Je, taarifa ya ndege ya Air Tanzania kuanguka ziwani Victoria ni ya kweli?

Mkuu Mimi Nipo Airport hapa Naondoka na Air Tanzania Kwenda Dar Pako Shwali tu.
 
Hii ni taarifa ya kweli, wageni wangu wapo airport Mwanza walikuwa wapande ndege hiyo kuja nayo Dar.

Wametangaziwa hivyo hapo airport, ni taarifa nisizo na chembe ya shaka nazo.

Sijui kuhusu vifo, naambiwa uowokowaji ziwani unaendelea.
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…