Je, Sokoine alikufa kwa ajali ya gari, Au aliuawa kwa kupigwa risasi 18 kifuani?

Je, Sokoine alikufa kwa ajali ya gari, Au aliuawa kwa kupigwa risasi 18 kifuani?

labda alikuwa hapendi show off
Ukizama sana kwenye falsafa unakuwa mtu wa kupenda knowledge, ideas, vitabu, kuliko kupenda kulimbikiza mali.

Kwa hivyo, kwa mtu kama Nyerere, kupigania uhuru wa nchi ya Tanganyika na kuweka muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, na kujenga Umoja wa Kitifa katika nchi hii ni mafanikio makubwa kuliko utajiri wowote wa mali.

Hebu fikiria hivi. Kuna mamilionea kibao duniani.

Lakini, kuna watu wangapi wameanzisha nchi?
 
Alipigwa mvua 13 lakini akaachiliwa ki binadamu kina Mandela walipochukua nchi miaka ya 1994:

Dube wala hakukaa jela miaka yote hiyo. Mara baada ya kuhukumiwa alirudishwa kwao Afrika Kusini miaka ile ile ya 80 kabla akina Mandela hawajachukua nchi.
 
Ukizama sana kwenye falsafa unakuwa mtu wa kupenda knowledge, ideas, vitabu, kuliko kupenda kulimbikiza mali.

Kwa hivyo, kwa mtu kama Nyerere, kupigania uhuru wa nchi ya Tanganyika na kuweka muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, na kujenga Umoja wa Kitifa katika nchi hii ni mafanikio makubwa kuliko utajiri wowote wa mali.

Hebu fikiria hivi. Kuna mamilionea kibao duniani.

Lakini, kuna watu wangapi wameanzisha nchi?
Nyerere hakuanzisha nchi bali alizaliwa akakuta tayari kuna nchi na ina mipaka yake japo iliwekwa na mabeberu. Aliikuta nchi ambayo tayari lugha ya Kiswahili ilishawaunganisha watu wa makabila mbalimbali. Aliikuta nchi ambayo watu wake hawakuwa na ukabila na wanaoleana. Aliporudi nchini kutoka masomoni Uingereza tayari aliwakuta akina Abdul Sykes na wenzake wameshaanzisha TAA na inafanya vizuri. Hata jina la TANU ni pendekezo la Sykes. Wenzake walimwamini na kumpa uongozi japo aliwageuka baadaye. Mchango wa Mwalimu kwa uhuru wa nchi hii ni mkubwa sana na hatuwezi kuupuuza lakini kuamini eti alianzisha nchi kama unavyosema huo ni upotoshaji.
 
Dube wala hakukaa jela miaka yote hiyo. Mara baada ya kuhukumiwa alirudishwa kwao Afrika Kusini miaka ile ile ya 80 kabla akina Mandela hawajachukua nchi.

13 ni jumla ya mvua alizopigwa. Kuna tofauti ya mvua alizopigwa na alizokaa naamini.

Sidhani angeweza kurudishwa Afrika kusini ya makabiliano, labda japo ya akina Mandela.
 
Kama alipigwa risasi na kabuli lipo ni kufufua kufanya vipimo.
Hii ilishatokea kipindi cha sovient urusi sijui mtawala gani, kifo chake na familia nzima waliuliwa ila mabaki yalikosekana na miaka mbele ilipokuja kugundulika mabaki ya familia moja yalifanyiwa uchunguzi na kuzikwa kwa heshima zote za kijeshi maana alikufa kifo kibaya na familia yake niliangalia mda Mada hii unaweza kunikumbusha.
Alikuwa Tsar Nicholaus Alexander na familia yake waliuawa na Bolsheviks baada ya kuchukua nchi baada ya mapinduzi ya Oktoba 1917. Waliuawa kinyama sana na washenzi wale.
 
Mkuu hizo nukuu hazijawekewa rejea vyanzo vyake watu wakathibitishe ukweli wake.
 
Nyerere hakuanzisha nchi bali alizaliwa akakuta tayari kuna nchi na ina mipaka yake japo iliwekwa na mabeberu. Aliikuta nchi ambayo tayari lugha ya Kiswahili ilishawaunganisha watu wa makabila mbalimbali. Aliikuta nchi ambayo watu wake hawakuwa na ukabila na wanaoleana. Aliporudi nchini kutoka masomoni Uingereza tayari aliwakuta akina Abdul Sykes na wenzake wameshaanzisha TAA na inafanya vizuri. Hata jina la TANU ni pendekezo la Sykes. Wenzake walimwamini na kumpa uongozi japo aliwageuka baadaye. Mchango wa Mwalimu kwa uhuru wa nchi hii ni mkubwa sana na hatuwezi kuupuuza lakini kuamini eti alianzisha nchi kama unavyosema huo ni upotoshaji.

Unasema Nyerere hakuanzisha nchi, aliikuta nchi.

Nchi gani?

Nyerere alizaliwa 1922.

Mwaka 1922 kulikuwa na nchi inaitwa Tanzania?
 
Unasema Nyerere hakuanzisha nchi, aliikuta nchi.

Nchi gani?

Nyerere alizaliwa 1922.

Mwaka 1922 kulikuwa na nchi inaitwa Tanzania?
Nyerere aliikuta nchi inaitwa Tanganyika na alikuta imeshaanzishwa. Na hii Tanzania hakuanzisha bali alibadilisha tu jina yeye na Karume baada ya kuunganisha nchi zao. Mtu anaanzisha kitu ambacho hakikuwepo sasa Tanganyika ilikuwepo na Zanzibar ilikuwepo yeye kaanzisha nini hapo?
 
