Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imeamua kumu expose Samia?

Kwa yanayoendelea kuhusu kutajwa moja kwa moja mtoto wa Rais kuhonga wanasiasa wanaoonekana kuleta ushindani kisiasa dhidi ya Rais (Mama yake) swali kuu tunalopaswa kujiuliza ni;

Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imemchoka Samia?

Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa System ina njia nyingi sana za kufanya kazi:

Kwanza wanaweza kukuletea taarifa na ushauri tu! Endapo wakiona husikilizi ushauri watatumia watu wako wa karibu kukushauri! Na endapo utazidi kukaza shingo basi wata ku expose ili umma ujue mambo yako na uwe kwenye wakati mgumu.

Kwa wanaoangalia siasa kwa jicho la kawaida hawawezi ona maana halisi ya mabishano ya Lissu na Wenje huku akitajwa moja kwa moja mtoto wa Rais.

Kwa tunaoangalia siasa kwa macho yote ya ndani na nje hii ni alert kubwa sana kwa Samia maana inaonekana sasa ameanza kuchokwa na dola.

Sio hivyo tu ni ishara kuwa hata CCM wameanza kuchokwa na dola.


Tuzidi kuomba haya yazidi kuendelea maana kupitia haya inawezekana Tanzania ikaja kupata ukombozi wa kweli.
Boss mama anachukua kiti tena,asali tamu pale,dodo lilidondoka yeye ameokota pigeni kelele weeeee ila kiti nichake maybe mwenyewe akatae lkn asali ni tamu sana
 
Sio lazima uelewe. Kama hujaelewa piga kimya tu
Wabongo mnapenda sana story za kufkirika story za kahawa,.kwaio unataka kutuambia bwana system kachoka kabisa au cyo ndugu lord,bwana system anataka kinuke tu aingie mbowe ikulu ili lema awe waziri wa mambo ya ndani wakose wote ndugu yetu stystem na ccm.
 
Kwa yanayoendelea kuhusu kutajwa moja kwa moja mtoto wa Rais kuhonga wanasiasa wanaoonekana kuleta ushindani kisiasa dhidi ya Rais (Mama yake) swali kuu tunalopaswa kujiuliza ni;

Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imemchoka Samia?

Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa System ina njia nyingi sana za kufanya kazi:

Kwanza wanaweza kukuletea taarifa na ushauri tu! Endapo wakiona husikilizi ushauri watatumia watu wako wa karibu kukushauri! Na endapo utazidi kukaza shingo basi wata ku expose ili umma ujue mambo yako na uwe kwenye wakati mgumu.

Kwa wanaoangalia siasa kwa jicho la kawaida hawawezi ona maana halisi ya mabishano ya Lissu na Wenje huku akitajwa moja kwa moja mtoto wa Rais.

Kwa tunaoangalia siasa kwa macho yote ya ndani na nje hii ni alert kubwa sana kwa Samia maana inaonekana sasa ameanza kuchokwa na dola.

Sio hivyo tu ni ishara kuwa hata CCM wameanza kuchokwa na dola.


Tuzidi kuomba haya yazidi kuendelea maana kupitia haya inawezekana Tanzania ikaja kupata ukombozi wa kweli.
kuraruana kwa kwa mambo ya kizushi na uongo, miongoni mwa viongozi waandamizi wa Chadema Taifa, huku wakihusisha mwanafamilia wa rais,

kwa wakati huu na kwasasa hivi, hakuna athari zozote za kisiasa dhidi ya familia husika, chama tawala na serikali yake sikivu, lakini pia hakuna athari zozote kwa Taifa katika ujumla wake..

hata hivyo,
vyombo husika viko chonjo kufuatilia mambo haya, na kwa wakati muafaka ikibainika kuna uchochezi wenye athari, basi hatua muhimu za kisheria zitachukuliwa bila mbambamba yoyote 🐒
 
CCM kuchokwa na dola? Ikichokwa mbona itaangushwa asubuhi tu kwenye sanduku la kura kunako uchaguzi mkuu. Halafu hii imekaaje Lissu kupewa coverage kubwa na media za dola kule kukusudia tu kugombea uenyekiti wa CHADEMA kwa kiasi kile, au ndio system imeamua kuachana na CCM na kuwa na CHADEMA chini ya Lissu?
 
