Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina vyakula wanavyo kula siyo vipya ni jadi yao .. hapa tz tunakula vyakula vipya kuliwa mfano makwasu kwasu na supu ya ngozi....kuna tofauti hapoInawekana sababu ikawa umaskini, lakini tujiulize, Wachina ni maskini, maana wao
Mbwa aliwa sawasawa, nyoka aina ya kifutu hapishwi, kwa Wenyeji wa Zanzibar, ni mashahidi, kipindi fulani Walikua wanunua paka kwa ajiri ya kufanya kitoeo.
Kule Singida walianzisha kiwanda kilichokua kinasindika soseji za punda.
Tanzania hatuli paka, mbwa, na nyoka, ispokua miguu na ngozi ya ng'ombe mnyama anaeliwa Duniani kote, na ukija kwetu, tunang'ombe wengi, ila tunakula damu yake, na mavi tunatengenezea kitu kinaitwa kichuri.
Ishi kulingana na mazingira na uhalisia wa vitu vinavyokuzunguka! ... As long as haidhuru afya yako!Je supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandama ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa
Wadau je kiafya kuna Usalama?
Karibuni tujadili
Unanikumbusha miaka flani ya nyuma somalia walikua wanachemsha yebo yebo wanachanganya na ndala wanakulaMaisha magumu sana ikiendelea hivi si kuna siku watachemsha kiatu cha ngozi watoe supu.
Kuna mfilipino alinicheka sana nilipomwambia kuwa kwetu hatuli ngozi,wala mapafu ya ngombe,aisee,akaniambia kuwa kwao wanatafuna kila kitu cha mnyama,yaani wakati ngombe anachinjwa kuna watu zaidi ya kumi wanaisubiria ngozi tu,na kuna namna ya kuipika,siyo kuchemsha tu na maji na chumvi, anasema ukibahatika kula ngozi iliyopikwa kifilipino hutatamani steki wala maini tena,ngozi inawekwa viungo hadi unaisahau,ila kuna hii inachemshwa na kimario hapa jirani,sinywi, hata kwa bunduki.Inawekana sababu ikawa umaskini, lakini tujiulize, Wachina ni maskini, maana wao
Mbwa aliwa sawasawa, nyoka aina ya kifutu hapishwi, kwa Wenyeji wa Zanzibar, ni mashahidi, kipindi fulani Walikua wanunua paka kwa ajiri ya kufanya kitoeo.
Kule Singida walianzisha kiwanda kilichokua kinasindika soseji za punda.
Tanzania hatuli paka, mbwa, na nyoka, ispokua miguu na ngozi ya ng'ombe mnyama anaeliwa Duniani kote, na ukija kwetu, tunang'ombe wengi, ila tunakula damu yake, na mavi tunatengenezea kitu kinaitwa kichuri.
Ni watu sana ng'wanangwa! Akamwulize dadake Mwajuma tunavyomfanya!Kwani sisi wasukuma wa simiyu sio watu?
Wamechelewa sana kuanza kutumia hiyo bidhaa. Nigeria wanakula ngozi kitambo sana.Je supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandama ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa
Wadau je kiafya kuna Usalama?
Karibuni tujadili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kunywa hujalazimishwa ukute unanunua kandoro ya mia mia tena hujui inatokea maji ya kigogo yale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Dar ni pagumu Sana. Usiwaone watu wanakuwa weupe Ni kunywa maji mengi
tu. Ila Kwa msosi wengi ni mlo mmoja
😂Maisha magumu sana ikiendelea hivi si kuna siku watachemsha kiatu cha ngozi watoe supu.
Harufu inatoka wapi?? Ni chakura kikubwa hicho Nigeria na Ghana.. supermarket maduka yao hata Europe zipo na wanauza..kujifanya msafi na kukandia jamii unayohisi ipo chini ndio shida ya wabongo.Ile harufu sijui sijui wanakunywa je wale watu
Walikukomeshaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku mida ya jioni nikajisemea leo nibadili ratiba ya pweza, nikala hiyo supu ya ngozi, sijawahi kuumwa tumbo na kukesha chooni kwa kiasi kile. Nilikoma
Sitokaa nirudie 😂Walikukomeshaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku mida ya jioni nikajisemea leo nibadili ratiba ya pweza, nikala hiyo supu ya ngozi, sijawahi kuumwa tumbo na kukesha chooni kwa kiasi kile. Nilikl. Labda ilikuwa imeoza