Nyerere aliikuta nchi inaitwa Tanganyika na alikuta imeshaanzishwa. Na hii Tanzania hakuanzisha bali alibadilisha tu jina yeye na Karume baada ya kuunganisha nchi zao. Mtu anaanzisha kitu ambacho hakikuwepo sasa Tanganyika ilikuwepo na Zanzibar ilikuwepo yeye kaanzisha nini hapo?
Nyerere hakuanzisha nchi inayoitwa Tanzania, kwa kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar, na kutengeneza Muungano wa Tanzania, pamoja na Karume?

Unasema mtu anaanzisha kitu ambacho hakikuwepo. Na Nyerere kaikuta nchi inaitwa Tanganyika.

Tanzania ilikuwepo kabla ya Muungano wa 1964?

Nyerere aliikuta nchi inayoitwa Tanzania alivyozaliwa 1922?

Unaelewa hata unachoandika mwenyewe?
 
"Ikumbukwe kwamba wakati anaondoka kwenda Dodoma Marehemu Sokoine alisema maneo ya mwisho yafuatayo:Nikimaliza kuwatumbua majipu mawaziri wangu, basi napanda juu nikamtumbue majipu Mwalimu Nyerere kwa vile anaonekana siyo msafi"
Twende bungeni ... Kama hayo yalisemwa kweli na sokoine. Hilo la kumtumbua nyerere ni uongo halikusemwa. Nakumbuka vema niliisikia hotuba hiyo sokoine akihutubia bunge.
 
Sitaki uchunguzi wowote wa wataalamu saba wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani; nawataka wachunguzi hao waondoke nchini mwangu mara moja kwa vile nilishawaambia watanzania kwamba Sokoine amekufa kwa ajali ya gari na wameshaamini; sasa wakifanya uchunguzi na wakaja na taarifa tofauti zinazoonyesha kwamba Sokoine hakufa kwa ajali ya gari, bali ameuwawa nitawaambia nini watanzania” haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere.
Kuna reference yoyote kupata hizi direct quotations? Maana umeandika kma vile ni fact sio speculation au hearsay.
 
Nimesikitika sana, Nyerere, mtu aliyeweza kutuibia alivyotaka kama Mobutu alivyoiba Congo, lakini kwa uadilifu mkubwa akaishi maisha simple tu, kwa muktadha wa kiongozi wa taifa, leo hii amekuja kusingiziwa wizi kijinga hivi.

Nyerere ana makosa mengi, kifalsafa, kisiasa, lakini hili la wizi bado sijaliona.

Alipofariki Nyerere, alikuja Mama Gracia Machel, mke wake Mandela, mwanzo kabisa, akitaka kuwa karibu na mjane Mama Maria Nyerere msibani.

Basi yule Mama akapelekwa Msasani kwa Nyerere.

Alipofika Msasani, alivyopaona pako simple vile, na jina la Nyerere alivyolijua limevuma dunia nzima miaka na miaka kwamba Nyerere ni bonge la giant katika siasa za dunia, yule Mama akaona bila shaka hapa si kwa Nyerere, hii ni government guest house tu nimeletwa kupumzika kabla ya kufika kwa Nyerere.

Mama Gracia Machel akasema jamani nipelekeni kwa Nyerere nataka kufika mara moja nikae na Mama Maria, msinicheleweshe.

Watu wakamwambia Mama mbona umeshafika kwa Nyerere ndiyo hapa.

Yule Mama alivyopaona pako simple ilikuwa kama hajaamini hapo ndiyo kwa Nyerere.

Nyumba ya Butiama ya Nyerere aliyojengewa na jeshi ndani kuna viti vya plastiki. Vile viti wanavyoweka watu kukalia nje kwenye bar kunywa pombe, viko ndani Wazanaki wanakalia. Kama vile si nyumbani kwa rais.

Sasa mtu kama huyo aibe hela afanyie nini?
Shukrani sana mkuu
 
"Ikumbukwe kwamba wakati anaondoka kwenda Dodoma Marehemu Sokoine alisema maneo ya mwisho yafuatayo:Nikimaliza kuwatumbua majipu mawaziri wangu, basi napanda juu nikamtumbue majipu Mwalimu Nyerere kwa vile anaonekana siyo msafi"
Huu utakuwa ushuzi kama mashuzi mengine tu
 
“Of course I found 18 bullets in his chest when I was doing postmortem” haya ni maneno yalitamkwa kwenye Bar moja jijini Dar es Salaam na Dr. Shaba (surgeon) daktari bingwa wa maswala ya upasuaji;

A single bullet is enough to totally eliminate the intented target!
Kwanza ni wazi muandishi hamfahamu vyema Shaba. Prof. Shaba alikuwa pathologist (bingwa wa kupasua maiti) na siyo surgeon.
Pili ni kweli Prof. alikuwa mnywaji mzuri lakini alikuwa na weledi na maadili ya hali ya juu sana. Baada ya ajali hii Prof alikuja kikazi kwenye taasisi yetu. Akiwa na rafiki yake kipenzi Prof alikataa kata kata kujibu swali lolote kuhusu ajali hiyo hata pale alipokiwa ameutwika sawa sawa na tulikuwa nae kwa takribani wiki moja. Na kila siku tulipiga maji nae kwenye club ya taasisi. Hivyo simuoni Prof akiyasema hayo ya risasi 18.
 
Naweza kuamini kwa sababu Kambarage alikuwa hana pesa ya kulipa mishahara ,na alikuwa hataki mikopo worldbank na Imf
 
Back
Top Bottom