Je, TAKUKURU iendelee kumchunguza Zahara Michuzi au iache?

Je, TAKUKURU iendelee kumchunguza Zahara Michuzi au iache?

Hivi CCM haina watu wengine? Kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo?

Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili, hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU, hii ina maana gani kwenye mambo ya Utawala Bora?

Sasa yule DC na TAKUKURU katika hali hii wanajionaje?

=======


Chama chetu hakina taratibu hizo, unao uhuru wa kuwa mpinzani huzuiwi
 
Hivi CCM haina watu wengine? Kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo?

Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili, hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU, hii ina maana gani kwenye mambo ya Utawala Bora?

Sasa yule DC na TAKUKURU katika hali hii wanajionaje?

=======


Huyu zahara michuzi, amefika hapo, kwa vile tu baba yake, Isa michuzi, alikuwa mpiga picha wa ikulu! Alimaliza Udom,2013! Akapewa kazi, serikalini, muda mfupi, akawa DED! Uzoefu wa kazi aliupata wapi? Mambo ya kuteua majina kwa kuletewa tu,
 
Hivi CCM haina watu wengine? Kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo?

Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili, hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU, hii ina maana gani kwenye mambo ya Utawala Bora?

Sasa yule DC na TAKUKURU katika hali hii wanajionaje?

=======


Haoowanabifuyaaaaaaakima...mkuu na dc
Mamaaa akoseagi ndiomaana akuendekeza ujinga
 
Wazalendo tumeanza kuitwa Wachawi !

Hii Nchi ndio basi tena .
Utapata stress bure mkuu. Hii nchi we tafuta nafasi ule wananchi wanawaona wanaotafuna nchi ndio mashujaa na wale wanaojaribu kuzuia no wachawi.
We tafuta nafasi ule achana na mambo ya kuwapigania watanzania. Bado miaka 200 ndipo kizazi chenye akili kitatokea Tanzania
 
Naonaa mna bifu zeenuu nn chinaaaaa
Watuu wanazungukaaa nje kama people
Achenibifuzenubanaaa ombeni na nyie mchaguliwe siokionyesha wivu amtabarikiwa
 
Hii nchi kuja kupata maendeleo itachukua muda sana kama hatutajikomboa toka ukoloni wa hawa wakolini weusi.
Vyeo vya kupeana,mpe mtoto wa fulani,mpe dem wa fulani au dem wako
Vurugu tupu

Ova
 
Hao wanadili na tuhuma ndogo ndogo,karani kala elf 5,ticha kaomba elf 10,wanadili zaidi na masikini.
Mengine utapata pressure Bure kama haupo kwenye mfumo wa ulaji kuwa chawa
 
Back
Top Bottom