Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia apewe pongezi kwa kutuwezesha watz kuachana na steak na kuanza kula supu ya ngozi na makwasukwasu.... n sag..ji la taifa lijenge sanamuJe supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandana ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa
Wadau je kiafya kuna Usalama?
Karibuni tujadili
Samahani mkuu sijui dini yako ila kama wewe ni mkristo Kuna iyo inaitwa kitimoto chafu!Smart gin lazima idunde😊
Inawekana sababu ikawa umaskini, lakini tujiulize, Wachina ni maskini, maana waoYote hiyo ni dalili za umaskini uliotopea! Dar watu wanakula mpaka mavi ya kuku nasikia siku hizi kwenye kuku hakuna kinachotupwa! Wakati sisi tunakua mama alitufundisha kukatakata kuku mapafu, utumbo, bandama vyote tulikuwa tunatupa! Sasa nyie watu wa Dar mnanishangaza sana vyote hivyo siku hizi mnakula!
Tunamshukuru mama kutuletea supu ya ngozi ya ng'ombe, #mi5 tenaJe supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandana ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa
Wadau je kiafya kuna Usalama?
Karibuni tujadili
Kwa Taarifa yako hicho unachokilna kibaya au dunia ndio kina madiniHiyo yote ni maisha magumu. Utumbo wa kuku, miguu na kichwa Dar wanakula wakati mimi vyote hivyo natupa au nachimbia chooni
Tofautisha yote hayo na hiki kinachotokea sasa hivi! Utamaduni wa Mtanzania tangu kale hali ngozi ya ng'ombe kwa nini iwe sasa hivi?Inawekana sababu ikawa umaskini, lakini tujiulize, Wachina ni maskini, maana wao
Mbwa aliwa sawasawa, nyoka aina ya kifutu hapishwi, kwa Wenyeji wa Zanzibar, ni mashahidi, kipindi fulani Walikua wanunua paka kwa ajiri ya kufanya kitoeo.
Kule Singida walianzisha kiwanda kilichokua kinasindika soseji za punda.
Tanzania hatuli paka, mbwa, na nyoka, ispokua miguu na ngozi ya ng'ombe mnyama anaeliwa Duniani kote, na ukija kwetu, tunang'ombe wengi, ila tunakula damu yake, na mavi tunatengenezea kitu kinaitwa kichuri.
Mtwara niliitwa mshamba kwasababu nilikataa kula panya.Kwa Taarifa yako hicho unachokilna kibaya au dunia ndio kina madini
Siifahamu mkuu 😊 japo nakulaga chair 🔥Samahani mkuu sijui dini yako ila kama wewe ni mkristo Kuna iyo inaitwa kitimoto chafu!
Unaijua?
Niliinywa 2022 zina michanga balaa.
Sema watu wa Dar aisee! Ngozi hua ni chakula cha mbwa mvivu asiyebweka au kuwinda kwa huku kwetu Simiyu
Kwa dar kilisicholiwa ni manyoya tu! Lakini ngozi,utumbo,filigisi,kichwa,kwato,kucha,mifupa vinaliwa tu.
We jamaaa na kuvimba kooote kumbe Msukuma?? Tena wa SIMIYU??Niliinywa 2022 zina michanga balaa.
Sema watu wa Dar aisee! Ngozi hua ni chakula cha mbwa mvivu asiyebweka au kuwinda kwa huku kwetu Simiyu
Dar mnakula mpaka pembe??Kwa dar kilisicholiwa ni manyoya tu! Lakini ngozi,utumbo,filigisi,kichwa,kwato,kucha,mifupa vinaliwa tu.
Itakua labda wanazichemsha wanapata supu ya pembe🤣Dar mnakula mpaka pembe??
Jf kuna mambo!!!
Kwani sisi wasukuma wa simiyu sio watu?We jamaaa na kuvimba kooote kumbe Msukuma?? Tena wa SIMIYU??
Jf kuna mambo
Jf kuna mtifuanoItakua labda wanazichemsha wanapata supu ya pembe[emoji1787]
Bora akina Fid QKwani sisi wasukuma wa simiyu sio watu?
Kweli kabisa aisee.Maisha magumu sana ikiendelea hivi si kuna siku watachemsha kiatu cha ngozi watoe supu.