Je, supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya Mbagala ina usalama kiafya?

Je, supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya Mbagala ina usalama kiafya?

Je supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya


Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandana ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa

Wadau je kiafya kuna Usalama?

Karibuni tujadili
Ushawahi kunywa na ukapata shida yeyote?
 
Hivi haya makongoro na mikia si tunakula na ngozi pia?
Kuna wanaokula utumbo wa nguruwe, na wa kuku broiler,
Mjini hakitupwi kitu, pia tumbo halioneshi umekula nini, aliekula biriani na aliekula magimbi hawezi kuwatambua
Katika vyakula visivyo na hadhi lakini ninavipenda sana ni miguu ya kuku broiller mkuu.

Starehe yake ni kama unapiga mswaki kwa chumvi.

Naweza maliza sinia zima muuza asipowahi kuondoka.
 
1002017532.jpg
 
Back
Top Bottom