nakuunga mguu mkuu haiwezekani ndege ianguke halafu isitangazwe hata kipindi cha yule dikteta wa mortuary wasingefanya hiviTukio la ndege kuanguka sio issue ndogo BBC, Al Jazeera, CNN, Reuters, France 24 wangekuwa washa rusha breaking news hapa chap kwa haraka Maana hata tukio la Lori kuwaka Moto pale Morogoro Al Jazeera waliruka nayo fasta within a minutes
Usikute hapo airport ya MWZ wanafanya fire drill Leo Basi ili kuwapa elimu ya majanga ya Moto
Moshi hapa umeme pia tehena
Ujuaji tu! Huna ujualo..Hizi ndege za magufuli zina kasoro nyingi sana nadhani hii ajali iwe ni alarm kwa mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hizi korokoro halafu kwa nini ile ya chief hiyanga haianguki
Hata kunu kariakoo tehena kintu[emoji23][emoji23]Tehena Nkintu
😄😃😀😁😅😂Hata kunu kariakoo tehena kintu[emoji23][emoji23]
Moshi hapa umeme pia tehena
Kwenye mazoezi wako vizuri lakini kwenye uhalisia wako hovyo kabisa soko linawaka moto wao wako kilomita moja toka kwenye tukio lakini hawana maji, ukiuliza hilo zoezi la leo limegharimu fedha nyingi kuliko gharama ya kuchota maji mto msimbazi bonde la jangwani, hao ndiyo sisiNajiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.
Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
=====
UPDATE ;
======
Ndege za Air Tanzania ziko salama hakuna ajali yoyote.
Ila leo asubuhi, Mamlaka ya viwanja vya ndege Uwanja wa Bukoba waliendesha zoezi la kuonyesha utayari endapo ajali ikitokea. Zoezi hilo ni la kawaida na ufanyika mara kwa mara katika viwanja vingi duniani na ni kati ya taratibu zilizo ndani ya sheria za usafiri wa anga wala halina madhara yoyote.
Poleni kwa taharuki iliyojitokeza.
Wajanja wote wanaishi TBT sahizi utakaa wapi zaidi ya huku?Kumbe na wewe unaishi tabata
Siku nyengine usikimbilie kutoa habari huna hakika nayo,uzushi wako uache pale mtaa wa ufipaMods hawajalala, wewe ndio hujitambui, anza kusoma upya kuanzia page one ndio utajuwa wewe na Mods mjinga nani.
Niwaombe Ndugu zangu mambo kama haya tufanye subira tupate taarifa ya uhakika na ILIYO kamili kutoka SERIKALINI.
Tutajazana uwongo na umbeya na kuwekana khofu bila sababu...TUSUBIRI SEEIKALI ITOE TAARIFA.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mnafikiri ndege ni kama Sauli lianguke kienyeji mkauze chuma chakavu! Ndege iko regulated na international bodies. Ikianguka watakuja watu kutoka hadi Kwa watengenezaji wa ndege sasa utaficha vipi?Tatizo hata iwe ni kweli hawatasema labda ruhusa itoke mawinguni
Aisee!Wajanja wote wanaishi TBT sahizi utakaa wapi zaidi ya huku?
Dar nzima haina umeme?Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.
Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
=====
UPDATE ;
======
Ndege za Air Tanzania ziko salama hakuna ajali yoyote.
Ila leo asubuhi, Mamlaka ya viwanja vya ndege Uwanja wa Bukoba waliendesha zoezi la kuonyesha utayari endapo ajali ikitokea. Zoezi hilo ni la kawaida na ufanyika mara kwa mara katika viwanja vingi duniani na ni kati ya taratibu zilizo ndani ya sheria za usafiri wa anga wala halina madhara yoyote.
Poleni kwa taharuki iliyojitokeza.
Hacha umagufuri nguruwe weweImagine taarifa sensitive kama hii haina uhakika wanaicha tu!
Eff off mofo.Hacha umagufuri nguruwe wewe
Ahaaa mwanangu jumamosi kulikuwa na promoshen hapo small planet ikapiga mvua usiku pombe zote zikatutokaWajanja wote wanaishi TBT sahizi utakaa wapi zaidi ya huku?
Bajaji walipiga sana hela sikuile!Ahaaa mwanangu jumamosi kulikuwa na promoshen hapo small planet ikapiga mvua usiku pombe zote zikatutoka
Sana tuBajaji walipiga sana hela sikuile!
Aina dazSana tu