Mseleleshaji
Member
- Jun 9, 2020
- 96
- 111
Pole unaumia sana.Hawa Wasaliti Wa taifa hili
Wakipata hata 20% watakuwa wameshindaView attachment 1550981
Huyu anahitaji ushauri wa njia mbadala atakayoweza kujikimu ili kuhudumia familia yake.Bwana Paskali, wewe ni kada wa CCM uliyajaribu kuwania ubunge ukagaragazwa katika hatua za awali tu. Pengine hilo tu linatosha kuku-disqualify kumjadili, let alone kumhukumu, kiongozi wa kisiasa kitaifa kama Mbowe. Ni sawa na mwanasoka wa timu ya iliyopigwa knockout kombe la mbuzi kujadili UEFA champions league.
Wewe ni mwanahabari kitaaluma. Unajua bayana jinsi TBC ilivyoihujumu Chadema kwa miaka mitano mfululizo. Najua huwezi kuipongeza Chadema kwa kuwa brutally honest kwa sababu most of you wanahabari wa Tanzania don't have word honesty in your vocabularies, lakini hiyo haizuwii mtu yeyote mwenye akili timamu sio tu kufahamu kwanini Chadema walichukua hatua hiyo bali hata kukipongeza chama hicho kwa kuwa wakweli.
Nasema tena kujenga chama imara sio lelemama. Inatakiwa kujitoa kwa hali na mali kwenye nyanja zote ili kupata rasilimali wanachama wenye nia ya dhati na mali za kujenga na kuboresha chama, imani na muda. Mitandao inasaidia kupashana habari za chama lakini mikutano inasaidia zaidi kuamsha ari, mapenzi kwa chama, umoja na imani kwa chama na Kati ya wanachama
Kwanza natoa hongera kwa Television ya Taifa, TBC kutangaza live uzinduzi huo wa kampeni za Chadema!. Japo matangazo yenyewe ni kwa kukata kata, lakini something is better than nothing!.
Nimetoa pongezi na hongera kwa TBC kutangaza live matangazo ya uzinduzi kampeni za Chadema!, ile tuu TBC kukubali kutangaza live uzinduzi wa Chadema huku unajua kabisa watu wa type yao ni wasemji wa namna gani!, huku Mbowe, huku Lissu, huku Lema, na bado TBC ikakubali kuwapa live, hatua hii pekee, inastahili pongezi.
Paskali
Kaka andiko lako umeliandika kishabiki saana vingenevyo ulikuwa umeanza vizuri. Pengine ungejivua UCCM ungeaandika kitu kizuri saana. Baadhi ya kauli zako tata zilizokuponza ni hizi "huku unajua kabisa watu wa type yao ni wasemji wa namna gani!, huku Mbowe, huku Lissu, huku Lema, na bado TBC ikakubali kuwapa live, hatua hii pekee, inastahili pongezi." Hao woote uliowataja sijawahi kuwasikia wakisema "nani anataka kupanuliwa" au "barakoha ni kama sidiria za wanawake|", au misemo ya kejeuri kama ya akina msukuma , Ndugai na Lusinde..lakina bado hukuwahi kuwalaumu TBC kwa hilo. Labda kukusaidia jambo ambalo nadhani unatakiwa kuwa unalifahamu kama mwandishi nguli wa habari ni kwamba TBC hawana tena "impact" au mvuto kwenye tasnia ya habari nchii hii hivyo kauli yako ya kwamba Chadema kupoteza fursa waliopewa na TBC haina mashiko pengine sana sana wangekuwa AZAM TV hapo kidogo ungesema kuna tatizo kwani hata hiyo kesho kwenye ufunguzi wa kampenii za CCM zaidi ya asilimia 95% ya watanzania watakuwa wanaangalia AZAM TV na sio TBCCM.Wanabodi,
Kipenga cha kuanza kwa kampeni za Uchanguzi Mkuu ujao kimepulizwa leo na fungua dimba amekuwa Chadema.
Nimeangalia kidogo kupitia live ya TBC, kiukweli nilichoshuhudia, ndicho kimenipelekea mimi kuanzisha huu uzi ambao ni swali.
Jee Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani?, au upinzani wetu hapa Tanzania ni bado sana?.
