Je System imeamua kumu expose Samia?


Ndomana kuna kitu kamanda Mobeyo enzi za uongozi wake alitaka kuongea ila akakausha tu.
 
Muongo sana wew!! Kwani mtoto wa Rais katajwa na system au huyo bwana wako anayeitwa Lissu? Hivi wew ulimjuwaje Abdul kama si kiherehere cha Lissu?! Au system uloikusudia ni Lissu??
 
Kwanini hawakuiacha Jeshi lichukuwe nchi? JWTZ inaheshimiwa na wananchi wote. Saa hii tungekuwa tumenyooshwa na kuwa na nidhamu. Na uchawa usingekuwepo. Uchawa ni dhambi!
 
Huyu mtekaji hana mvuto tena. Tunataka Magufuli wa pili ambaye ni Lissu
 
We ndio Abdul😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…