Je, siku ya Leo unamshahauri nini hasa Benjamin Netanyau?

Je, siku ya Leo unamshahauri nini hasa Benjamin Netanyau?

Mimi nampenda Netanyahu kwa vile hakurupuki. Anatafuta mbaya wake anapiga mule mule. Mfano Iran ilipopiga Israel, yeye alijua Raisi ndiye kaamrisha. Hivyo amemuadhibu yeye badala ya Kuua Raia wasio na hatia. Ukiona huko Raffah, anatafuta hamas na akijulikana kiongozi wao yupo wapi, anapiga nyumba aliyomo.

Angalia hospital walivyo kuwa hamas wamejificha, aliwakanyaga na kuwazika. Israel wanaendesha vita ya Kisasa na Kiakili!
Mnatafuta pa kujifichia enyi wayahudi wa Nkwimba....kwaiyo akifa mtu mashuhuri hata afie nyumbani mtasema kalogwa na Israel dah 😂
 
Mnatafuta pa kujifichia enyi wayahudi wa Nkwimba....kwaiyo akifa mtu mashuhuri hata afie nyumbani mtasema kalogwa na Israel dah 😂
Unasafrishaje Raisi kwenye usafr wa kipuuzi namna hyo under such terrible weather conditions, wakat huo nchi upo kwenye alarming rate ... Huyo wamemsambaratisha psychologically
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Naomba kujua ikitokea umepewa nafasi ya kushauri siku ya leo May 20,2024 Je utampa ushauri gani Waziri Mkuu Benjamin Netanyau?

Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele Ndugu zangu wa jukwaa hili
Aendelee kukaza tu atakapo legeza atapotea kusiko julikana kama mwenzie p. Didy 😎😎
 
Mnatafuta pa kujifichia enyi wayahudi wa Nkwimba....kwaiyo akifa mtu mashuhuri hata afie nyumbani mtasema kalogwa na Israel dah 😂
si ndo kauli zenu kuwa uhuru wa wapalestina umebebwa na wayaudi , mshasahau kuwa walilikataa wenyewe taifa lao
 
Mimi nampenda Netanyahu kwa vile hakurupuki. Anatafuta mbaya wake anapiga mule mule. Mfano Iran ilipopiga Israel, yeye alijua Raisi ndiye kaamrisha. Hivyo amemuadhibu yeye badala ya Kuua Raia wasio na hatia. Ukiona huko Raffah, anatafuta hamas na akijulikana kiongozi wao yupo wapi, anapiga nyumba aliyomo.

Angalia hospital walivyo kuwa hamas wamejificha, aliwakanyaga na kuwazika. Israel wanaendesha vita ya Kisasa na Kiakili!
Jitahidini kua mnajisomea Uongozi wa Iran Rais ni kama pambo kwa uendeshaji wao wa nchi
 
Nitamkumbusha kuwa siku zote kwenye ukweli uongo hua unatabia ya kujitenga because you can fool peoples for sometimes but not all the times.
 
Ajiandaa kupelekwa Mahakama ya kimataifa kwa mauwaji ya kimbari
 
Back
Top Bottom