Je, supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya Mbagala ina usalama kiafya?

Je, supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya Mbagala ina usalama kiafya?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Je supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya

Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandama ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa

Wadau je kiafya kuna Usalama?

Karibuni tujadili
 
Ngombe Hana kiungo chochote ambacho ni sumu. Kula ngozi kwa afya yako. Tena ngozi ukichemshwa inavimba na kutengeneza layer nzuri Sana na hata unapotafuna unatoa sauti Bora sana
Hivi haya makongoro na mikia si tunakula na ngozi pia?

Kuna wanaokula utumbo wa nguruwe, na wa kuku broiler,

Mjini hakitupwi kitu, pia tumbo halioneshi umekula nini, aliekula biriani na aliekula magimbi hawezi kuwatambua
 
Back
Top Bottom