Nimeuliza hivi kufuatia nilichokishuhudia leo, kwenye uzinduzi kampeni za Chadema, pale uwanja wa Mbagala Zakhem, kiukweli ...
kwa vile na mimi siku hizi ni kada, kuna vitu naomba nisiviseme nikaonekana ni kupiga siasa!.
Kwanza natoa hongera kwa Television ya Taifa, TBC kutangaza live uzinduzi huo wa kampeni za Chadema!. Japo matangazo yenyewe ni kwa kukata kata, lakini something is better than nothing!.
Jee kitendo alichofanya M/Kiti Mbowe, kuwafukuza live TBC, huku wakiwa live ni sawa?!.
Nimetoa pongezi na hongera kwa TBC kutangaza live matangazo ya uzinduzi kampeni za Chadema!, ile tuu TBC kukubali kutangaza live uzinduzi wa Chadema huku unajua kabisa watu wa type yao ni wasemji wa namna gani!, huku Mbowe, huku Lissu, huku Lema, na bado TBC ikakubali kuwapa live, hatua hii pekee, inastahili pongezi.
Lakini Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Mbowe aliposimama kuzungumza, aliwafukuza live TBC huku wakiwa live hewani!. Kitendo alichofanya Mwenyekiti Mbowe, cha kuwafukuza TBC, sio sawa, it is not right, hajaitendea haki TBC, hajaitendea haki media, hajaitendea haki Chadema, hajawatendea haki Watanzania kukosa kusikia sera za Chadema.
Hasira za Mkizi kwenye siasa, kiukweli kabisa hazisaidii kitu!.
Wakati Mhe Mbowe anasema TBC wamekata matangazo, TBC ilikuwa iko live wakati Mhe. Mbowe akitangaza kuwafukuza na kuwasingizia kuwa TBC wamekata matangazo, ilikuwa sii kweli kwasababu TBC walikuwa live kabisa na hawajakata matangazo!, kitendo cha Mwenyekiti Mbowe kuwafukuza TBC na kuwaambia TBC waondoke, sio kitendo cha kistaarabu, hakikubaliki, vyama vya habari tusilinyamazie hili, Mhe. Mbowe akemewe, Chadema ikemewe, na TBC ipongezwe kwa kujaribu.
Kitu ambacho ni kweli nilikiona ni TBC kuwa na kibarua kigumu cha kufanya censorship matamshi yoyote hatarishi na ya kichochezi. Sii wengi wanajua kuwa kwenye matangazo ya live, mtu ambaye yuko responsible na kinachorushwa hewani, sio yule msemaji, bali ni mrusha matangazo, yaani TBC, hivyo mwanasiasa anapoibuka na kutoa kauli za kiajabu ajabu, ambazo ni za uchochezi au kuhatarisha amani, utulivu na mshikamano wetu, then TBC wanakuwa hawana jinsi zaidi ya kufanya censorship, ndio maana matangazo yalikuwa yanakatwa katwa na kurudishwa studio.
NB. Ikitokea Chadema ikashindwa kwenye uchaguzi, isilalamike kuwa CCM imebebwa na TBC ndio maana ikashinda, Chadema wamepewa fursa ya kuitumia TBC, Chadema wenyewe ndio wamekataa na kuwafukuza TBC, hivyo sasa wanategemea nini?.
Hizi ni Hasira za Mkizi!.
Ndio maana nimeuliza, kama upinzani wenyewe ndio huu tuliouona kwa Chadema, halafu hawa ndio watu wanaotaka Watanzania tuwape Ikulu yetu watutawale, kama hata kujitawala wenyewe tuu ni issue, hili la kuwapa nchi, itakuwaje?.
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili, jee Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani na wenyewe kutawala nchi yetu?, au upinzani wetu hapa Tanzania kiukweli kabisa ni bado sana?.
Paskali
kama upinzani ni mediocre kihivyo kama unavyosema, kwa nini CCM inaogopa kwenda kushindana nao kwenye ballot box?Wanabodi,
Kipenga cha kuanza kwa kampeni za Uchanguzi Mkuu ujao kimepulizwa leo na fungua dimba amekuwa Chadema.
Nimeangalia kidogo kupitia live ya TBC, kiukweli nilichoshuhudia, ndicho kimenipelekea mimi kuanzisha huu uzi ambao ni swali.
Jee Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani?, au upinzani wetu hapa Tanzania ni bado sana?.
