Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mahali uko mbishe zako muda wa kupika au kupikiwa uko wapi?Ukitaka chakula cha afya pika kwako lakini hivi vyote vya nje maradhi matupu .
Yote hiyo ni dalili za umaskini uliotopea! Dar watu wanakula mpaka mavi ya kuku nasikia siku hizi kwenye kuku hakuna kinachotupwa! Wakati sisi tunakua mama alitufundisha kukatakata kuku mapafu, utumbo, bandama vyote tulikuwa tunatupa! Sasa nyie watu wa Dar mnanishangaza sana vyote hivyo siku hizi mnakula!Je supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandana ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa
Wadau je kiafya kuna Usalama?
Karibuni tujadili
Ila Dar ni pagumu Sana. Usiwaone watu wanakuwa weupe Ni kunywa maji mengiJe supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandana ambayo hupelekea rangi yake kuwa nyeusi ni maarufu maeneo tajwa
Wadau je kiafya kuna Usalama?
Karibuni tujadili
Hapana aisee maini yana madawa mengi na ndio maana sio msosi wa kula kabisa kama we timamuTanzania watu wanadeka sababu ya uwepo wa mifugo mingi ila kwenye ng'ombe kitu ambacho si salama sana ni stake vingine vyote salama
😊😊mbupu za mbuzi na ng'ombe Ila watu wana kula mpa miguu ya nguruweNdo maana nimesema wengi wao, kwenye misosi ni wanakula kila kitu.
😂😂Ila Dar ni pagumu Sana. Usiwaone watu wanakuwa weupe Ni kunywa maji mengi
tu. Ila Kwa msosi wengi ni mlo mmoja
Ndo maana nimesema wengi wao, kwenye misosi ni wanakula kila kitu.
Kuna ingine inaleweshaMbege ni nzuri ukinywa kiaskari!!
Ukiingia Serena hotel ukioda magimbiutawatambua kwa ngozi zao tu huwezi ukala magimbi ukatamba mjini
Dagaa wenyewe weusi, uKwa suala la chakula Dar iko nyuma sana. Watu wanakula vitu vya hovyo mno. Nilipofika Dar mara ya kwanza nilishangaa mtu anakula chips kama chakula cha jioni akalale. Kuna msosi wao maarufu sana wanaita dagaa mchele. Ukitoka Dar ukaenda Moshi utaona tofauti kubwa sana kwenye msosi.
Kwa suala la chakula Dar iko nyuma sana. Watu wanakula vitu vya hovyo mno. Nilipofika Dar mara ya kwanza nilishangaa mtu anakula chips kama chakula cha jioni akalaleHuwa wanfuata hiyohiyo harufu,ushawahi Kula samaki ngonda au nguru?Ile harufu sijui sijui wanakunywa je wale watuutawatambua kwa ngozi zao tu huwezi ukala magimbi ukatamba mjini
Inabidi ule nje tu. Ndio maana nimesema vyakula vya nje havina afya kwasababu kila mlaji huwa na maradhi yake. Sasa ana presha chumvi nyingi maradhi hayo.Kuna mahali uko mbishe zako muda wa kupika au kupikiwa uko wapi?
Binadam wote tuna makosa mengi sana kwenye mfumo wa maisha mengine kwa kujua na mengine kwa kutokujua suala la utimamu au la labda nikupongeze kwa kuwa timamu mkuuHapana aisee maini yana madawa mengi na ndio maana sio msosi wa kula kabisa kama we timamu
Usifuatilie mambo yao mkuu, hao wakimaliza wanaenda kutandika smart ginKuna sehemu wanauza kongoro la kitimoto..
Na supu haikai balaaa
yote hayana tofauti wote mnakula marehem kuku 🤣 au maiti ya kuku😁Yote hiyo ni dalili za umaskini uliotopea! Dar watu wanakula mpaka mavi ya kuku nasikia siku hizi kwenye kuku hakuna kinachotupwa! Wakati sisi tunakua mama alitufundisha kukatakata kuku mapafu, utumbo, bandama vyote tulikuwa tunatupa! Sasa nyie watu wa Dar mnanishangaza sana vyote hivyo siku hizi mnakula!
Hiyo yote ni maisha magumu. Utumbo wa kuku, miguu na kichwa Dar wanakula wakati mimi vyote hivyo natupa au nachimbia chooniNgombe Hana kiungo chochote ambacho ni sumu. Kula ngozi kwa afya yako. Tena ngozi ukichemshwa inavimba na kutengeneza layer nzuri Sana na hata unapotafuna unatoa sauti Bora sana
Kama safari boot ukisahau nje, ikinyeshewa mbwa wanapita nayo,Maisha magumu sana ikiendelea hivi si kuna siku watachemsha kiatu cha ngozi watoe supu.
Smart gin lazima idunde😊Usifuatilie mambo yao mkuu, hao wakimaliza wanaenda kutandika smart gin