HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
Hapa hakuna kanuni, inategemea, labda itokee tu.
Kuna wanaolelewa kwenye maadili mazuri na baadae wakija kukua wanapinda sana.
Kuna wanaolelewa kwenye maadili mazuri na bado wanapinda ndani ya hayo maadili mazuri wanayoendelea kulelewa.
Kuna waliolelewa bila ya maadili yoyote lakini wakikua wanakuwa na tabia nzuri.
Hili suala la tabia nzuri ni wewe mwenyewe utakavyojiongoza, hakuna mbadala
Kuna wanaolelewa kwenye maadili mazuri na baadae wakija kukua wanapinda sana.
Kuna wanaolelewa kwenye maadili mazuri na bado wanapinda ndani ya hayo maadili mazuri wanayoendelea kulelewa.
Kuna waliolelewa bila ya maadili yoyote lakini wakikua wanakuwa na tabia nzuri.
Hili suala la tabia nzuri ni wewe mwenyewe utakavyojiongoza, hakuna mbadala