Anajipogia promo sana mwenyewe mitandaoni hasa humu jamii forums ana Id kibaoNi yaleyale ya kununua wapiga debe
Kuzijua unaaangakia tu aina ya uandishi tu
Kama hii mada ya kwake kaianzisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajipogia promo sana mwenyewe mitandaoni hasa humu jamii forums ana Id kibaoNi yaleyale ya kununua wapiga debe
Upuuzi tuu hana lolote speshoamani iwe kwenu,
Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila Kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,
1. Je, ni kweli kwamba huyu Kafulila anachukia rushwa kwa moyo na kwa nguvu zake zote kama tunavyoambiwa?
2. Je, ni kweli kwamba Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?
3. Je, ni kweli kwamba Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?
4. Je, ni kweli kwamba Kafulila anachukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?
5. Je, ni kweli kwamba huyu jamaa hajawahi kuhusishwa na Kashfa za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?
6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?
7. Je, ni kweli Kafulila alipoteza ndoa kwa sababu ya maisha duni anayoishi kama tunavyoambiwa?
Comment ziwe fupifupi
Mbinu anayotumia ni ya kitoto sanaAnajipogia promo sana mwenyewe mitandaoni hasa humu jamii forums ana Id kibao
Kuzijua unaaangakia tu aina ya uandishi tu
Kama hii mada ya kwake kaianzisha
Fuatilia kwa kina kilichomtoa CDMSifa zote ni za kweli ndio maana watu badala ya kupinga kwa hoja wanatukana tu
😁😁 Kumbe na Mimi nae ni Kafulila?Anajipogia promo sana mwenyewe mitandaoni hasa humu jamii forums ana Id kibao
Kuzijua unaaangakia tu aina ya uandishi tu
Kama hii mada ya kwake kaianzisha
Mtu kama Kafulila anayeweza kurejesha chenji ya Watanzania masikini zaidi ya 2bn au kukataa rushwa ya zaidi ya 3bn anakaaje CHADEMA Kwa mfano hebu tuweni wakweli ?Fuatilia kwa kina kilichomtoa CDM
Cde ChoiceVariable ,Upuuzi tuu hana lolote spesho
Hii yako ni ya ukichaa kabisa,Mbinu anayotumia ni ya kitoto sana
🖕Hii yako ni ukichaa kabisa watoto wanaakili sana hawawezi kuwa kama wewe.
Unahangaikaje na I'd wakati unajua kabisa hapa Jf ni mwendo wa I'd fake?
Au unadhani Jf walikuwa wajinga kusema tutatumia I'd fake?
6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?amani iwe kwenu,
Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila Kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,
1. Je, ni kweli kwamba huyu Kafulila anachukia rushwa kwa moyo na kwa nguvu zake zote kama tunavyoambiwa?
2. Je, ni kweli kwamba Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?
3. Je, ni kweli kwamba Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?
4. Je, ni kweli kwamba Kafulila anachukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?
5. Je, ni kweli kwamba huyu jamaa hajawahi kuhusishwa na Kashfa za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?
6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?
7. Je, ni kweli Kafulila alipoteza ndoa kwa sababu ya maisha duni anayoishi kama tunavyoambiwa?
Comment ziwe fupifupi
Matusi ya nini tena we Bavicha
Ndio ni Kweli.6. Je, ni kweli kwamba Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2bil kutoka katika TZS 6bil alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?
Hii ni kweli Kwa mujibu wa Lucas Mwashambwa wa Umalila😄😄
Ukitukanwa nawe tukana, ukijibiwa kiungwana utajibu kiungwanaMatusi ya nini tena we Bavicha
Kaupepo tuu kama kale la Antony Mtaka 😆😆@
Cde ChoiceVariable ,
Nakuheshimu sana mkuu tuko na wewe humu tangu ukiwa na jina lile,
Hebu kwa heshima ile ile, nijibu hayo maswali hapo juu ili tujitofautishe,
Weka madhambi ya Kafulila hapa jukwaani kama unayajua kama huna tuamini Sasa haya tunayoyasikia
CCM hakuna wavuta bangi kama huku matusi sio jadi ya CCMUkitukanwa nawe tukana, ukijibiwa kiungwana utajibiwa kiungwana
Nani kapewa sumu CCM?Hao wanaompa sifa watamponza bure apewe sumu, huko CCM sasa kulambishana sumu ndiyo mpango mzima.
Unajua ushabiki wa Siasa ni kama ushabiki wa MichezoHumu wamejaa chawa pro max mijitu imekaa kusifia mwanaume mwenzenu kwani aliwafilimba nn 🤣🤣🤣kafulila kafulila toeni ujinga wenu hapa.Hamuoni hata aibu kwa lipi sasa huyo Muha kafanya hapa tz ndo awe wimbo achen ujinga nyie.Mama zenu walipata shida sana kuwazaa harafu nyie mnakuja kuwa mafala na chawa dah...