Je, Tanzania itaanza lini kutumia barabara za nanotechnology?

Je, Tanzania itaanza lini kutumia barabara za nanotechnology?

Glojos

Member
Joined
Mar 8, 2023
Posts
8
Reaction score
5
Barabara za Nanotechnology zimeanza kutumiwa na nchi nyingi;

1. Inachukua muda mfupi kujenga.
2. Ni environmental friendly (inaweza kujengwa hata Serengeti na mbuga zetu zote).
3. Naamini wataalamu wetu kama Ibra Construction wanazimudu. Maida Waziri alionekana South Africa akizionyesha kwenye exhibition ya Tanzania/ South Africa.
4. Haiwi na potholes na inakuwa intact.
5. Muda wa kujenga ni mfupi mno.
6. Gharama za kujenga ni karibu nusu.

Mshangao wangu ni kwamba inawezekana taarifa hizi, serikali yetu haijapata habari!

Mama yetu mpendwa Rais Samia atupie macho jambo hili kwani litaipeleka nchi yetu mbali sana, na yeye itakuwa ni sifa kubwa kwake.
 
What the hello are you talking about? Barabara za Nano technology ndo kitu gani?
Nano means tiny/very small/almost invisible by naked eyes... how road would be nano?
 
Barabara za Nanotechnology zimeanza kutumiwa na nchi nyingi;

1. Inachukua muda mfupi kujenga.
2. Ni environmental friendly (inaweza kujengwa hata Serengeti na mbuga zetu zote).
3. Naamini wataalamu wetu kama Ibra Construction wanazimudu. Maida Waziri alionekana South Africa akizionyesha kwenye exhibition ya Tanzania/ South Africa.
4. Haiwi na potholes na inakuwa intact.
5. Muda wa kujenga ni mfupi mno.
6. Gharama za kujenga ni karibu nusu.

Mshangao wangu ni kwamba inawezekana taarifa hizi, serikali yetu haijapata habari!

Mama yetu mpendwa Rais Samia atupie macho jambo hili kwani litaipeleka nchi yetu mbali sana, na yeye itakuwa ni sifa kubwa kwake.
Bila picha ni [emoji107][emoji107][emoji107]
 
Utakuta nati imeregea kichwani mwako
 
Barabara zinazotumia nano technology. Ni Technologia inayounganisha udongo wa mahalo husika na kuufanya ngumu kama mwamba Misha kumimina asphalt juu kama lami.
 
Teknolojia ya nano, kwa upande mwingine, inahusu uhandisi na upangaji wa vifaa kwa kiwango cha atomiki na molekuli, kwa kawaida kati ya nanomita 1 hadi 100.

Utafiti huu unajumuisha maendeleo ya vifaa vipya vyenye sifa na matumizi ya kipekee, kama vile nguvu bora, uthabiti, na upinzani zaidi kwa sababu ya mambo ya mazingira kama hali ya hewa na kuvaa kwa trafiki.

Kwa muktadha wa ujenzi wa barabara, teknolojia ya nano inaweza kutumika kukuza vifaa vipya kwa ajili ya lami ambavyo ni imara zaidi, yanadumu zaidi, na yanapambana zaidi na athari za mazingira. Inaweza pia kutumika kuunda sensori za hali ya juu ambazo zinaweza kugundua na kufuatilia hali ya barabara kwa wakati halisi, kusaidia kuboresha usalama na kupunguza gharama za matengenezo.

Teknolojia ya nano, kwa upande mwingine, inahusu uhandisi na upangaji wa vifaa kwa kiwango cha atomiki na molekuli, kwa kawaida kati ya nanomita 1 hadi 100. Utafiti huu unajumuisha maendeleo ya vifaa vipya vyenye sifa na matumizi ya kipekee, kama vile nguvu bora, uthabiti, na upinzani zaidi kwa sababu ya mambo ya mazingira kama hali ya hewa na kuvaa kwa trafiki.

Kwa muktadha wa ujenzi wa barabara, teknolojia ya nano inaweza kutumika kukuza vifaa vipya kwa ajili ya lami ambavyo ni imara zaidi, yanadumu zaidi, na yanapambana zaidi na athari za mazingira. Inaweza pia kutumika kuunda sensori za hali ya juu ambazo zinaweza kugundua na kufuatilia hali ya barabara kwa wakati halisi, kusaidia kuboresha usalama na kupunguza gharama za matengenezo.
 
Bila picha ni [emoji107][emoji107][emoji107]
images (1) (5).jpeg
images (1) (4).jpeg
images (1) (3).jpeg
 
Back
Top Bottom