Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Kwanza hiyo system haimtaki Toka aliporithi.system ilitaka kupindisha katiba ili huyu asirithi maana mafaili yake yalionesha huyu hakuna kitu hadi jeshi wakatishia kuichukua Nchi Kwa mtutu ndiyo ponapona yake.Kwa yanayotokea Kwa Sasa nchini kwetu inaonesha kabisa system waliona mbali mita 200 na walikuwa sahihi 100%
Ndomana kuna kitu kamanda Mobeyo enzi za uongozi wake alitaka kuongea ila akakausha tu.