kila anayeandika hapa kuhusu Kafulila ni Chawa wa kafulilaChawa wake mmeamua kuja kivingine, karibuni
Hiyo ya 7 inaumiza sana pale unapopata mwanamke anataka na wewe ule rushwa na ujenge majumba na ununue magari kama wengine,Uibe kama watu wengi,ila maokoto yawepo ya kutosha kwenye akaunti. Ila asikate tamaa aendelee na msimamo huo huo.amani iwe kwenu,
Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila Kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,
1. Je, ni kweli kwamba huyu Kafulila anachukia rushwa kwa moyo na kwa nguvu zake zote kama tunavyoambiwa?
2. Je, ni kweli kwamba Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?
3. Je, ni kweli kwamba Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?
4. Je, ni kweli kwamba Kafulila anachukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?
5. Je, ni kweli kwamba huyu jamaa hajawahi kuhusishwa na Kashfa za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?
6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?
7. Je, ni kweli Kafulila alipoteza ndoa kwa sababu ya maisha duni anayoishi kama tunavyoambiwa?
Comment ziwe fupifupi
Hata kama ndio ukatae 3bn wakati ndg zako wote masikini wa kutupwa bahati huwa haijirudii Kuna siku atajutiaWatanzania wazalendo wanafahamu uzalendo, uadilifu na Uchapakazi alio nao Mheshimiwa David Kafulila.wanatambua ya kuwa ni hazina kwa Taifa letu na mtu wa kuaminika na kuaminiwa .
Mheshimiwa David Kafulila ni mzalendo kama alivyokuwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere,ambaye alipigania Taifa letu kwa maslahi ya watu woteHata kama ndio ukatae 3bn wakati ndg zako wote masikini wa kutupwa bahati huwa haijirudii Kuna siku atajutia
Sasa itamfaa nini wakati system nzima watu wapigaji tu watu wamekuwa mabilioni kutoka humo humo serkaliniMheshimiwa David Kafulila ni mzalendo kama alivyokuwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere,ambaye alipigania Taifa letu kwa maslahi ya watu wote
Jibu hoja kulingana na Post! sasa hapo kilaza ni nani kati yako na Kafulila?Kafulila ni kilaza. Anaishi kwa huruma za watawala.
Mfumo unahitaji kuingizwa watu wasafi na waadilifu aina ya Mheshimiwa Kafulila ili kufanya kazi pamoja na Rais wetu mzalendo na mchapa kazi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu HasssanSasa itamfaa nini wakati system nzima watu wapigaji tu watu wamekuwa mabilioni kutoka humo humo serkalini