CCM kuchokwa na dola? Ikichokwa mbona itaangushwa asubuhi tu kwenye sanduku la kura kunako uchaguzi mkuu. Halafu hii imekaaje Lissu kupewa coverage kubwa na media za dola kule kukusudia tu kugombea uenyekiti wa CHADEMA kwa kiasi kile, au ndio system imeamua kuachana na CCM na kuwa na CHADEMA chini ya Lissu?
A strong Chadema ni uhakika wa kuwepo Tanzania imara miaka inayokuja.


Mark this comment
 
Wakati wa Jakaya , mwanae Ridhwani alihisishwa na kila aina ya ufisadi uliokuwa unazingumzwa wakati ule. Sioni ajabu kwa Abdu. Ni kawaida kwa binadamu.

Huwezi kumzuia binadamu kusema. Wanamsema Mungu sembuse Mama Samia!
 
Wakati wa Jakaya , mwanae Ridhwani alihisishwa na kila aina ya ufisadi uliokuwa unazingumzwa wakati ule. Sioni ajabu kwa Abdu. Ni kawaida kwa binadamu.

Huwezi kumzuia binadamu kusema. Wanamsema Mungu sembuse Mama Samia!
Kipindi cha kikwete Ridhiwani yalikuwa maneno ya mtaani. Saivi Abdul anatajwa moja kwa moja tena kwa ushahidi. Tofautisha kidogo
 
Kwa yanayoendelea kuhusu kutajwa moja kwa moja mtoto wa Rais kuhonga wanasiasa wanaoonekana kuleta ushindani kisiasa dhidi ya Rais (Mama yake) swali kuu tunalopaswa kujiuliza ni;

Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imemchoka Samia?

Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa System ina njia nyingi sana za kufanya kazi:

Kwanza wanaweza kukuletea taarifa na ushauri tu! Endapo wakiona husikilizi ushauri watatumia watu wako wa karibu kukushauri! Na endapo utazidi kukaza shingo basi wata ku expose ili umma ujue mambo yako na uwe kwenye wakati mgumu.

Kwa wanaoangalia siasa kwa jicho la kawaida hawawezi ona maana halisi ya mabishano ya Lissu na Wenje huku akitajwa moja kwa moja mtoto wa Rais.

Kwa tunaoangalia siasa kwa macho yote ya ndani na nje hii ni alert kubwa sana kwa Samia maana inaonekana sasa ameanza kuchokwa na dola.

Sio hivyo tu ni ishara kuwa hata CCM wameanza kuchokwa na dola.


Tuzidi kuomba haya yazidi kuendelea maana kupitia haya inawezekana Tanzania ikaja kupata ukombozi wa kweli.
Samia mwenyewe ni system tena mkuu wa system. Labda kaamua mwenyewe kumuexpose.
 
Kwanza hiyo system haimtaki Toka aliporithi.system ilitaka kupindisha katiba ili huyu asirithi maana mafaili yake yalionesha huyu hakuna kitu hadi jeshi wakatishia kuichukua Nchi Kwa mtutu ndiyo ponapona yake.Kwa yanayotokea Kwa Sasa nchini kwetu inaonesha kabisa system waliona mbali mita 200 na walikuwa sahihi 100%
hivi system unayoiongelea ni ipi? ina nguvu kuliko ma system ya ulaya? huko ulaya wamemuidhinisha katika wanawake 100 wenye nguvu zakiutawala na ushawishi duniani huoni kuwa MAMA yupo vizuri? sasa hiyo system yako unayoisema itakuwa ya vijiwe vya kahawa chini ya miti
 
Back
Top Bottom