Nimeuliza hivi kufuatia nilichokishuhudia leo, kwenye uzinduzi kampeni za Chadema, pale uwanja wa Mbagala Zakhem, kiukweli ...
kwa vile na mimi siku hizi ni kada, kuna vitu naomba nisiviseme nikaonekana ni kupiga siasa!.
Kwanza natoa hongera kwa Television ya Taifa, TBC kutangaza live uzinduzi huo wa kampeni za Chadema!. Japo matangazo yenyewe ni kwa kukata kata, lakini something is better than nothing!.
Jee kitendo alichofanya M/Kiti Mbowe, kuwafukuza live TBC, huku wakiwa live ni sawa?!.
Nimetoa pongezi na hongera kwa TBC kutangaza live matangazo ya uzinduzi kampeni za Chadema!, ile tuu TBC kukubali kutangaza live uzinduzi wa Chadema huku unajua kabisa watu wa type yao ni wasemji wa namna gani!, huku Mbowe, huku Lissu, huku Lema, na bado TBC ikakubali kuwapa live, hatua hii pekee, inastahili pongezi.
Lakini Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Mbowe aliposimama kuzungumza, aliwafukuza live TBC huku wakiwa live hewani!. Kitendo alichofanya Mwenyekiti Mbowe, cha kuwafukuza TBC, sio sawa, it is not right, hajaitendea haki TBC, hajaitendea haki media, hajaitendea haki Chadema, hajawatendea haki Watanzania kukosa kusikia sera za Chadema.
Hasira za Mkizi kwenye siasa, kiukweli kabisa hazisaidii kitu!.
Wakati Mhe Mbowe anasema TBC wamekata matangazo, TBC ilikuwa iko live wakati Mhe. Mbowe akitangaza kuwafukuza na kuwasingizia kuwa TBC wamekata matangazo, ilikuwa sii kweli kwasababu TBC walikuwa live kabisa na hawajakata matangazo!, kitendo cha Mwenyekiti Mbowe kuwafukuza TBC na kuwaambia TBC waondoke, sio kitendo cha kistaarabu, hakikubaliki, vyama vya habari tusilinyamazie hili, Mhe. Mbowe akemewe, Chadema ikemewe, na TBC ipongezwe kwa kujaribu.
Kitu ambacho ni kweli nilikiona ni TBC kuwa na kibarua kigumu cha kufanya censorship matamshi yoyote hatarishi na ya kichochezi. Sii wengi wanajua kuwa kwenye matangazo ya live, mtu ambaye yuko responsible na kinachorushwa hewani, sio yule msemaji, bali ni mrusha matangazo, yaani TBC, hivyo mwanasiasa anapoibuka na kutoa kauli za kiajabu ajabu, ambazo ni za uchochezi au kuhatarisha amani, utulivu na mshikamano wetu, then TBC wanakuwa hawana jinsi zaidi ya kufanya censorship, ndio maana matangazo yalikuwa yanakatwa katwa na kurudishwa studio.
NB. Ikitokea Chadema ikashindwa kwenye uchaguzi, isilalamike kuwa CCM imebebwa na TBC ndio maana ikashinda, Chadema wamepewa fursa ya kuitumia TBC, Chadema wenyewe ndio wamekataa na kuwafukuza TBC, hivyo sasa wanategemea nini?.
Hizi ni Hasira za Mkizi!.
Ndio maana nimeuliza, kama upinzani wenyewe ndio huu tuliouona kwa Chadema, halafu hawa ndio watu wanaotaka Watanzania tuwape Ikulu yetu watutawale, kama hata kujitawala wenyewe tuu ni issue, hili la kuwapa nchi, itakuwaje?.
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili, jee Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini, wenye the ability, the capacity and the capabilities za kuleta upinzani wa kweli wenye uwezo wa kuing'oa CCM madarakani na wenyewe kutawala nchi yetu?, au upinzani wetu hapa Tanzania kiukweli kabisa ni bado sana?.
Paskali
Sasa kama mnapewa nafasi tu ya kujieleza mnashindwa? Huko kwenye ballot box nani atawapa kura? Tena mmeshindwa kutumia nafasi hiyo huko Mbagala huku kwetu Mbezi Beach mtaweza kweli?!kama upinzani ni mediocre kihivyo kama unavyosema, kwa nini CCM inaogopa kwenda kushindana nao kwenye ballot box?